Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atulie. Kuwa na ngoma sio mwisho wa maishaHofu
Aisee yaani anamkumbuka Mungu sasa kwa nini hakumkumbuka wakati anataka kuzini? Unavuna kile ulichopanda huwezi kuwa mzinzi halafu siku unapata hivi unashangaaa.Dah sio sawa mkuu Mungu yupo na karma is really
Oster bay ni wapi??Kwao ni Oster bay
Mkikutana nao kwenye vimbweta utajisemea ngoma haipo kabisa maana unakuta wote wamenona hakuna aliyepauka.Hapo hakuna atakaepata taharuki maana hapo ndio chimbuko kuu la HIV Tanzania.
Bila shaka ni Data star collegeChuo gani mkuu kwa mwandiko huo!?!?
🙏🙏🙏 Mungu abariki uzao wakoBila shaka ni Data star college
Ukimwi upo ndugu zangu nimetoka kumpeleka Rafiki yangu tupo chuo mwaka wa TATU ameathirika, aisie analia mpaka basi amekata tamaa. Tuwe makini na wadada wanachukua kwa masponser.
Ulifikaje Chuo kikuu cha Dar es salam???Nipo chuo mkuu uhamiaji majibu bado
UKIMWI NI HALI au sio ????Dogo tafuta hela, ukimwi siyoo ugonjwa.
Kama anahisi basi alikuwa mzee wa totozi maana huwezi kuwa na demi mmoja halafu ukawa unahisi.Anayemuhisi kuna demu tunasoma nae mwaka wa TATU
Ni kweli anamademu wengiKama anahisi basi alikuwa mzee wa totozi maana huwezi kuwa na demi mmoja halafu ukawa unahisi.
Mtu humjui unapiga kavkavNyie kenge tukiwaambia ukimwi upo hamsikii mnataka kushindana na mlipotoka..!!
Demu humjui unataka ukamie show umuonyeshe we kidume haya sasa dj tusindikize na Amapiano la kizombi 😂😂😂🤣
Weeee kmmk
Kwanini husomi
Mpaka usomewe
Ngono sio salama
Jitahidi usome…….. oyooooooo..!!!🤸♀️
MtihaniMtu humjui unapiga kavkav
Acheni ngono zembe na kukamia kitu ambacho mtu akiosha kinaendelea tena na matumizi mxiewwww!!!Hahaha mkuu usiseme Ivyo
Mi nasoma mkuu ajira za uhamiaji NILIOMBA kwa Cheti Cha sixUlifikaje Chuo kikuu cha Dar es salam???