Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Ndoa inaisha sio kwa sababu Mke kakutwa na Ukimwi LA hasha,sababu ni kiwa hamna Mwanaume anayeweza kuvumilia kuishi na Mwanamke malaya.-hadi kapata ukimwi maana yake hiyo mwanamke hajatulia.Hapa Ndoa inaisha. Ila Angekutwa nao mume ndoa ingeendelea. Life Ain't fair
Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app