Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukienda hospitali waambie wakufanyie elisa test. Hii inaweza kutambua maambukizi hadi ya masaa 32. Magomeni kuna hospitali wana hicho kipimo, sina uhakika wapi. Agha khan nadhani watakuwa nacho.
Pole sana ndugu yangu yangu kwa hilo,ila mimi nina mambo kadhaa ya kuksema:
Kwanza sio kila unapofanya mapenzi na mtu mwenye VVU utaambukizwa. Kumbuka tumekuwa tunafanya mambo haya mara kadhaa na watu wenye VVU bila kujua na hakuna shida yoyote tunayopata;ni bahati nzuri tu kwamba nyie mlienda kupima soon after hilo tendo..huo ni ujasiri wa hali ya juu na unastahili kupongezwa.
Pili,huna haja ya kukosa amani kiasi hicho.Hilo limeishatokea,limetokea,unachotakiwa ni kufocus mbele na kuendelea na maisha yako kama awali.Najua hii ni chungu kumeza,lakini je ikiwa umeambukizwa,what next?! Hakuna haja ya kuhangaika mahospitalini kutafuta kipimo,unaweza kukipata kwa gharama ya juu sana,maana inaonekana uko radhi kutoa kiasi chochote cha pesa mradi tu ujue afya yako.Swali,sasa ukishajua umeambukizwa,nini kinafuata?! Na je ukiambiwa hujaambukizwa,unadhani itakuwa kinga ya kuzuia kuambukizwa tena?! Nachotaka kusema hapa ni kwamba wewe endelea na maisha yako kama kawaida huku ukisubiri hiyo miezi 3 ipite ukapime tena ili kujiridhisha..
Inavyooneka wewe ni kijana na yumkini upo chuoni,unachotakiwa kujua ni kwamba bado unayo safari ndefu ya kuishi.Utakumbana na mengi tena mazito kuliko hili,jaribu kuwa mstahimilivu.Hili limetokea hivi leo,hujui mwaka kesho utakuja hapa na lipi,so kwa muda huu wewe concetrate with what you're doing.Usije ukapoteza hata unachokifanya,halafu mwisho wa siku unapima unakutwa uko salama..
hivi huyu sio yule alikuja na stori kafiwa na mkewe ili aonewe huruma na wanawake wa humu?mie hizi drama za humu siziwezo...lol:yo:
hivi zile dawa za kuzuia maambukizi kwa mtu aliyekutana na dam yenye maambukizi hufanya kazi kwa watu walio zini??
hivi huyu sio yule alikuja na stori kafiwa na mkewe ili aonewe huruma na wanawake wa humu?mie hizi drama za humu siziwezo...lol:yo:
ninmwezi mmoja tu tambu ni fanye mapenzi na dada ambaye baada kumfanya tulienda maabara kupima maana nilimuona anavutia sana na alikuwa na umri wa miaka 19 tu hivyo nikaamini atakuwa mzima. Baada ya kumfaidi nikajenga hoja ya kujua afya zetu na tulivyopima sikuamini matokeo binti alikutwa na UKIMWI na hakuwa na wasiwasi kabisa akaanza kunipa pole.
Naomba msaada wandugu kama kunaaina ya kipimo ambacho naweza kufanya nikawa na uhakika wa afya yangu maana mala tumbo, kichwa, usingizi saa 8 unakatika, kichefuchefu, mafua na kikohozi, mwili kuwasha. hayo ni machache tu kwa dalili na magonjwa niliyonayo.
haja yangu sio kujianika kwa umalaya wangu bali nimeamua kuandika hapa nikijieleza kwa DR ili niweze kupata msaada wa aina ya kipimo maana rapid test inaonyesha hakuna tatizo lakini mpaka miezi mitatu ndipo huwa na uhakika lakini iwapo kunakipimo ambacho naweza kujua hali yangu ndani ya hizi wiki 6 tangu nikutane kimwili na yule dada nitafurahi.
Yaani mwezi mmoja tu uanze kupata magonjwa nyemelezi?!!.
Wewe utakua umepanick.
sasa Tuko PEP watu wanajua ni nini?? ielezee bana.
My brother Mwakambaya2013
kama ni muumini na una amini katika Mungu, mludie na ukili kuto kurudia mfumo wa dhambi, ukichukua hatua hii itakusaidia kaka, uwezo wetu ufikapo mwisho hatuna budi kujikabidhi kwa Mungu, kwani utakua mwenye amani ndani ya nafsi yako itayo kujenga.
Hapa jamvini si kila mtu ana roho ya imani au mwenye kuguswa na matatizo ya wenzake..
Daima mtegemee Mungu na usihofu wala kukata tamaa Mungu anakupenda
sasa Tuko PEP watu wanajua ni nini?? ielezee bana.
Hiyo ni panic tu,na usipoacha utaisha zaid ya mwenye nao
Hiyo ni panic tu,na usipoacha utaisha zaid ya mwenye nao
My brother Mwakambaya2013
kama ni muumini na una amini katika Mungu, mludie na ukili kuto kurudia mfumo wa dhambi, ukichukua hatua hii itakusaidia kaka, uwezo wetu ufikapo mwisho hatuna budi kujikabidhi kwa Mungu, kwani utakua mwenye amani ndani ya nafsi yako itayo kujenga.
Hapa jamvini si kila mtu ana roho ya imani au mwenye kuguswa na matatizo ya wenzake..
Daima mtegemee Mungu na usihofu wala kukata tamaa Mungu anakupenda