Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Sexless wee kwanza hata ungekuwepo usingepata kabisa...🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sexless wee kwanza hata ungekuwepo usingepata kabisa...🤣🤣🤣
Afrika tupo wengi.. wahangaKwanin Afrika? Na Isiwe dunia nzima
Ety eeeh... 🤝🤝🤝HIV is a proj kama Malaria ilivyo...
Eti...nini? Endelea kujifariji au hao wasoojua sio kwa mimi ambae nimefanya kazi CTC kwa mda mrefu snaHIV is a proj kama Malaria ilivyo...
CTC ndo nini mkuuEti...nini? Endelea kujifariji au hao wasoojua sio kwa mimi ambae nimefanya kazi CTC kwa mda mrefu sna
Acha kujitia ujuaji wewe mgawa vidonge. Unatumia vipimo vilivyosetiwa na magwiji wa porojo halafu wewe unajitia kujua? Unajua nn wewe? Kuna kipi ulichowahi kugundua ewe mgawa vidonge uliyejipachoka jina la daktari??Eti...nini? Endelea kujifariji au hao wasoojua sio kwa mimi ambae nimefanya kazi CTC kwa mda mrefu sna
Duuh. Mkuu una uelewa wowote kuhusu ukimwiAcha kujitia ujuaji wewe mgawa vidonge. Unatumia vipimo vilivyosetiwa na magwiji wa porojo halafu wewe unajitia kujua? Unajua nn wewe? Kuna kipi ulichowahi kugundua ewe mgawa vidonge uliyejipachoka jina la daktari??
Care and treatment clinicCTC ndo nini mkuu
Nichokoze uone! Unadhani siufahamu ujinga uliomo kwenye ugonjwa wa kutungwa?Duuh. Mkuu una uelewa wowote kuhusu ukimwi
Wewe ndo unaonekana hujui kitu, kuporoja kwingi sna nyinyi ndo mnafanya wengi sna wanakufa na huu ugonjwa sabbu ya mitazamo yenu ya kipumbavu snaAcha kujitia ujuaji wewe mgawa vidonge. Unatumia vipimo vilivyosetiwa na magwiji wa porojo halafu wewe unajitia kujua? Unajua nn wewe? Kuna kipi ulichowahi kugundua ewe mgawa vidonge uliyejipachoka jina la daktari??
Aaaah huwenda ikawa anachokiongea huyo jamaa aliyepo huko CTC ana uzoefu nachoCare and treatment clinic
Yaani kliniki ya matunzo na tiba
Ni kwaajili ya ndugu zetu ambao tayar wameshakua HIV positive kuja kupata dozi , Ushauri n.k
Hahaha. Leta maswali boss.Nichokoze uone! Unadhani siufahamu ujinga uliomo kwenye ugonjwa wa kutungwa?
Nikupe hints kwa kukuuliza maswali?
🤣🤣🤣🤣Una uelewa wowote kuhusu HIV ....?Nichokoze uone! Unadhani siufahamu ujinga uliomo kwenye ugonjwa wa kutungwa?
Nikupe hints kwa kukuuliza maswali?
Jibu maswali yafuatayo;Wewe ndo unaonekana hujui kitu, kuporoja kwingi sna nyinyi ndo mnafanya wengi sna wanakufa na huu ugonjwa sabbu ya mitazamo yenu ya kipumbavu sna
Hizi ni zama za science na technology sio kuropoka tu
😃😃😃😃😃 Wanapambana lakini..Embu watuache na ukimwi wetu wasituzidishie mabalaa yao
Nimekuambia nichokoze. Mbona unaaogopa🤣🤣🤣🤣Una uelewa wowote kuhusu HIV ....?
Namchokozaje mtu bila kujua ufahamu wake kuhusu hicho kitu mkuu🤣🤣🤣🤣🤣Nimekuambia nichokoze. Mbona unaaogopa
Hakuna. Vipimo vinapima antibodiesJibu maswali yafuatayo;
Kuna vipimo hospitali vyenye uwezo wa kuona virusi?
Swali lipo kitaaluma sana, kwann umehisi uwepo wa dawa za kufubaza bila kuwepo dawa ya kutibu ni kiashiria kuwa HIV ni fix. Mkuu mm sikupuuzi, wazungu si wa kuamini 100%, ukibahatika kufanya nao kazi katika taasisi kubwa huwezi dharau hofu yako.Kama kuna dawa ya kufubaza virusi kwann hakuna dawa ya kutibu ukimwi?
Mkuu unajibu kwa experience na uelewa et..?Hakuna. Vipimo vinapima antibodies
Swali lipo kitaaluma sana, kwann umehisi uwepo wa dawa za kufubaza bila kuwepo dawa ya kutibu ni kiashiria kuwa HIV ni fix. Mkuu mm sikupuuzi, wazungu si wa kuamini 100%, ukibahatika kufanya nao kazi katika taasisi kubwa huwezi dharau hofu yako.