Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini amuhisi ina maana nyie mnapigana miti bila kinga wala kupimana?Anayemuhisi kuna demu tunasoma nae mwaka wa TATU
Kuna ukimwi na maambukizi ya virus kaka elewahii unayoisema wewe ni valid ndani ya masaa 72 toka atiane
Washkaji walimtonya demu anaukimwiKwanini amuhisi ina maana nyie mnapigana miti bila kinga wala kupimana?
Huyo hana ukimwi ila ana maambukizi ya virus vya ukimwi mwambie asipanik kijingaUkimwi upo ndugu zangu nimetoka kumpeleka Rafiki yangu tupo chuo mwaka wa TATU ameathirika aisie analia mpka basi amekataa tamaa , tuwe maskini na wadada wanachukua kwa masponser
🙏🙏🙏
Washkaj kavu kweli kwann hawakumtonya kabla hajapigaWashkaji walimtonya demu anaukimwi
Sio poaHakuna kidume hajawahi kuingia kwenye situation kama hii, ilinitokea Niko chuo last year, nilipopanga walikuja kupanga madanga wakali mnoo.
Mmoja wao aliamua kunipongeza easy tu.
Kama siku tatu hv nikakumbuka kumpima uzur vipimo nlikua navyo, Cha ajab alikataa tena kwa msisitizo mkali sana(kwakufoka) hii ilinipanikisha mno.
Nilikonda sana na overstress japo mungu alininusuru tu dadek.
Muunganishe JF tumpe ushaur akae sawa aache kujinyea nyea kwa woga
Mwamba alianza kum date mda washkaji hatokujua tumejua badaeWashkaj kavu kweli kwann hawakumtonya kabla hajapiga
Kabisa mkuuMuunganishe JF tumpe ushaur akae sawa aache kujinyea nyea kwa woga
Unakuta ndiyo msomi wa ukoo ukoo ulijichanga nenda kasome lakini akaenda kuvuna kifo.Serikali inajitahidi kutoa matangazo daily, vijana mjikinge, gonjwa bado lipo. Asie sikia la mkuu huvunjika guu, nampa pole, mtie moyo sana, azingatie tu matibabu
Halafu yuko third year kmmk!!chuo gani mkuu kwa mwandiko huo!?!?
Kabisa mkuuMm nampongeza jamaa kwa kujitoa muhanga ili kuzidi kuwathibitishia vijana kuwa ukimwi upo
🙏🙏🙏Halafu yuko third year kmmk!!
Hata The Amazon hawako hivyo, anyway inawezekana wenge la mkongo wa taifa..!!🤣🤣🤣🤣
Na hapo ndipo wanapokoseaga vijana. Yaani wanapiga show utafikiri kuna sheria ya goli la ugenini.Aliona nini mpka akaenda kupima? Tatzo kwenye show mnakaziaga mpka moto unafuka