UKIMWI upo ndugu zangu

UKIMWI upo ndugu zangu

Unakuta ndiyo msomi wa ukoo ukoo ulijichanga nenda kasome lakini akaenda kuvuna kifo.

Ni huzuni sana na Tanzania hii isiyokuwa na ajira kijana aliyekuwa na malengo yake baada ya kuhitimu kuja kuishi akiwa guaranteed kwamba muda wowote ataumwa au atakufa huku akiwa ajira hana wala kibarua.
Mungu atusaidie
 
Shida sio utakufa lini. Ni ule uhakika kwamba muda wowote unaweza kufa.

Ukimwi ni death sentensi hata kama hutakufa kesho
Kwani wewe hapo una guarantee au unajua siku zako, sio kwamba ni muda wowote unaweza kufa? Ninaye shangazi yangu alikutwa na ngoma toka nikiwa primary ila mpaka leo bado yupo, huku ndugu kadhaa na uzima wao tulishawazika
 
Washkaj kavu kweli kwann hawakumtonya kabla hajapiga

Mm nampongeza jamaa kwa kujitoa muhanga ili kuzidi kuwathibitishia vijana kuwa ukimwi upo
Dogo kafanya kweli zamani tulikuwa tunaenda kupima mpaka mtu aone dalili za homa kwa hali hii nadhani wenye maambukizi watakuwa ni wengi bila wao kujijua
 
Nyie kenge tukiwaambia ukimwi upo hamsikii mnataka kushindana na mlipotoka..!!
Demu humjui unataka ukamie show umuonyeshe we kidume haya sasa dj tusindikize na Amapiano la kizombi 😂😂😂🤣

Weeee kmmk
Kwanini husomi
Mpaka usomewe
Ngono sio salama
Jitahidi usome…….. oyooooooo..!!!🤸‍♀️
 
Back
Top Bottom