Ukimya wa Baraza la Maaskofu na BAKWATA dhidi ya Watuhumiwa wa Uhaini unashangaza

Ukimya wa Baraza la Maaskofu na BAKWATA dhidi ya Watuhumiwa wa Uhaini unashangaza

Acha kuwakuza. Mbona tumesoma nao sec na wengi ni vilaza haswaa. Upadre ulikuwa zamani kwa Sasa wanaenda failures. Ukitaka kujua nenda seminari wale ambao ni weak darasani ndo Huwa wanaenda kusomea upadre na wale vipanga wanaenda vyuo vikuu
hakuna padri kilaza, mapadre huandaliwa vizuri kuanzia shule za seminary unachosema ni uongo was wazi.
 
Acheni upuuzi wa kutaka kulazimisha kuingiza vyombo vya dini kwenye issue zenu hizo. Huwezi wapangia cha kusema. Malizaneni wenyewe na mambo yenu ya siasa na wao muwaache na dini zao. Wameamua kuacha ya kaisari yajiendeshe yenyewe
 
Pamoja na kwamba amekamatwa bila sisi kujua sababu au ushahidi uliopo, hii clip kama ilivyo haiwezi kutumika kama ushahidi wa kutosha kumshitaki mtu.
Yawezekana kuna ushahidi mwingine wa kutosha kuandaa mashitaka. Mtaani tu kuna msemo "Maneno matupu hayavunji mfupa" hata mtu asiyesoma elimu ya darasani anaujua.
Pia kosa la jinai lazima lithibitishwe na nia ovu (mens rea) pamoja na kitendo (actus reus) ambavyo hiyo clip haitoshi.
Tusubirie matokeo badala ya kuokoteza vitu vya kujidanganya.
 
🤣🤣unataka wasemaje?
Kadinal Rugambwa ansubir maelekezo toka Roma 🙏
 
Hii pini aliyojipiga Slaa Maaskofu na Bakwata lazima wamkimbie.
Kajipiga Mtama


Chadema wenyewe wanachekea chooni

Lissu na kuropokoka kwake kote hagusii uhaini hata mara moja

tena utaskia anasema huyo Mama yenu badala ya kutaja jina kamili

Babu Slaa kajitupa baharini akidhani kavaa boya kumbe kavalishwa nanga azame nayo
 
Pamoja na kwamba amekamatwa bila sisi kujua sababu au ushahidi uliopo, hii clip kama ilivyo haiwezi kutumika kama ushahidi wa kutosha kumshitaki mtu.
Yawezekana kuna ushahidi mwingine wa kutosha kuandaa mashitaka. Mtaani tu kuna msemo "Maneno matupu hayavunji mfupa" hata mtu asiyesoma elimu ya darasani anaujua.
Pia kosa la jinai lazima lithibitishwe na nia ovu (mens rea) pamoja na kitendo (actus reus) ambavyo hiyo clip haitoshi.
Tusubirie matokeo badala ya kuokoteza vitu vya kujidanganya.
Wewe tafuta vifungu vya Sheria wakati mwenzio kishapaniki hata kula hataki na waliomjaza sasa hivi wamehamia Jamhuri ya Tweeter wamemuacha kijana wake anahangaika na mifuko ya chipsi kumpelekea chakula


Wahenga walisema '…Mchuma janga hula na wa kwao …"
 
Asante, kuna wenzangu wa CHADEMA hawataki kukiri kuwa Babu kaingia choo cha Samia
2011 baada ya uchaguzi Mkuu aliitisha Kundi la watu pale Unga limited vuguvugu la Mapinduzi

alichokutana nacho saa 7 usiku pale hatomsahau RPC wa wakati ule hadi mwisho wa maisha yake
 
Kajipiga Mtama


Chadema wenyewe wanachekea chooni

Lissu na kuropokoka kwake kote hagusii uhaini hata mara moja

tena utaskia anasema huyo Mama yenu badala ya kutaja jina kamili

Babu Slaa kajitupa baharini akidhani kavaa boya kumbe kavalishwa nanga azame nayo
Kwenye siasa always kuwa mjanja wa kukwepa traps na minefields

Hebu zicheki siasa za Sugu very smart
 
Wamegoma kukubali WAZALENDO kuitwa WAHAINI!!!

Mkataba FAKE na BATILI wa Bandari ufutwe mara moja!!!
 
Ishu ni kujaribu kututoa kwenye hoja ya bandari hakuna kingine.
Ccm wamejaribu kuzunguka nchi nzima kuwashawishi wananchi kuhusu uzuri wa kuuza bandari, kote wamekuwa "hawaeleweki" wamekutana na kuzomewa tu
Wameamua kuwatisha wanaopinga.
Hii ishu ya Bandari bado mbichi saana.
Watanganyika wamegoma kuuzwa!
Hakuna jinsi, hela ya mwarabu mtaitapika tu " kupitia tundu lolote lile!
In Magufuli voice
 
Wewe tafuta vifungu vya Sheria wakati mwenzio kishapaniki hata kula hataki na waliomjaza sasa hivi wamehamia Jamhuri ya Tweeter wamemuacha kijana wake anahangaika na mifuko ya chipsi kumpelekea chakula


Wahenga walisema '…Mchuma janga hula na wa kwao …"
Akili mbovu hizi.
Unamtishia mwanaume jela mbele ya haki yake? Huko jela hakuna watu?
Ni heri kukaa jela ukidai haki kuliko Kuwa huru mnafki na mtumwa wa mwarabu!
Kwani maisha yenyewe duniani ni miaka mingapi?
 
Mbona hamuweki hiyo Clip aliyosema Dr. Slaa kuwa anataka kuipindua serikali?
Unazani wataiweka vipi wakati ushahidi hakuna na ndymana wanashindwa kwenda mahakamani kwa wakati na wanajaribu tafuta ushahidi toka kwa wazee wamiwani na baka nao wanagoma
 
Exactly, there is a race that is blessed with a huge number of fake human beings (perhaps the entire race is made up of fake human beings) that is why education, exposure, civilization help them nothing.

They were colonised many years back, and today are still colonised with the help of their leaders.

Pathetic creatures!
Very sad indeed
 
Back
Top Bottom