Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Zungusha majina unavyoweza ila hao wote ni walewale.Ana VVU au UKIMWI?
mwisho wa siku [emoji444][emoji449][emoji444]niagieni [emoji448][emoji444]niagieni[emoji3545][emoji3545]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zungusha majina unavyoweza ila hao wote ni walewale.Ana VVU au UKIMWI?
UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.
Tuwe makini na wadada.
Hawez kufa akitumia dawa siku hiz watu wanaishi kuliko hata watu wazimaAmekata tamaa anaona anakufa
Tiba??[emoji2962][emoji2962]0786088074 Kwa Tiba.
Asikate tamaa watu wanapona nimeshuhudia watu wakipona kabisa na kuanza maisha yao mapya yasiyokuwa na mawaa. "IMANI"Nimemwambia afanye Toba, Ibadan sana
Lakini hawa ni ngumu kuambukiza coz wanajuwa hali zao na walishaanza kutumia dawa.Uwepo wa mabinti wa Mama Salma Kikwete vyuoni ilikuwa danganya toto?
Wakati naingia chuo kikuu 2007 niliaswa sana kuwa makini na ngono chuoni kutokana na uwepo wa mabinti wanaofadhiliwa na mama Salma Kikwete. Ilidaiwa kuwa mabinti hawa wapo karibia kila chuo na ni waathirika wa ugonjwa hatari wa UKIMWI hivyo mama kwa huruma yake na WAMA wakaona wawaendeleze...www.jamiiforums.com
Watoto wa mama Salma! Ni kweli walimwagwa vyuoni?
Wapo mkuu huku kwetu chuo cha st joseph Luguruni kila mwaka wana mwagwa... Ukora wngu wote naogopa sana hao wa CHUO....mimi si mwanachuo ila naishi maeneo ya chuo kuna jamaa yng anasoma hapo kanipa za kunyapia nyapia....tena na ST AGUSTINO Ya mwanza pia wana mwagwa kibao.. Hiyo ndo speed...www.jamiiforums.com
Mwanafunzi wako yuko udsmHapo Udsm Kuna mwanafunzi wangu namjua ana ngoma ana asili ya Kinyarwanda jichanganyeni mana mnapenda penda hovyo
kujichukulia sheria mkononi😄Ukimwi upo,bora ujipe raha mwenyewe kwa kutumia dildo kama hamu ikikuzidia,kuliko kuwa na mtu Bongo hii.
Means huyo demu kamuambukiza kwa makusudi daahWashkaji wamwembia demu wako anaukimwi
Ni yeye mwenyewe sema tu ndjio hivyo tumeamua kumstahi tunanata na biti yakeni rafiki yako kweli au ni wewe mwenyewe
Unaweza kuwa na UKIMWI na huna VVU ndio maana nimeuliza.Zungusha majina unavyoweza ila hao wote ni walewale.
mwisho wa siku [emoji444][emoji449][emoji444]niagieni [emoji448][emoji444]niagieni[emoji3545][emoji3545]
Tatizo hazina radha ukishamalizaKinga(ndomu) ni muhimu wazee
Kwamba wasio athirika na ukimwi hawatakufa?Amekata tamaa anaona anakufa
JidanganyeUKIMWI haupo ni myth, mpaka upime ndo utaupata! Njia ya uhakika ya kutopata ni kutopima!
🤣🤣🤣🤣malaria ni rakaa mbili sio ukimwi itakuwa 8Hapa najikuta nawaza.
Kwani kuna jambo haliwezekani kwa Allah au na yeye anayaogopa baadh ya magonjwa.... Astaghfirurah!!!
Mwenyez mungu ashindwi na chochote ila tatzo ni uchache wa imani zetu kwake!!!
Kama unaumwa maralia unaswali rakaa 2, ukilala unaamk umepona..... Kwanini HIV ishindikane!!!
Hii kitu inatibika bhana..... Ukihisi nafsi yako inapingana na mm tafsiri yake Mungu wako anamipaka kwenye utendaji kazi, Kuna vitu hawezi fanya (ila Mungu wangu hashindwi na chochote.🚶🚶🚶)
Inategemea primary umemaliza lini kama 2019 jeKwani wewe hapo una guarantee au unajua siku zako, sio kwamba ni muda wowote unaweza kufa? Ninaye shangazi yangu alikutwa na ngoma toka nikiwa primary ila mpaka leo bado yupo, huku ndugu kadhaa na uzima wao tulishawazika
Watu wanataka wafunge magoli ya chenga nyingi kama za mzee RonaldinhoNa hapo ndipo wanapokoseaga vijana. Yaani wanapiga show utafikiri kuna sheria ya goli la ugenini.
Kumbe mtu ukipiga kigoli chako cha mapema tu inatosha, kikubwa point 3 sio idadi ya magoli.
Alimsamehe mume wake au wameachana??Asilile ,mbona kawaida ,afanye mazoezi ,ale vizuri ataishi maisha marefu sana ,mimi kuna sister namjua ,2004 aligundulika na ngoma ,2008 ikampiga hasa akaanza ARV ,yupo anadunda fresh mpaka leo...Aliipata kwa mmewe kicheche.