Ukimya wa Baraza la Maaskofu na BAKWATA dhidi ya Watuhumiwa wa Uhaini unashangaza

Ukimya wa Baraza la Maaskofu na BAKWATA dhidi ya Watuhumiwa wa Uhaini unashangaza

Hizo taasisi huwa hazikurupuki tu wapo wanatafakari namna ya kuliweka sawa jambo hili.
 
baraza la maaskofu huwa hawakurupuki, siwezi kuwasemea bakwata ila siku wakiongea utajua tofauti ya form failure na mtu aliyeenda shule.
Acha kuwakuza. Mbona tumesoma nao sec na wengi ni vilaza haswaa. Upadre ulikuwa zamani kwa Sasa wanaenda failures. Ukitaka kujua nenda seminari wale ambao ni weak darasani ndo Huwa wanaenda kusomea upadre na wale vipanga wanaenda vyuo vikuu
 
The Extreme ni kuipindua Serikali😀r Wilbroad Slaa AKA Dr Mihogo
 
Acha kuwakuza. Mbona tumesoma nao sec na wengi ni vilaza haswaa. Upadre ulikuwa zamani kwa Sasa wanaenda failures. Ukitaka kujua nenda seminari wale ambao ni weak darasani ndo Huwa wanaenda kusomea upadre na wale vipanga wanaenda vyuo vikuu
Mkuu usichanganye elimu na kukariri.Sijasoma seminari ndio na yesi wapo nilikua nawaacha darasani lakini nikwambie tu kule ni zaidi ya ujuavyo.Uongozi sio kukariri madesa darasani ni system.Duniani kote viongozi wazuri hawajawahi toka kwenye kundi magenius sababu ni Moja mjinga hujifunza sana mwerevu hupoteza maarifa.
 
Exactly, there is a race that is blessed with a huge number of fake human beings (perhaps the entire race is made up of fake human beings) that is why education, exposure, civilization help them nothing.

They were colonised many years back, and today are still colonised with the help of their leaders.

Pathetic creatures!
Kuna wengine wametawaliwa mpaka wamesahau lugha zao na wanajiona wajanja wakitumia lugha za watawala wao.🤣
 
Clip zinaungwaungwa tu... baadhi ya watu,hawajiulizi kwanini hadi sasa watuhumiwa hawajapelekwa mahakamani..?
Hawajiulizi tu.
 
Back
Top Bottom