UKIMWI upo ndugu zangu

Maskini! Afu wanaopata ni wale β€œem ngoja nijaribu😞
Huyu sio wa hivyo. Huyu ramba ramba hapa pale hiv vile..si unaona hapo kasema anahis kautoa kwa flan means hana uhakika kaukwaa wapi exactly
 
Mwambie aache wenge awasikilize tu wataalamu afate mashart yao ataishi na atazeeka.
lakin ukiona jamaa yako amekata tamaa na anataka revenge ya kuusambaza nakushauri ongea na uongozi wa chuo wamuue kwa mikono yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…