Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Wewe Una chuki binafsi na Slaa. Na Kwa jinsi hii laana itajufuata tu. Slaa siyo mjinga kama wewe.Hii pini aliyojipiga Slaa Maaskofu na Bakwata lazima wamkimbie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Una chuki binafsi na Slaa. Na Kwa jinsi hii laana itajufuata tu. Slaa siyo mjinga kama wewe.Hii pini aliyojipiga Slaa Maaskofu na Bakwata lazima wamkimbie.
hakuna padri kilaza, mapadre huandaliwa vizuri kuanzia shule za seminary unachosema ni uongo was wazi.Acha kuwakuza. Mbona tumesoma nao sec na wengi ni vilaza haswaa. Upadre ulikuwa zamani kwa Sasa wanaenda failures. Ukitaka kujua nenda seminari wale ambao ni weak darasani ndo Huwa wanaenda kusomea upadre na wale vipanga wanaenda vyuo vikuu
Kajipiga MtamaHii pini aliyojipiga Slaa Maaskofu na Bakwata lazima wamkimbie.
Wewe tafuta vifungu vya Sheria wakati mwenzio kishapaniki hata kula hataki na waliomjaza sasa hivi wamehamia Jamhuri ya Tweeter wamemuacha kijana wake anahangaika na mifuko ya chipsi kumpelekea chakulaPamoja na kwamba amekamatwa bila sisi kujua sababu au ushahidi uliopo, hii clip kama ilivyo haiwezi kutumika kama ushahidi wa kutosha kumshitaki mtu.
Yawezekana kuna ushahidi mwingine wa kutosha kuandaa mashitaka. Mtaani tu kuna msemo "Maneno matupu hayavunji mfupa" hata mtu asiyesoma elimu ya darasani anaujua.
Pia kosa la jinai lazima lithibitishwe na nia ovu (mens rea) pamoja na kitendo (actus reus) ambavyo hiyo clip haitoshi.
Tusubirie matokeo badala ya kuokoteza vitu vya kujidanganya.
NakaziaKweli waafrika tuna laana.
2011 baada ya uchaguzi Mkuu aliitisha Kundi la watu pale Unga limited vuguvugu la MapinduziAsante, kuna wenzangu wa CHADEMA hawataki kukiri kuwa Babu kaingia choo cha Samia
Kwenye siasa always kuwa mjanja wa kukwepa traps na minefieldsKajipiga Mtama
Chadema wenyewe wanachekea chooni
Lissu na kuropokoka kwake kote hagusii uhaini hata mara moja
tena utaskia anasema huyo Mama yenu badala ya kutaja jina kamili
Babu Slaa kajitupa baharini akidhani kavaa boya kumbe kavalishwa nanga azame nayo
Akili mbovu hizi.Wewe tafuta vifungu vya Sheria wakati mwenzio kishapaniki hata kula hataki na waliomjaza sasa hivi wamehamia Jamhuri ya Tweeter wamemuacha kijana wake anahangaika na mifuko ya chipsi kumpelekea chakula
Wahenga walisema '…Mchuma janga hula na wa kwao …"
Unazani wataiweka vipi wakati ushahidi hakuna na ndymana wanashindwa kwenda mahakamani kwa wakati na wanajaribu tafuta ushahidi toka kwa wazee wamiwani na baka nao wanagomaMbona hamuweki hiyo Clip aliyosema Dr. Slaa kuwa anataka kuipindua serikali?
Very sad indeedExactly, there is a race that is blessed with a huge number of fake human beings (perhaps the entire race is made up of fake human beings) that is why education, exposure, civilization help them nothing.
They were colonised many years back, and today are still colonised with the help of their leaders.
Pathetic creatures!
Unazani wataiweka vipi wakati ushahidi hakuna na ndymana wanashindwa kwenda mahakamani kwa wakati na wanajaribu tafuta ushahidi toka kwa wazee wamiwani na baka nao wanagoma na pia aibu ya kesi ya ugaidi unazani wamesahau
St Maarifa seminary vsbaraza la maaskofu huwa hawakurupuki, siwezi kuwasemea bakwata ila siku wakiongea utajua tofauti ya form failure na mtu aliyeenda shule.