UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

''Ataleta Dawa inayozuia Ukimwi Afrika'' inashangaza kwakweli....means kuna sababu moja kati ya hizi:-

1) Ukimwi upo tu Afrika

2) Ukimwi wa Afrika ni special na haufanani na wa mabara mengine

3) Kuna wagonjwa/waathirika wengi zaidi wa UKIMWI barani Afrika kuliko kwingine

Halafu tumefurahia na kukenua meno kuanzia Rais

Tuna Ujinga mkubwa sana watu wa bara hili.
Eti ni kweli Bosi (Bill Gates) huwa hanuniwi sababu ya kutegemea misaada [emoji848][emoji847]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Eti ni kweli Bosi (Bill Gates) huwa hanuniwi sababu ya kutegemea misaada [emoji848][emoji847]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu maana inashangaza kua bado kenya wanamkaribisha na kilichowakuta watoto wao wakike juu ya HPV vaccine

Yaaani........imeishia kua under carpet [emoji23][emoji1787]
 
Sikia nikwambie kama haushi kwenye hizi jamii basi jifunze, ndoa zina siri sana utakuta Baba hajiwezi kama ni kisukari Mama anamhudumia tu tumewaona wengi tu
Aaah...! Nikiwaza yule Ke alivyokuwa akimfanyia Mumewe mwenye kisukari huwa naumia sana...[emoji24]

Ilifikia hatua akawa anagongwa hovyo hovyo na vijana wadogo na wakati mwingine hadi hapo hapo kwake kwakweli Mungu aniepushie mbali na hiyo adha [emoji119][emoji26]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Aaah...! Nikiwaza yule Ke alivyokuwa akimfanyia Mumewe mwenye kisukari huwa naumia sana...[emoji24]

Ilifikia hatua akawa anagongwa hovyo hovyo na vijana wadogo na wakati mwingine hadi hapo hapo kwake kwakweli Mungu aniepushie mbali na hiyo adha [emoji119][emoji26]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hii code nineshindwa kuelewa mkuu
 
Tulia mwanawane pata somo hapo. Sie wengine tunacheka tuu lakini hili la arv mie wala situmii na nadunda mwaka wa 22. Ni mwendo wa mazoezi na chakula tuu
👏👏👏👏👏👏👏 Huna hatia (ii) dig down tena.....
 
Wala skupingi kwa hilo mkuu

Shida ungeanza then ukaacha tungekua tushakusahau tayar
Ni kweli mie kuna jamaa aliniambia yupo kwenye centre for aids research kwamba kama ukigundua mapema bado ni hiv tuu mbona unatwanga maisha bila arvs.
Pia akasema kuwa upo likely kupata ngoma kutoka kwa mke au gelofrend kuliko malaya sema ni vile tuu hawawezi kama serikali shauri watu wahamie kwa malaya ila ukweli ndio huo
 
Ni kweli mie kuna jamaa aliniambia yupo kwenye centre for aids research kwamba kama ukigundua mapema bado ni hiv tuu mbona unatwanga maisha bila arvs.
Pia akasema kuwa upo likely kupata ngoma kutoka kwa mke au gelofrend kuliko malaya sema ni vile tuu hawawezi kama serikali shauri watu wahamie kwa malaya ila ukweli ndio huo
Ila kama hujaanza dawa....unakua most infectious....yaan kumuambukiza mtu ni kugusa tu mkuu
 
Ni kweli mie kuna jamaa aliniambia yupo kwenye centre for aids research kwamba kama ukigundua mapema bado ni hiv tuu mbona unatwanga maisha bila arvs.
Pia akasema kuwa upo likely kupata ngoma kutoka kwa mke au gelofrend kuliko malaya sema ni vile tuu hawawezi kama serikali shauri watu wahamie kwa malaya ila ukweli ndio huo
Hapo sasa kwenye kuliko kwa malaya..😃😃😃😃😃😃
 
Ila kama hujaanza dawa....unakua most infectious....yaan kumuambukiza mtu ni kugusa tu mkuu
Ah sasa wee sii umeambukizwa wacha na wengine waambukizwe, ebwana hii biashara ya watu lazima arv ziuzike sasa watu wasipo uguwa ngoma wengine wakale wapi. Kufa kufaana jomba
 
Hapo sasa kwenye kuliko kwa malaya..😃😃😃😃😃😃
Oh wenza ndio wanatupeleka kaburini mwenyewe aloyekuwa gelofrend wangu ndio kaniunganisha kwa grid. Bora ningeendeleaga na malaya tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom