Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Jamaa mmpeleke home au..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo gani mkuu kwa mwandiko huo!?!?Ukimwi upo ndugu zangu nimetoka kumpeleka Rafiki yangu tupo chuo mwaka wa TATU ameathirika aisie analia mpka basi amekataa tamaa , tuwe maskini na wadada wanachukua kwa masponser
Hii unayoisema wewe ni valid ndani ya masaa 72 toka atianeMwambie aanze dawa mara moja kabla hsjapata ukimwi nadhani bado yupo katika stages za mwanzo
Inaonesha na wewe unao. Pamoja na kuwa ile comment haikuwa nzuri lakini ku legalise Ukimwi ni hatari zaidiSo ivo kaka ukimwi kitu cha kawaida
Wengi walioko mjini 90% walitoka vijijini. Ni wale wale ila nyakati tofauti. Cha msingi ni kuwa makini na nini umekifuata, ukienda extra ndio kama hivyoTuliwambia mkija mjini msome nyie mmekaidi
Aaaaaahhhhh aaaahhhhh ameyatimba!!!.Ameyatimba
Ndio tusiuze mechiAaaaaahhhhh aaaahhhhh ameyatimba!!!.
Ooohhh ooooohhhh ameyatimba
😂
Dahh!. Haya mambo haya.omba sana yasikukute
Aliona nini mpka akaenda kupima? Tatzo kwenye show mnakaziaga mpka moto unafu
Mtoto wa mjini kabisa akimtongoza mdada akataiWengi walioko mjini 90% walitoka vijijini. Ni wale wale ila nyakati tofauti. Cha msingi ni kuwa makini na nn umekifuata, ukienda extra ndio kama hivyo
Mungu amponeAmeyatimba
Kabisa mkuuNdio tusiuze mechi
Ni chooni mkuuchuo gani mkuu kwa mwandiko huo!?!?
Hahaha mkuu sio sawapole sana mleta mada jitahidi kufuata ushauri wa daktari mifugo mwilini itakutafuna sana.
ukome kushindana na ulipotokea
Mkuu umeeleweka lakini hebu weka vizuri hii hoja yako tukuelewe.Ukimwi upo ndugu zangu nimetoka kumpeleka Rafiki yangu tupo chuo mwaka wa TATU ameathirika aisie analia mpka basi amekataa tamaa , tuwe maskini na wadada wanachukua kwa masponser
Ilikuwaje mpaka ukampeleka alizidiwa na homa? Au kwa hiari yake aliamua kwenda kupima akiwa mzima wa afya?Ukimwi upo ndugu zangu nimetoka kumpeleka Rafiki yangu tupo chuo mwaka wa TATU ameathirika aisie analia mpka basi amekataa tamaa , tuwe maskini na wadada wanachukua kwa masponser
Ni accidentMlienda kusoma au kufanya umalaya ? Hayo ndio malipo ya hapa hapa duniani.!
Washkaji wamwembia demu wako anaukimwiIlikuwaje mpaka ukampeleka alizidiwa?