Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Kukomalia jambo lisilo na tija huku watu waikikupa ufafanuzi ni dalili za mtu aliyebobea katika upumbavu.Nisielewe nini sasa, yy ni makam mwenyekiti wa chama hajaomboleza msiba yupo kimya lazima tuhoji hii ni ishara ya migogoro ndani ya chadema
Vitabu vya dini vinamtafsiri mpumbavu kama binadamu ambaye hata umkoboe na mpunga pamoja wenyewe utatakata yeye atabaki alivyo. Sasa ungekaa kimya ili upumbavu usi OTE mizizi