Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It is always CHADEMA,Mbowe or LissuKitendo Cha Mh. Lissu kutokutoa salamu za rambirambi kwa Ali Kibao hakijaleta taswira nzuri ndani ya chadema,
Watu wanajiuliza sababu ni nini? Kipi kipo nyuma ya huu ukimya?
Chadema jitokezeni mtoe ufafanuzi.
R. I. P ALI MOHAMED KIBAO
Kitendo cha Tundu Lissu kutokutoa salamu za rambirambi kwa Ali Kibao hakijaleta taswira nzuri ndani ya CHADEMA.
Watu wanajiuliza sababu ni nini? Kipi kipo nyuma ya huu ukimya? CHADEMA jitokezeni mtoe ufafanuzi.
R. I. P ALI MOHAMED KIBAO
Nimejiuliza swali kama hilo. Kwamba hayupo nchini au imekaaje
Sasa kila mwanachadema akiongea si inakuwa taasisi iliyokosa utaratibu? Mwenyekiti taifa na mwenyekiti kanda ya kaskazini walishaongea inatosha. Pia think tank ya CHADEMA ndugu Mdude Nyagali alishaongelea hilo suala.
It is always CHADEMA,Mbowe or Lissu
Tukianza na familia, kila jambo ama tukio zito linapo tokea lazima pawepo na msemaji mmoja na sio kila mtu anatakiwa aongee.
CHADEMA imepwaya
Kwa namna Mbowe alivyoongea kuhusu mauaji hayo, na Mnyika...inatosha kabisa.
Hata yeye Lissu, tarehe 7'Septemba, ni siku ya kumbukumbu mbaya sana!Lissu anajipanga na anakuja na mazito muda si mrefu.
Msemaji na mwenyekiti wa chama ameshaongea, wewe unashida gani?Kitendo cha Tundu Lissu kutokutoa salamu za rambirambi kwa Ali Kibao hakijaleta taswira nzuri ndani ya CHADEMA.
Watu wanajiuliza sababu ni nini? Kipi kipo nyuma ya huu ukimya? CHADEMA jitokezeni mtoe ufafanuzi.
R. I. P ALI MOHAMED KIBAO
Mimi naona sawa kwa utekaji na kutwaliwa, wasiojulikana hawatabiliki wanaweza kufanya lao jambo wakati wowoteSasa kila mwanachadema akiongea si inakuwa taasisi iliyokosa utaratibu? Mwenyekiti taifa na mwenyekiti kanda ya kaskazini walishaongea inatosha. Pia think tank ya CHADEMA ndugu Mdude Nyagali alishaongelea hilo suala.
Narudis tena, chama kina msemaji na mwenyekiti. Wote wamezungumza?Au msiba haumuhusu Lissu
Kitendo cha Tundu Lissu kutokutoa salamu za rambirambi kwa Ali Kibao hakijaleta taswira nzuri ndani ya CHADEMA.
Watu wanajiuliza sababu ni nini? Kipi kipo nyuma ya huu ukimya? CHADEMA jitokezeni mtoe ufafanuzi.
R. I. P ALI MOHAMED KIBAO