UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

UKIMWI sasa baaaasi! Tujiachie tu mpaka shetani ashangae

Sikia nikwambie kama haushi kwenye hizi jamii basi jifunze, ndoa zina siri sana utakuta Baba hajiwezi kama ni kisukari Mama anamhudumia tu tumewaona wengi tu
Nimeishi na ninaishi kwenye jamii. Kipindi au kizazi hiki hakuna mwanamke msamaria mwema. Anaishi sikwasababu anataka bali hana pakwenda. Kipindi cha kumwona mwanamke ni mtakatifu au mwaminifu sana kilishaisha muda na waliobaki ni wazazi wetu ambao ni kizazi cha zamani sio sasa. Mwanamke simwema kama mumtambulishavyo na hana uvumilivu kama msemavyo, bali upendo kwa watoto wake hautaisha. So, nothing new. Jamii ndio hii, uvumilivu hsuna maana kama utamuumiza mwenzako kipsycholojia kwa maneno au vitendo vya dharau. Mke au mme si ndugu na tumeyaona, mnalindwa ili kulinda heshima yenu yaani ya mwanamke ila kuna vitu vingi mnavifanya. Tunaishi katika jamii hii hii nasimkoa mmoja so hakuna uvumilivu kwa mwanamke, msijiongopee sista.
 
Kama huwa unafanya ngono bila CONDOM na malaya unaowanunua Buguruni sio rahisi usiwe nao mpaka sasa, tena na mke wako pia utakuwa tayari umemuambukiza.
Hints zako za ki-conspiracy hazitakusaidia chochote, wahi ukaanze dozi ya ARV.
Naona unakwepa kwasabb huna facts and evidence.
 
Haya maswali yanadhihirisha wewe ni ngumbaru kabisa katika basic biology. O-level biology ilikuwa ni option katika shule uliyosoma au hata sekondari hujakanyaga??
Jibu maswali hayo hayo nikupelekee moto mbele na nyuma
 
KWA sisi tuliovuka age ya kujiachia hio dawa imekuja wakati usio muafaka. Maisha hayarudi nyuma.
 
View attachment 2420481
KIBERA, Kenya – The Bill & Melinda Gates Foundation today announced two new grants totaling US$2 million for Kenyan HIV/AIDS prevention-focused initiatives. William H. Gates, Sr., co-chair of the Bill & Melinda Gates Foundation, made the announcement at an HIV/AIDS town forum in Kibera, a community in Nairobi.

Mr. Gates, Sr., and former U.S. President Jimmy Carter, co-founder of the Carter Center, today completed their joint mission to Kenya, South Africa and Nigeria. The mission called attention to the urgent need for comprehensive strategies to fight HIV/AIDS.

"Positive change on HIV/AIDS prevention happens locally, at organizations that are working with and within communities and on university campuses," said Mr. Gates. "These institutions are doing incredibly important work for the people of Kenya, but much more help is needed. With more than 700 new HIV infections in Kenya each day, it is critical that we continue to push forward with innovative prevention, care and support initiatives."
The new Kenya grants announced today are:

  • Strengthening STD/AIDS Control in Kenya Project (Universities of Nairobi and Manitoba): A grant of US$1 million over two years will cover three programs jointly run by the Universities of Nairobi and Manitoba. The first program, run by the Kenya Voluntary Women's Rehabilitation Centre (K-VOWRC), provides livelihood options and career training for under-age sex workers in Nairobi. The second program, the STD/AIDS Project, provides prevention counseling and support to sex workers and their clients in Nairobi's poorest communities, including Kibera. The third component is an initiative to establish targeted HIV prevention programs in Meru, the region with one of the highest levels of HIV in Kenya.

  • Moi University and Indiana University: The foundation is providing a grant of nearly US$1 million to the Moi University Faculty of Health Sciences (MUFHS). In partnership with the Indiana School of Medicine, the effort will incorporate HIV prevention into the routine clinical, educational, and research activities of Moi University Faculty of Health Sciences. Students will be trained in HIV prevention methods and will work in the local Community-Based Education and Service program.
Dozi kubwa mmo yaani miezi 6? Chanjo imeishia wapi?
 
White skin will never sleep never rest, they are struggling to eliminate/vanish black skin.....

The secret they do not know is, melanin is valuable than Gold and Diamonds.... and they don't have one...

Wanapata tabu sana wakiona ngozi nyeusi inadunda kwenye kila majaribio ya maabara zao...

God's Love.
Upotolo,
Wakishawauwa weusi hao Whites watajaishi Africa?
Why should they kill Africans? Wanataka nin ambacho kwa uwepo wa mtu mweusi wanakikosa...

Hiyo akili yako imevurugwa na mafundisho potofu,
SIKU ZOTE TAJIRI HAWEZI KUWAUWA MASIKINI kwan cheap labour na soko na dampo la bidhaa ni hao masikini
 
''Ataleta Dawa inayozuia Ukimwi Afrika'' inashangaza kwakweli....means kuna sababu moja kati ya hizi:-

1) Ukimwi upo tu Afrika

2) Ukimwi wa Afrika ni special na haufanani na wa mabara mengine

3) Kuna wagonjwa/waathirika wengi zaidi wa UKIMWI barani Afrika kuliko kwingine

Halafu tumefurahia na kukenua meno kuanzia Rais

Tuna Ujinga mkubwa sana watu wa bara hili.
Sijui kuhusu 1 na 2 ila hiyo 3 ni ukweli. Ukimwi duniani upo sanasana Afrika tena Kusini mwa jangwa la Sahara
 
Upotolo,
Wakishawauwa weusi hao Whites watajaishi Africa?
Why should they kill Africans? Wanataka nin ambacho kwa uwepo wa mtu mweusi wanakikosa...

Hiyo akili yako imevurugwa na mafundisho potofu,
SIKU ZOTE TAJIRI HAWEZI KUWAUWA MASIKINI kwan cheap labour na soko na dampo la bidhaa ni hao masikini
Nadhani mafundisho potofu kama unavyosema na tabia ya kutishika na Matamko ya Weupe ndio kunatufanya tuwe Duni na kuamini kwamba whites wana ajenda ya kutufuta weusi ktk uso wa dunia.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu jamaa nimeconclude ni wa form 7 au form 4
Haya maswali yako ni ya biology ya form 4

Anyway hakuna kipimo kinachoweza kuona kirusi bali kipimo kinatumia mechanism ya immunoeassy means....kinauwezo wa ku detect antibody against HIV virus

Yaani akiingia HIV virus mwilini mwako mwili una respond na kuzalisha antibody against antigen(HIV virus)
Hizo antibody haziwezi kuzalishwa na mwili mpaka pale tu iwe ni HIV virus kaingia

Kama utasema hivyo hata hivyo vipimo vyengine vya H-pylori, mrdt for malaria , homa ya ini huwezi kuona parasite au bacteria husika kwaiyo navyo havikubaliki?

Pili imekua ni ngumu kupata dawa inayotibu HIV sabbu ya mechanism ya virus in multiplication wanachofanya wanatumia cells zko to make their millions copy

Na hua ukiwa attack wanajificha in periferal organs zako(liver,kidney ) na kua dormant kwa mda then wanarudi tena thats why mtu akiwa anatumia dawa vzur kila sku basi hivi vimelea vinapotea kwenye blood circulation ndo maana tukumchukua mtu huyu damu kwa ajili ya kupima VRL tunakuta inasoma TND (target not detected) means no virus detected ila haimanishi tayar amekua HIV negative

Ni kwamba havipo tu kwenye circulation
Sio kweli kuwa hakuna kipimo cha kuona virusi, PCR inahesabu mpaka idadi ya virusi (viral load count), na hizi zipo kwenye kila district hospital, ndio hitumika kujua HIV progress za waathirika wanaopokea matibabu

Pia hakuna suala la virus kutokuwepo kwenye blood circulation kama unavyoeleza, once HIV ipo kwenge CD4 cells siku zote itakua kwenye circulation mwili mzima. Ni viral load ndio inashuka hadi kufikia kiwango hiyo electronic machine (PCR) haiwezi kuhesabu kwa kuwa uwezo wake wa kuhesabu ni kuanzia idadi fulani

Viral load ikiwa ndogo (undetectable level) HIV haiwezi kusababisha AIDS sababu immune system level ambayo ndio hushambuliwa na HIV inakua juu kwa karibu sawasawa na mtu asiye na HIV
 
Sio kweli kuwa hakuna kipimo cha kuona virusi, PCR inahesabu mpaka idadi ya virusi (viral load count), na hizi zipo kwenye kila district hospital, ndio hitumika kujua HIV progress za waathirika wanaopokea matibabu

Pia hakuna suala la virus kutokuwepo kwenye blood circulation kama unavyoeleza, once HIV ipo kwenge CD4 cells siku zote itakua kwenye circulation mwili mzima. Ni viral load ndio inashuka hadi kufikia kiwango hiyo electronic machine (PCR) haiwezi kuhesabu kwa kuwa uwezo wake wa kuhesabu ni kuanzia idadi fulani

Viral load ikiwa ndogo (undetectable level) HIV haiwezi kusababisha AIDS sababu immune system level ambayo ndio hushambuliwa na HIV inakua juu kwa karibu sawasawa na mtu asiye na HIV
Uko sahihi mkuu ,kutokana na nature ya mbumbumbu niliokua namjibu ningeeingia ndani zaid mpaka kwenye PCR
Huko ningezid kumpoteza
 
Back
Top Bottom