UKIMWI upo ndugu zangu

UKIMWI upo ndugu zangu

UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.

Tuwe makini na wadada.

Kuna raia humu watakwambia hiyo kitu hakuna...

By the way rafiki yako kakutwa na maambukizi ya kirusi kinaitwa HIV, unless kama alikuwa anaumwa sababu ya kirusi huyo...
 

Lakini hawa ni ngumu kuambukiza coz wanajuwa hali zao na walishaanza kutumia dawa.

Mtu mbaya ni yule ambae ana vvu but ajui hali yake huyo ukigusa tu unao
 
Zungusha majina unavyoweza ila hao wote ni walewale.

mwisho wa siku [emoji444][emoji449][emoji444]niagieni [emoji448][emoji444]niagieni[emoji3545][emoji3545]
Unaweza kuwa na UKIMWI na huna VVU ndio maana nimeuliza.
 
ndo maneno yenu ayo na ndomaana ngumu huu ugonjwa kuisha maana watu hawaelezwi ukweli

walionao wanaupakaza kwa wengine almradi tuondoke wengi

huu ugonjwa unauwa sana sema watu wanafichwa ugonjwa halisi hausemwi badala yake watu wanatafutiwa magonjwa mengine kama cancer, tb n.k

zile dawa ni sumu na ukila dawa kwa miaka mingi lazima zikuue mapema maana figo zinaelemewa. huo ndo ukweli japo japo mchungu.
 
Kinga(ndomu) ni muhimu wazee
Tatizo hazina radha ukishamaliza
Nashauri kama mtu humuamini piga bao moja sepa na ukimaliza tu kimbia chooni kojoa then oga kwa maji tililika

Wanaopata ukimwi ni wale wanaojifanya mafundi na wakamiaji mtu unapiga bao tano sasa hapo kwa nini usipate michubuko.
Mimi bora waniite sina nguvu za kiume nikiridhika mimi imetosha nasepa
 
Hapa najikuta nawaza.
Kwani kuna jambo haliwezekani kwa Allah au na yeye anayaogopa baadh ya magonjwa.... Astaghfirurah!!!
Mwenyez mungu ashindwi na chochote ila tatzo ni uchache wa imani zetu kwake!!!

Kama unaumwa maralia unaswali rakaa 2, ukilala unaamk umepona..... Kwanini HIV ishindikane!!!
Hii kitu inatibika bhana..... Ukihisi nafsi yako inapingana na mm tafsiri yake Mungu wako anamipaka kwenye utendaji kazi, Kuna vitu hawezi fanya (ila Mungu wangu hashindwi na chochote.🚶🚶🚶)
🤣🤣🤣🤣malaria ni rakaa mbili sio ukimwi itakuwa 8
 
Kwani wewe hapo una guarantee au unajua siku zako, sio kwamba ni muda wowote unaweza kufa? Ninaye shangazi yangu alikutwa na ngoma toka nikiwa primary ila mpaka leo bado yupo, huku ndugu kadhaa na uzima wao tulishawazika
Inategemea primary umemaliza lini kama 2019 je
 
Na hapo ndipo wanapokoseaga vijana. Yaani wanapiga show utafikiri kuna sheria ya goli la ugenini.
Kumbe mtu ukipiga kigoli chako cha mapema tu inatosha, kikubwa point 3 sio idadi ya magoli.
Watu wanataka wafunge magoli ya chenga nyingi kama za mzee Ronaldinho
 
Asilile ,mbona kawaida ,afanye mazoezi ,ale vizuri ataishi maisha marefu sana ,mimi kuna sister namjua ,2004 aligundulika na ngoma ,2008 ikampiga hasa akaanza ARV ,yupo anadunda fresh mpaka leo...Aliipata kwa mmewe kicheche.
Alimsamehe mume wake au wameachana??
 
Back
Top Bottom