tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Kozi gani mkuu?Anayemuhisi kuna demu tunasoma nae mwaka wa TATU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kozi gani mkuu?Anayemuhisi kuna demu tunasoma nae mwaka wa TATU
Rafiki yangu AMEPATA ukimwiMkuu umeeleweka lakini hebu weka vizuri hii hoja yako tukuelewe.
BafKoxi gani mkuu?
Acheni ujinga madogo, someni.Ni accident
Na kwa hiyo heading na phasing? Labda ni hivi vyuo vya Njuweni Hotel Management and Cateriang. Hahahaha!chuo gani mkuu kwa mwandiko huo!?!?
Uwakika mkuuAcheni ujinga madogo ,someni
🙏🙏🙏Na kwa hiyo heading na phasing? Labda ni hivi vyuo vya Njuweni Hotel Management and Cateriang. Hahaha
Inaonekana ametoka nae mara nyingi sana au alikuwa akiishi nae kabisa kama ni hivyo huyo demu ashtakiwe kabisaWashkaji wamwembia demu wako anaukimwi
Mwambie anitafute mimi ili nipate kumtibia asikate tamaa wakati dawa ipo ya kutibu maradhi ya ukimwi auguwe pole zake.Ukimwi upo ndugu zangu nimetoka kumpeleka Rafiki yangu tupo chuo mwaka wa TATU ameathirika aisie analia mpka basi amekataa tamaa , tuwe maskini na wadada wanachukua kwa masponser
Taja chuo ili uwape taharuki mademu wa chuoni kwenu😂😂Anayemuhisi kuna demu tunasoma nae mwaka wa TATU
Wanaishi pamojaInaonekana ametoka nae mara nyingi sana au alikuwa akiishi nae kabisa kama ni hivyo huyo demu ashtakiwe kabisa
Aiefuemuuchuo gani mkuu kwa mwandiko huo!?!?
UDSMTaja chuo ili uwape taharuki mademu wa chuoni kwenu😂😂
Shukran mkuuMwambie anitafute mimi ili nipate kumtibia asikate tamaa wakati dawa ipo ya kutibu maradhi ya ukimwi auguwe pole zake.
Hapo hakuna atakaepata taharuki maana hapo ndio chimbuko kuu la HIV Tanzania.UDSM
Hajamwambia mtuWazazi wake Iranga washapata taarifa? Ugonjwa hauna tiba mnaenda kupima ili iweje? Mfe kwa stress?