Zanzibar 2020 Ukimya wa Vyombo vikubwa vya Habari kwa yanayotokea Zanzibar

Zanzibar 2020 Ukimya wa Vyombo vikubwa vya Habari kwa yanayotokea Zanzibar

Claret

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
758
Reaction score
987
Niwatakieni salamu nyingi siku ya leo.

Moja kwa moja kwenye mada. Kuanzia siku ya jana kumekuwepo na video na picha za majeruhi na waliofariki wenye majeraha yanayodhaniwa ni ya risasi na kwa taarifa za polisi wamekamata watu kadhaa kuhusiana na uchaguzi huku wakidai wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu lakini sijasikia kuhusiana na majeraha na vifo ambavyo vimeonekana kwenye pucha zilizopigwa kwa simu binafsi.

Kwa upande wa vyombo vya habari tunavyoviamini kwa habari muhimu za kichunguzi hatusikii wakithubutu kuelezea wananchi yanayotokea.

Ukimya huu ambao hata watumiaji wa JF tunauona humu ni wa kutilia shaka na unaacha maswali mengi kama je hovi vyombo vinaweza kutuletea habari sahihi zisizo na chembechembe za woga na upendeleo.

Waandishi wa habari na vyombo vyao wanapaswa kuelewa kuwa wao ni kiunganishi kikubwa katika mambo ya msingi ya nchi na wakishaharibu uaminifu wanaopewa na watizamaji, wasikilizaji na wasomaji wa habari zao wanajiingiza katika janga kubwa.
 
Mungu tu ndie atakaewalinda Wazanzibari na Zanzibar yote kwa ujumla.
Najiuliza ikiwa mtu anaejiita "MCHAMUNGU" anabariki yote haya yanayoendelea kwa raia wasio na hatia kisha anawataka haohao raia wamuombee?
Tunakoelekea huenda mauaji yakawa kitu cha kawaida jambo linalotia hofu!! Je hao wahanga na majeruhi baada ya hapo hebu tuseme watafungwa... je wakati wa vifungo au baada ya vifungo hivyo watawapenda watesi wao?

Je familia za wahanga zitawaonaje? Je wale wazazi wanaotwaliwa mbele ya familia wanajisikiaje? Je wale wanafamilia wanaotwaliwa baada ya kukosekana mlengwa watawapenda watesi wao?

Aaaah Tunajenga umoja haki na amani kwa njia hizo!!
 
Al Jazeera imetangaza na kuonesha picha za wanajeshi wanapiga kura na wengine wanamshambulia raia kwa marungu.

ila za maandamano na nyimbo za kutukana na kurushia mawe polisi hawana kwenye makabrasha yao.

kansa mbaya iliyopo kwenye mioyo ya binadamu ni UNAFIKI tu.
 
Nilichogundua kwa media house za Tanzania siyo hawataki kutoa habari ila wanaogopa asee hata ikiwa mimi lazima hofu ya kukosa mkate wa familia ikujae.

Hizi story zinazotoka wala siyo habari ngumu ni za kuifurahisha ccm but huyu baba kasema kitu hapa, Lissu...
👇

"Kampeni yetu haikuwa rahisi. Namna peke ya mawasiliano ilikuwa mtandao yakijamii. Vyombo vingine, TV, Magazeti, yaligoma kuonesha mikutano yetu.

Nashukuru wandishi wa habari wa Mitandaoni."

Piga makofi kwao 👏👏👏👏👏
 
Taarifa nyingi zilizo tolewa na Chadema ni za uongo kwakua waandishi leo wanapewa taarifa na chanzo Cha kuaminika mfano katibu wa Chadema baada tuhuma zile zilizo tolewa inaonekana ni uongo, mauongo yalikua ni mengi kiasi kwamba hakuna mwandishi au chombo Cha habari kitake kua sehemu ya uo uongo.
 
Niwatakieni salamu nyingi siku ya leo.

Moja kwa moja kwenye mada. Kuanzia siku ya jana kumekuwepo na video na picha za majeruhi na waliofariki wenye majeraha yanayodhaniwa ni ya risasi na kwa taarifa za polisi wamekamata watu kadhaa kuhusiana na uchaguzi huku wakidai wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu lakini sijasikia kuhusiana na majeraha na vifo ambavyo vimeonekana kwenye pucha zilizopigwa kwa simu binafsi.

Kwa upande wa vyombo vya habari tunavyoviamini kwa habari muhimu za kichunguzi hatusikii wakithubutu kuelezea wananchi yanayotokea.

Ukimya huu ambao hata watumiaji wa JF tunauona humu ni wa kutilia shaka na unaacha maswali mengi kama je hovi vyombo vinaweza kutuletea habari sahihi zisizo na chembechembe za woga na upendeleo.

Waandishi wa habari na vyombo vyao wanapaswa kuelewa kuwa wao ni kiunganishi kikubwa katika mambo ya msingi ya nchi na wakishaharibu uaminifu wanaopewa na watizamaji, wasikilizaji na wasomaji wa habari zao wanajiingiza katika janga kubwa.

Kwanza wewe MPUMBAVU SANA. Hivi Kuna reaction bila action. Tafadhali najua humu wauza Unga. Wavuta bangi wapo kama wewe Lakini please. Acha Amani itawale Tansania. Sipo huko Lakini duniani kote wanajua tuna Amani. Hatuwezi uza Amani yetu kwa watu pumbavu na wajinga kama wewe. JAMII FORUMS ni wakati wenu kufuta mauzi chochezi. I hate people who take Things for granted, simply because they have the bundle and can hide beyond their keyboards. Stop it.
 
I T V ilikua live tangu asubuhi na Hakuna mtu yeyote anaepigwa zaidi ya wale wavuruga amani wanaolazimisha kupiga kura Leo wakati wao si watumishi WA umma. Wanatumika name mabeberu kupitia vibaraka wao Ili kuchafua taswira ya amani iliyopo.
 
Niwatakieni salamu nyingi siku ya leo.

Moja kwa moja kwenye mada. Kuanzia siku ya jana kumekuwepo na video na picha za majeruhi na waliofariki wenye majeraha yanayodhaniwa ni ya risasi na kwa taarifa za polisi wamekamata watu kadhaa kuhusiana na uchaguzi huku wakidai wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu lakini sijasikia kuhusiana na majeraha na vifo ambavyo vimeonekana kwenye pucha zilizopigwa kwa simu binafsi.

Kwa upande wa vyombo vya habari tunavyoviamini kwa habari muhimu za kichunguzi hatusikii wakithubutu kuelezea wananchi yanayotokea.

Ukimya huu ambao hata watumiaji wa JF tunauona humu ni wa kutilia shaka na unaacha maswali mengi kama je hovi vyombo vinaweza kutuletea habari sahihi zisizo na chembechembe za woga na upendeleo.

Waandishi wa habari na vyombo vyao wanapaswa kuelewa kuwa wao ni kiunganishi kikubwa katika mambo ya msingi ya nchi na wakishaharibu uaminifu wanaopewa na watizamaji, wasikilizaji na wasomaji wa habari zao wanajiingiza katika janga kubwa.
Vyombo hivyo ni kina paschal manjaa. Beberu mtu sana kuliko hata mkoloni mweusi.
 
Zanzibar hajakufa mtu, uongo unatengenezwa na Wapemba ambao ni mabingwa wa kubuni uongo na kulazimisha ionekane kama ukweli.
 
ila za maandamano na nyimbo za kutukana na kurushia mawe polisi hawana kwenye makabrasha yao.

kansa mbaya iliyopo kwenye mioyo ya binadamu ni UNAFIKI tu.
Ila Polisi wao wanavyovamia watu waliokuwa wamekaa tu kwa amani na kuwapiga na kuwaharibia mali zao huna hizo kwenye makabrasha yako ukajua kwanini wakawa wanapigwa mawe?

Kansa mbaya iliyopo kwenye mioyo ya binadamu ni UNAFIKI tu.
 
Ila Polisi wao wanavyovamia watu waliokuwa wamekaa tu kwa amani na kuwapiga na kuwaharibia mali zao huna hizo kwenye makabrasha yako ukajua kwanini wakawa wanapigwa mawe?

Kansa mbaya iliyopo kwenye mioyo ya binadamu ni UNAFIKI tu.
Kiongozi kesho unaona mood za raia zitakuaje pande hizo?
 
Taarifa nyingi zilizo tolewa na Chadema ni za uongo kwakua waandishi leo wanapewa taarifa na chanzo Cha kuaminika mfano katibu wa Chadema baada tuhuma zile zilizo tolewa inaonekana ni uongo, mauongo yalikua ni mengi kiasi kwamba hakuna mwandishi au chombo Cha habari kitake kua sehemu ya uo uongo.
Kila kitu kwenu ni uongo hata wanaouliwa pemba na unguja ni uongo kuna siku ulikubali ukweli pamoja na huyo muuwaji magufuli?
 
Back
Top Bottom