UKIMWI upo ndugu zangu

UKIMWI upo ndugu zangu

Muumbaji anavyosema l kwenye maandiko tukimbie zinaa na uasherati sisi tunamuona kama hajui anachosema.
That is obvious price we pay kwa kuchukulia poa maneno ya Mungu.
Akubali tu kulipa hiyo price ya uasherati, atubu na aanze upya.
 
Hapa najikuta nawaza.
Kwani kuna jambo haliwezekani kwa Allah au na yeye anayaogopa baadh ya magonjwa.... Astaghfirurah!!!
Mwenyez mungu ashindwi na chochote ila tatzo ni uchache wa imani zetu kwake!!!

Kama unaumwa maralia unaswali rakaa 2, ukilala unaamk umepona..... Kwanini HIV ishindikane!!!
Hii kitu inatibika bhana..... Ukihisi nafsi yako inapingana na mm tafsiri yake Mungu wako anamipaka kwenye utendaji kazi, Kuna vitu hawezi fanya (ila Mungu wangu hashindwi na chochote.🚶🚶🚶)
 
Hapa najikuta nawaza.
Kwani kuna jambo haliwezekani kwa Allah au na yeye anayaogopa baadh ya magonjwa.... Astaghfirurah
Mwenyez mungu ashindwi ila tatzo ni uchache wa imani zetu kwake!!!

Kama unaumwa maralia unaswali rakaa 2, ukilala unaamk umepona..... Kwanini HIV ishindikane!!!
Hii kitu inatibika bhana..... Ukihisi nafsi yako inapingana na mm tafsiri yake Mungu wako anamipaka kwenye utendaji kazi, Kuna vitu hawezi fanya (ila Mungu wangu hashindwi na chochote.🚶🚶🚶
Amina Mungu asaidie
 
Back
Top Bottom