Kaselele
Senior Member
- May 19, 2022
- 171
- 476
Hii hapaMbona hamuweki hiyo Clip aliyosema Dr. Slaa kuwa anataka kuipindua serikali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hapaMbona hamuweki hiyo Clip aliyosema Dr. Slaa kuwa anataka kuipindua serikali?
Atafutiwe Basha huko Gerezani ili akitoka awe anatembea upande upandekwa hiyo video aisee, mzee kazi anayo kwa kweli
Robert Mugabe aliwahi kusema kwamba:Yani ingekuwa unachagua sehemu ya kuzaliwa, ni kichaa tu angekubali kuzaliwa Afrika mwenye ngozi nyeusi.
Nani kakwambia kwamba ni mbovu?Mbona hujahoji ukimya wa viongozi wa BAKWATA juu ya mkataba mbovu wa bandari?
Acha kuwakuza. Mbona tumesoma nao sec na wengi ni vilaza haswaa. Upadre ulikuwa zamani kwa Sasa wanaenda failures. Ukitaka kujua nenda seminari wale ambao ni weak darasani ndo Huwa wanaenda kusomea upadre na wale vipanga wanaenda vyuo vikuubaraza la maaskofu huwa hawakurupuki, siwezi kuwasemea bakwata ila siku wakiongea utajua tofauti ya form failure na mtu aliyeenda shule.
Huna akili weweAtafutiwe Basha huko Gerezani ili akitoka awe anatembea upande upande
Za kupostia jf ninazoHuna akili wewe
Mzee hapa alipotea kidogoView attachment 2718319
Mzee kaangukiwa kama mpira wa kona, hachomoki huyu Babu.
Asante, kuna wenzangu wa CHADEMA hawataki kukiri kuwa Babu kaingia choo cha SamiaMzee hapa alipotea kidogo
Mkuu usichanganye elimu na kukariri.Sijasoma seminari ndio na yesi wapo nilikua nawaacha darasani lakini nikwambie tu kule ni zaidi ya ujuavyo.Uongozi sio kukariri madesa darasani ni system.Duniani kote viongozi wazuri hawajawahi toka kwenye kundi magenius sababu ni Moja mjinga hujifunza sana mwerevu hupoteza maarifa.Acha kuwakuza. Mbona tumesoma nao sec na wengi ni vilaza haswaa. Upadre ulikuwa zamani kwa Sasa wanaenda failures. Ukitaka kujua nenda seminari wale ambao ni weak darasani ndo Huwa wanaenda kusomea upadre na wale vipanga wanaenda vyuo vikuu
Kweli serikali zianpinduliwa tu. Hatutakuwa wa kwanza kufanya hivyoView attachment 2718319
Mzee kaangukiwa kama mpira wa kona, hachomoki huyu Babu.
Ajiandae tu kuwaabia makachero wa CID huo Mzinga kauficha wapiKweli serikali zianpinduliwa tu. Hatutakuwa wa kwanza kufanya hivyo
Tatizo CCM mnavizia vizia Mambo. Ila Kwa mkataba wa bandari mtafunga watz woteAjiandae tu kuwaabia makachero wa CID huo Mzinga kauficha wapi
Mimi sio Nyumbu I speak my mind niite CCM hilo utajua wewe.Tatizo CCM mnavizia vizia Mambo. Ila Kwa mkataba wa bandari mtafunga watz wote
Kuna wengine wametawaliwa mpaka wamesahau lugha zao na wanajiona wajanja wakitumia lugha za watawala wao.🤣Exactly, there is a race that is blessed with a huge number of fake human beings (perhaps the entire race is made up of fake human beings) that is why education, exposure, civilization help them nothing.
They were colonised many years back, and today are still colonised with the help of their leaders.
Pathetic creatures!