Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
uyu ni yeye kabisa kaja kupima upepo apa akizani watu watarembaremba maneno mamaeeh[emoji1787]Ni yeye mwenyewe sema tu ndjio hivyo tumeamua kumstahi tunanata na biti yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uyu ni yeye kabisa kaja kupima upepo apa akizani watu watarembaremba maneno mamaeeh[emoji1787]Ni yeye mwenyewe sema tu ndjio hivyo tumeamua kumstahi tunanata na biti yake
Yupo anaendelea naye na kuna % ya salary anachukua yeye(ke) maana jamaa mwingi wa habari anazidi kusambaza rungu kama comrade kipepe ,anaambukiza mademu ovyo.....Nadhani TACAIDS waweke email ili watu wawe wanatoa taarifa fiche za watu kama hao wanaosambaza "UMEME" kusudi.Alimsamehe mume wake au wameachana??
Mkitumwa mkasome, mnaenda kupiga pipeAnayemuhisi kuna demu tunasoma nae mwaka wa TATU
hivi kwann kila mtu anasakizia fulan ndo anaoAsilile ,mbona kawaida ,afanye mazoezi ,ale vizuri ataishi maisha marefu sana ,mimi kuna sister namjua ,2004 aligundulika na ngoma ,2008 ikampiga hasa akaanza ARV ,yupo anadunda fresh mpaka leo...Aliipata kwa mmewe kicheche.
hivi kwann kila mtu anasakizia fulan ndo anao
watu hawajisemi kama ni wao wenyewe ndo wenye hii maneno
Ukiwa na HIV unaweza usipata Aids kama utazngatia dawa tatizo ni Aids sio HIVNazinyaka vyedi kabisa.
Hiv - ni causative agent , virus
Aids - ni outcome, ugonjwa.
Ila ukishayakanyaga kama mwamba hapo braza ndio imetoka.
Zingatia dawa ili HIV asi display Aids. Ila yote kwa yote hauko salama
Osie hele hoyeNazinyaka vyedi kabisa.
Hiv - ni causative agent , virus
Aids - ni outcome, ugonjwa.
Ila ukishayakanyaga kama mwamba hapo braza ndio imetoka.
Zingatia dawa ili HIV asi display Aids. Ila yote kwa yote hauko salama
Ndio inawezekana kutokana na kinga zake za mwiliWakuu nina swali kidogo: Hivi mtu anaweza kuishi na VVU/UKIMWI hata miaka 5 au zaidi na asione dalili zozote?
Wale waliopo Tiktok mke na mume ,mke kaathirika na mme hajaathirika kwa hiyo
Ukimwi kuna watu hawaambukizwi??maana wamezaa hadi watoto na hawatumii condom
Ebu mpige picha tuone anavyohaha saiv.Yupo getoni mwangu
Mwambie ugonjwa huo siku hizi sio big deal kabisa watu wanaishi nao zaidi ya miaka 20 asihofu wala nini atumie tu dawa.Yupo getoni mwangu
Ukimwi upo,bora ujipe raha mwenyewe kwa kutumia dildo kama hamu ikikuzidia,kuliko kuwa na mtu Bongo hii.
Daah sijui kwa nini watu wenye ugonjwa huu wanapenda na wengine wapateYupo anaendelea naye na kuna % ya salary anachukua yeye(ke) maana jamaa mwingi wa habari anazidi kusambaza rungu kama comrade kipepe ,anaambukiza mademu ovyo.....Nadhani TACAIDS waweke email ili watu wawe wanatoa taarifa fiche za watu kama hao wanaosambaza "UMEME" kusudi.
Sasa rafiki yako amekuamini kuwa utamtunzia SIRI ndio maana akafuatana na wewe kwenda kuangalia afya yake, ulivyo mtu wa hovyo usipaswa kuaminiwa kwa lolote, badala yake umekuja kumuanika humu.UKIMWI upo ndugu zangu , nimetoka kumpeleka rafiki yangu hospital kupima ukimwi , ameathirika aisee , analia mpaka basi, amekata tamaa.
Tuwe makini na wadada.
Mzee baba haya ni maneno huwa wanawatia moyo tu watu, mdudu akishazama kwenye damu ndio imetoka hiyo, never be the same again. Wote mnaishi kwa matumaini na wote mtameza dawa maishaaUkiwa na HIV unaweza usipata Aids kama utazngatia dawa tatizo ni Aids sio HIV
Dahh! Asee mkuu wewe hakuna maradhi ambayo hautibu?Mwambie anitafute mimi ili nipate kumtibia asikate tamaa wakati dawa ipo ya kutibu maradhi ya ukimwi auguwe pole zake.
😂😂 jirani mbona matusi na kwaresma?Halafu yuko third year kmmk!!
Hata The Amazon hawako hivyo, anyway inawezekana wenge la mkongo wa taifa..!!🤣🤣🤣🤣