- Thread starter
- #81
Yupo getoni mwangudah ila kaa karibu na jamaa asije kufanya tukio maana kama mhusika anamuona kila siku humo ciass kwenu hili ni tatizo kubwa sana, halafu hao washikaji huenda kuna mmoja nayeye wanamjua aliyatimba kwa huyo demu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo getoni mwangudah ila kaa karibu na jamaa asije kufanya tukio maana kama mhusika anamuona kila siku humo ciass kwenu hili ni tatizo kubwa sana, halafu hao washikaji huenda kuna mmoja nayeye wanamjua aliyatimba kwa huyo demu
Utatatumia ndomu kwa mwanamke mnaeishi naeKinga(ndomu) ni muhimu wazee
Sio wote wanapata ukimwi ni kwa sababu ya umalaya tuacheni fikra potofuMlienda kusoma au kufanya umalaya ? Hayo ndio malipo ya hapa hapa duniani.!
Kabisa mkuuSio wote wanapata ukimwi ni kwa sababu ya umalaya tuacheni fikra potofu
Kuna mipango ya MunguUtatatumia ndomu kwa mwanamke mnaeishi nae
Shida sio kutokukubaliwa na madem shida ni ukosekanaj wa umakini na kulewa sifa, kuna mwingine akiona anapendwa na madem bas anageuza kutom...b ndo kaz yakeMtoto wa mjini kabisa akimtongoza mdada akatai
Ulitaka akapime akiwa njiti?Kilichompeleka kupima ni kitu gani? Kayataka mwenyewe!
Anasema atakufa lini? Maana kuna boda hapa kafa jana ila hakuwa na UKIMWIAmekataa tamaa anaona anakufa
HahahaMWAMBIE KAPONEA CHUPUCHUPU AKAZIE MATUNDA NA viSUPUSUPU..
Noma sana at Early age of 30s ukiukwaa utajuta.Ukimwi upo ndugu zangu nimetoka kumpeleka Rafiki yangu tupo chuo mwaka wa TATU ameathirika aisie analia mpka basi amekataa tamaa , tuwe maskini na wadada wanachukua kwa masponser
UKIMWI haupo ni myth, mpaka upime ndo utaupata! Njia ya uhakika ya kutopata ni kutopima!Ulitaka akapime akiwa njiti?
Shida sio utakufa lini. Ni ule uhakika kwamba muda wowote unaweza kufa.Anasema atakufa lini? Maana kuna boda hapa kafa jana ila hakuwa na UKIMWI
Hahahaaa jidanganyeUKIMWI haupo ni myth, mpaka upime ndo utaupata! Njia ya uhakika ya kutopata ni kutopima!
Watu hatupimi na tunadunda 😀😀 sasa wewe jichanganye ukapime!Hahahaaa jidanganye
Yeye aanze dozi tu kulia lia hakutamsaidia. Si alichagua kutomba kavu af kwa slayqueen wa çhuoUkimwi upo ndugu zangu nimetoka kumpeleka Rafiki yangu tupo chuo mwaka wa TATU ameathirika aisie analia mpka basi amekataa tamaa , tuwe maskini na wadada wanachukua kwa masponser
Sina lakini hizi dawa wanazopewa zinawasaidia sanaInaonesha na wewe unao. Pamoja na kuwa ile comment haikuwa nzuri lakini ku legalise Ukimwi ni hatari zaidi
Akithubutu kumuuliza atamwambia yeye ndiye kamuambukiza.Huyu demu ajamuliza..