UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

Hapa Ndoa inaisha. Ila Angekutwa nao mume ndoa ingeendelea. Life Ain't fair

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
Ndoa inaisha sio kwa sababu Mke kakutwa na Ukimwi LA hasha,sababu ni kiwa hamna Mwanaume anayeweza kuvumilia kuishi na Mwanamke malaya.-hadi kapata ukimwi maana yake hiyo mwanamke hajatulia.
 
Ndoa inaisha sio kwa sababu Mke kakutwa na Ukimwi LA hasha,sababu ni kiwa hamna Mwanaume anayeweza kuvumilia kuishi na Mwanamke malaya.-hadi kapata ukimwi maana yake hiyo mwanamke hajatulia.
Umedadavua Vyema. Hii ndio Point nilitaka kusema, Uzee huu nasahau haraka. Aksante.

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
 
Kwanin Afrika?na Isiwe dunia nzima
''Ataleta Dawa inayozuia Ukimwi Afrika'' inashangaza kwakweli....means kuna sababu moja kati ya hizi:-

1) Ukimwi upo tu Afrika

2) Ukimwi wa Afrika ni special na haufanani na wa mabara mengine

3) Kuna wagonjwa/waathirika wengi zaidi wa UKIMWI barani Afrika kuliko kwingine

Halafu tumefurahia na kukenua meno kuanzia Rais

Tuna Ujinga mkubwa sana watu wa bara hili.
 
Kwanin Afrika?na Isiwe dunia nzima
Bara la majaribio, huku huku Africa km unakumbuka ndio maabara ya virus ilipoanzia wakaanza na nyani kisha nyani akafanya yake ukaanza kuendelea kuenea kote, kwa hio wakimaliza Africa wamemaliza duniani, in short Africa ndio duniani Africa ndio bara lenye nguvu ila ndio bara masikini, bara lenye utajiri mwingi ulioanza kuchotwa karne na karne na watu wake kubakia masikini karne na karne,
 
Kwanza lazima iangaziwe jamii isiyositarabika japokua hofu lazima iangaziwe Sana, maana kwa majaribio ya kisayansi tumosana pia
Kwasababu we are the test subjects acha kututetea. Dawa haipo FDA approved nawewe bado unaitaka[emoji23][emoji23][emoji23], waAfrica tutakufa vibaya aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa Ndoa inaisha. Ila Angekutwa nao mume ndoa ingeendelea. Life Ain't fair

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
Nani kasema. Naunajua sababu zinazomfanya mke abaki mara nyingi, ungejua wala usingeongea wala mtetea. Kizazi hiki hakuna mwanaume au mke aliyetayari kuteseka, so acha propaganda chief. Watu wameacha watoto sembuse wewe mgonjwa usiyetibika[emoji1787][emoji1787][emoji1787], zama hizo zimepita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
l
giphy.gif
Wewe jamaa kila sehemu unapost hiki.😂
 
White skin will never sleep never rest, they are struggling to eliminate/vanish black skin.....

The secret they do not know is, melanin is valuable than Gold and Diamonds.... and they don't have one...

Wanapata tabu sana wakiona ngozi nyeusi inadunda kwenye kila majaribio ya maabara zao...

God's Love.
1[emoji3590]
 
White skin will never sleep never rest, they are struggling to eliminate/vanish black skin.....

The secret they do not know is, melanin is valuable than Gold and Diamonds.... and they don't have one...

Wanapata tabu sana wakiona ngozi nyeusi inadunda kwenye kila majaribio ya maabara zao...

God's Love.
Mungu atulinde 🙏🙏
 
Nani kasema. Naunajua sababu zinazomfanya mke abaki mara nyingi, ungejua wala usingeongea wala mtetea. Kizazi hiki hakuna mwanaume au mke aliyetayari kuteseka, so acha propaganda chief. Watu wameacha watoto sembuse wewe mgonjwa usiyetibika[emoji1787][emoji1787][emoji1787], zama hizo zimepita.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikia nikwambie kama haushi kwenye hizi jamii basi jifunze, ndoa zina siri sana utakuta Baba hajiwezi kama ni kisukari Mama anamhudumia tu tumewaona wengi tu
 
Back
Top Bottom