UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

Naenda na tone yake boss ili afunguke sababu zinazomfanya aamini HIV ni uongo huenda tukajifunza kitu. Watu kama hawa huwa napenda kujadiliana nao, wakati wote mnaenda kulia yeye anaenda kushoto. Inafurahisha kujua kwann wamechagua kuwa tofauti na dunia 😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sawa sema hapo umekubaliana nae kuwa kuna dawa za kufubaza ukimwi hii ni kweli..?
 
Jibu maswali yafuatayo;
Kuna vipimo hospitali vyenye uwezo wa kuona virusi?

Kama kuna dawa ya kufubaza virusi kwann hakuna dawa ya kutibu ukimwi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu jamaa nimeconclude ni wa form 7 au form 4
Haya maswali yako ni ya biology ya form 4

Anyway hakuna kipimo kinachoweza kuona kirusi bali kipimo kinatumia mechanism ya immunoeassy means....kinauwezo wa ku detect antibody against HIV virus

Yaani akiingia HIV virus mwilini mwako mwili una respond na kuzalisha antibody against antigen(HIV virus)
Hizo antibody haziwezi kuzalishwa na mwili mpaka pale tu iwe ni HIV virus kaingia

Kama utasema hivyo hata hivyo vipimo vyengine vya H-pylori, mrdt for malaria , homa ya ini huwezi kuona parasite au bacteria husika kwaiyo navyo havikubaliki?

Pili imekua ni ngumu kupata dawa inayotibu HIV sabbu ya mechanism ya virus in multiplication wanachofanya wanatumia cells zko to make their millions copy

Na hua ukiwa attack wanajificha in periferal organs zako(liver,kidney ) na kua dormant kwa mda then wanarudi tena thats why mtu akiwa anatumia dawa vzur kila sku basi hivi vimelea vinapotea kwenye blood circulation ndo maana tukumchukua mtu huyu damu kwa ajili ya kupima VRL tunakuta inasoma TND (target not detected) means no virus detected ila haimanishi tayar amekua HIV negative

Ni kwamba havipo tu kwenye circulation
 
Naenda na tone yake boss ili afunguke sababu zinazomfanya aamini HIV ni uongo huenda tukajifunza kitu. Watu kama hawa huwa napenda kujadiliana nao, wakati wote mnaenda kulia yeye anaenda kushoto. Inafurahisha kujua kwann wamechagua kuwa tofauti na dunia [emoji2]
Hao tumekutana nao sna makazini mwisho wa siku wanakuja na kutuomba msamaha

Wakati huo CD4 zipo very low

Walikua wanatukebehi na kusema yeye ataomba kanisani tu hatatumia ARVs

Wanaaanza ARVs ikiwa too late wanakaribia kupata AIDS
 
Hao tumekutana nao sna makazini mwisho wa siku wanakuja na kutuomba msamaha

Wakati huo CD4 zipo very low

Walikua wanatukebehi na kusema yeye ataomba kanisani tu hatatumia ARVs

Wanaaanza ARVs ikiwa too late wanakaribia kupata AIDS
Yaaas that why nikasema wee upo na fact sana.. maana unadeal na hao watu na unajua yapi yanawasibu all in all napenda uendelee kutupa somo zaidi kuhusu ARVs
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
🤣🤣🤣🤣😃😃😃 Mi ajajibu swali langu... Hivo akijibu nahisi utajua unadeal nae vipi.. isije ikawa una bishana na mtu ambaye tayari ameaminishwa kitu fulani...
Si ndo tutajua alichoaminishwa boss. Wala hata hakuna ubishi mkubwa, ni kueleweshana. Duniani kuna watu wenye mtazamo kama wake ambao wanaamini hiv haisababishi AIDS, na hiv ilikuwepo na watu waliishi nayo bila matatizo. Ngoja nikupe mfano wa article chache kuhusu hili.
 

Attachments

Yaaas that why nikasema wee upo na fact sana.. maana unadeal na hao watu na unajua yapi yanawasibu all in all napenda uendelee kutupa somo zaidi kuhusu ARVs
Ngoja aje na hoja yake.....nitaendelea........

Mimi siwezi kukubaliana na mtu anaesema HIV ni sawa sawa na malaria , au bora malaria inatesa ..big no

Na no hard feeling kwa ndugu zangu HIV candidates just naongea uhalisia kwa uwelewa wangu

Kwa mfano mdogo tu kutumia dozi ya mseto tu au panadol basi unaomba umalize

Je kutumia ARVs in all your life

Then namuuliza why ukitaka kuanzishiwa ARVs procedures inatutaka mtu apimwe LFT and RFT ( liver function test and renal fuction test ) ingawa asilimia ya 99% mahospital hawafanyi hivyo???
 
Si ndo tutajua alichoaminishwa boss. Wala hata hakuna ubishi mkubwa, ni kueleweshana. Duniani kuna watu wenye mtazamo kama wake ambao wanaamini hiv haisababishi AIDS, na hiv ilikuwepo na watu waliishi nayo bila matatizo. Ngoja nikupe mfano wa article chache kuhusu hili.
Nimeipata mkuu nashukuru pia 🙏🙏 tapitia kwa makini zaidi.. ili nijue mpaka mtu anabisha inakuaje..
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ngoja aje na hoja yake.....nitaendelea........

Mimi siwezi kukubaliana na mtu anaesema HIV ni sawa sawa na malaria , au bora malaria inatesa ..big no

Na no hard feeling kwa ndugu zangu HIV candidates just naongea uhalisia kwa uwelewa wangu

Kwa mfano mdogo tu kutumia dozi ya mseto tu au panadol basi unaomba umalize

Je kutumia ARVs in all your life

Then namuuliza why ukitaka kuanzishiwa ARVs procedures inatutaka mtu apimwe LFT and RFT ( liver function test and renal fuction test ) ingawa asilimia ya 99% mahospital hawafanyi hivyo???
Duuh....!!!
 
Nimeipata mkuu nashukuru pia [emoji120][emoji120] tapitia kwa makini zaidi.. ili nijue mpaka mtu anabisha inakuaje..
Muhimu aje atujuze.......ila kama mpaka mastaa wakizungu wenye hela zao wanasumbuliwa na HIV akina charlie sheen

Then useme ni fix wangekua tayar wameshatoa nusu ya utajiri wao nakuondoa tatizo

Nishahudumia wazungu wengi wenye hili tatizo na wanatumia ARVs vizur sna ila sio hizi za kwetu zinazitoka india
 
Muhimu aje atujuze.......ila kama mpaka mastaa wakizungu wenye hela zao wanasumbuliwa na HIV akina charlie sheen

Then useme ni fix wangekua tayar wameshatoa nusu ya utajiri wao nakuondoa tatizo

Nishahudumia wazungu wengi wenye hili tatizo na wanatumia ARVs vizur sna ila sio hizi za kwetu zinazitoka india
Daaaah yaan mda wote huu nilikua najua hili gonjwa ngozi nyeupe hawana.. au virusi vimetofautiana makali...?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu jamaa nimeconclude ni wa form 7 au form 4
Haya maswali yako ni ya biology ya form 4

Anyway hakuna kipimo kinachoweza kuona kirusi bali kipimo kinatumia mechanism ya immunoeassy means....kinauwezo wa ku detect antibody against HIV virus

Yaani akiingia HIV virus mwilini mwako mwili una respond na kuzalisha antibody against antigen(HIV virus)
Hizo antibody haziwezi kuzalishwa na mwili mpaka pale tu iwe ni HIV virus kaingia

Kama utasema hivyo hata hivyo vipimo vyengine vya H-pylori, mrdt for malaria , homa ya ini huwezi kuona parasite au bacteria husika kwaiyo navyo havikubaliki?

Pili imekua ni ngumu kupata dawa inayotibu HIV sabbu ya mechanism ya virus in multiplication wanachofanya wanatumia cells zko to make their millions copy

Na hua ukiwa attack wanajificha in periferal organs zako(liver,kidney ) na kua dormant kwa mda then wanarudi tena thats why mtu akiwa anatumia dawa vzur kila sku basi hivi vimelea vinapotea kwenye blood circulation ndo maana tukumchukua mtu huyu damu kwa ajili ya kupima VRL tunakuta inasoma TND (target not detected) means no virus detected ila haimanishi tayar amekua HIV negative

Ni kwamba havipo tu kwenye circulation
Duuh haya mambo yanawenyewe alafu wenyewe sasa ndio kama wewe ani umeelezea full.... An sijui anatokaje huyu jamaaa😃😃🙏🙏🙏
 
Nishaondoa mkuu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Wazungu wengi huwezi kuwatambua sababu wanajua how they supposed to live with HIV

Na wana what it takes.....to make them live so comfortable with it

Wanakula vizur
Hawana kazi nzito
Wanafanya mazoez vzur
Wanapumzika vzur
Wanatumia ARVs first class kwa kufata maelekezo yote waliopewa kwa ufasaha kabisa
Hawana stress za maisha
Wana world class checkup za kila mwezi kuanzia LFT, RFT, etc in managing the drug toxicity

So huwezi mkuta mzungu kachoka kwa HIV kwa sabbu hizo

Hata hapa wapo watu wenye HIV wakiwa na hizo qualities wanadunda.....ila ni wachache

Mara nyingi wengi wanafeli kwenye check up za ini na figo thats why after 10+ years za matumizi ya ARVs figo au ini zinafeli
 
Wazungu wengi huwezi kuwatambua sababu wanajua how they supposed to live with HIV

Na wana what it takes.....to make them live so comfortable with it

Wanakula vizur
Hawana kazi nzito
Wanafanya mazoez vzur
Wanapumzika vzur
Wanatumia ARVs first class kwa kufata maelekezo yote waliopewa kwa ufasaha kabisa
Hawana stress za maisha
Wana world class checkup za kila mwezi kuanzia LFT, RFT, etc in managing the drug toxicity

So huwezi mkuta mzungu kachoka kwa HIV kwa sabbu hizo

Hata hapa wapo watu wenye HIV wakiwa na hizo qualities wanadunda.....ila ni wachache

Mara nyingi wengi wanafeli kwenye check up za ini na figo thats why after 10+ years za matumizi ya ARVs figo au ini zinafeli
Oky hapo sasa naanza kupata concept.. hivo generally kwa mtoto aliezaliwa na HIV imekaaje hyo baada ya miaka kumi na kuendelea ana uwezekano wa kufeli ini na figo..?
 
Back
Top Bottom