UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

You're delusional.
 
Duniani huko kwenye pesa tayari wanatumia tayari, imechelewa tu kufika kwenu maskini msio na shukrani mnolalamika muda wote[emoji16] kwasababu dawa yenyewe ni gharama kubwa hivyo inahitaji ufadhili au ruzuku.
Kwanin Afrika? Na Isiwe dunia nzima
 
Umesahau sababu nyingine
4) Hiyo dawa tayari ina mwaka mmoja ikitumika Ulaya na Marekani ila imechelewa tu Africa kwa sababu ni ya gharama sana hivyo walikuwa wanasubiria waipate kupitia msaada.
 
Acha kujipa umuhimu usiokuwa nao, dawa tayari ilishafanyiwa majaribio Ulaya na Marekani na inatumika kwa mwaka mmoja sasa.
 
Walishaanza muda mrefu, watu maskini wa Africa wasingekuwa na uwezo wa kupata ARV kwa bei yake halisi bila ufadhili au ruzuku[emoji16]
Wameanza Tena, Hata COVID 19 Walianza Hivi Watupige Cha Juu
 
Kama huwa unafanya ngono bila CONDOM na malaya unaowanunua Buguruni sio rahisi usiwe nao mpaka sasa, tena na mke wako pia utakuwa tayari umemuambukiza.
Hints zako za ki-conspiracy hazitakusaidia chochote, wahi ukaanze dozi ya ARV.
Nichokoze uone! Unadhani siufahamu ujinga uliomo kwenye ugonjwa wa kutungwa?

Nikupe hints kwa kukuuliza maswali?
 
Aina hii ya vilaza ndio waliosababisha mamilioni ya watu kufa kama kuku Ukimwi ulipoanza kusambaa miaka ya 1980.
Wewe ndo unaonekana hujui kitu, kuporoja kwingi sna nyinyi ndo mnafanya wengi sna wanakufa na huu ugonjwa sabbu ya mitazamo yenu ya kipumbavu sna

Hizi ni zama za science na technology sio kuropoka tu
 
Haya maswali yanadhihirisha wewe ni ngumbaru kabisa katika basic biology. O-level biology ilikuwa ni option katika shule uliyosoma au hata sekondari hujakanyaga??
Jibu maswali yafuatayo;
Kuna vipimo hospitali vyenye uwezo wa kuona virusi?

Kama kuna dawa ya kufubaza virusi kwann hakuna dawa ya kutibu ukimwi?
 
Hata Waafrika, Wachina, Wahindi, Waisrael au Waarabu sio wa kuawaamini kwa 100%.
Wala huhitaji kufanya nao kazi kulijua hilo.
 
Kama flat earthers pia[emoji16]
 
Uko sahihi kabisa, huyu itakuwa aliishia darasa la 7 au kama alifika sekondari biology alikuwa anaona makorokocho tu akiwa darasani.
 
Ukimwi upo kila mahali duniani, hata huko Ulaya, Australia na Marekani kwa wazungu upo sana tu.
Daaaah yaan mda wote huu nilikua najua hili gonjwa ngozi nyeupe hawana.. au virusi vimetofautiana makali...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…