Zanzibar 2020 Ukimya wa Vyombo vikubwa vya Habari kwa yanayotokea Zanzibar

Zanzibar 2020 Ukimya wa Vyombo vikubwa vya Habari kwa yanayotokea Zanzibar

kwahiyo walikuwa wanawavamia na kuwapiga???maana nimesoma pia marehem kadhaa wameuwawa vibarazani mwao.yaani polisi na wanajeshi wanakufata kwako wanakupiga risasi,kama ulivyoandika mkuu.

ama kweli ni uonezi mkubwa.
Naam, wanafuata watu vibarazani mtaani, sasa kama hujui Zanzibar kuna kikosi al maarufu wanaitwa Mazombie, wamevamia sehemu na kupiga watu, na kuna video imesambaa wamerikodiwa na CCTV wameiba hadi TV ambayo imeekwa nje watu walau watizame wasiokuwa na TV kwao.

Sasa ukishafanya ivo unategemea raia wakufanye nini?
 
..POLENI.

..Mambo haya yanatia uchungu.

..Nakosa maneno ya kuandika.
Ni mambo ambayo yanasikitisha kwa kweli.... Wanawaingilia watu mitaani Usiku. Wanajenga chuki baina ya vikosi na raia hili ni jambo hatari sana. Polisi kama wameamua kutumia bunduki, basi walau wangekuwa wanatumia rubber bullets lakini wanatumia za moto kabisa, shot to kill.
 
Kwanza wewe MPUMBAVU SANA. Hivi Kuna reaction bila action. Tafadhali najua humu wauza Unga. Wavuta bangi wapo kama wewe Lakini please. Acha Amani itawale Tansania. Sipo huko Lakini duniani kote wanajua tuna Amani. Hatuwezi uza Amani yetu kwa watu pumbavu na wajinga kama wewe. JAMII FORUMS ni wakati wenu kufuta mauzi chochezi. I hate people who take Things for granted, simply because they have the bundle and can hide beyond their keyboards. Stop it.
Mtanzania ambaye hajui hata kuandika jina la nchi yake kwa usahihi ni wa kupuuzwa na nakupuuza kama ninavyopuuza watuma post chini ya viwango.
 
I T V ilikua live tangu asubuhi na Hakuna mtu yeyote anaepigwa zaidi ya wale wavuruga amani wanaolazimisha kupiga kura Leo wakati wao si watumishi WA umma. Wanatumika name mabeberu kupitia vibaraka wao Ili kuchafua taswira ya amani iliyopo.
Acha kuficha maovu wewe.
 
Nilichokiona ni wanachama wa ACT wakiwapiga mawe askari.Na hii ni baada ya kugundua watashindwa vibaya sana kwenye uchaguzi huu wanatamani fujo itokee.





MAGUFULI4LIFE.
asee kwa hii akili Kama yako ccm wataongoza milele..hivi umeona ulichopost

#akili ndogo mtaji wa ccm
 
Polisi wanakabiliana na ghasia na vurugu zilizopangwa na ACT kabla ya uchaguzi.
Huo ni mtazamo wako binafsi, wengine wanaona CCM kwa kutumia ZEC waliwahi mwanzo kupanga vurugu (kura ya awali). Sababu za ujanja huu wa kura ya awali haina mantiki.

Tukubaliane kitu kimoja, ifike mahali kila mmoja akubali kuheshimu maamuzi ya wananchi. CCM kwa ninavyoifahamu mimi haijawahi kushinda uchaguzi sio katika historia ya kabla ya uhuru wala baada ya kuanzishwa vyama vingi.

Mara ambazo walishinda uchaguzi Zanzibar niseme wazi ni pale tuu pasipo ushindani yaani chama kimoja, au bila ya upinzani. Si vyenginevyo!
 
Niwatakieni salamu nyingi siku ya leo.

Moja kwa moja kwenye mada. Kuanzia siku ya jana kumekuwepo na video na picha za majeruhi na waliofariki wenye majeraha yanayodhaniwa ni ya risasi na kwa taarifa za polisi wamekamata watu kadhaa kuhusiana na uchaguzi huku wakidai wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu lakini sijasikia kuhusiana na majeraha na vifo ambavyo vimeonekana kwenye pucha zilizopigwa kwa simu binafsi.

Kwa upande wa vyombo vya habari tunavyoviamini kwa habari muhimu za kichunguzi hatusikii wakithubutu kuelezea wananchi yanayotokea.

Ukimya huu ambao hata watumiaji wa JF tunauona humu ni wa kutilia shaka na unaacha maswali mengi kama je hovi vyombo vinaweza kutuletea habari sahihi zisizo na chembechembe za woga na upendeleo.

Waandishi wa habari na vyombo vyao wanapaswa kuelewa kuwa wao ni kiunganishi kikubwa katika mambo ya msingi ya nchi na wakishaharibu uaminifu wanaopewa na watizamaji, wasikilizaji na wasomaji wa habari zao wanajiingiza katika janga kubwa.

Mbona wewe binafsi umeshindwa kuweka hapa hizo video na picha? Au unasema Jamii forum wamekuzuia?
 
Mungu tu ndie atakaewalinda Wazanzibari na Zanzibar yote kwa ujumla.
Najiuliza ikiwa mtu anaejiita "MCHAMUNGU" anabariki yote haya yanayoendelea kwa raia wasio na hatia kisha anawataka haohao raia wamuombee?
Iko hivi, akiomba wamuombee, nashauri wamuombee maradhi yatakayomuondoa ikulu mapema na kuugua kwa miaka 15, ashuhudie haki ikitendeka na Wazanzibar kupata uwakilishi waliouchagua.
 
Niwatakieni salamu nyingi siku ya leo.

Moja kwa moja kwenye mada. Kuanzia siku ya jana kumekuwepo na video na picha za majeruhi na waliofariki wenye majeraha yanayodhaniwa ni ya risasi na kwa taarifa za polisi wamekamata watu kadhaa kuhusiana na uchaguzi huku wakidai wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu lakini sijasikia kuhusiana na majeraha na vifo ambavyo vimeonekana kwenye pucha zilizopigwa kwa simu binafsi.

Kwa upande wa vyombo vya habari tunavyoviamini kwa habari muhimu za kichunguzi hatusikii wakithubutu kuelezea wananchi yanayotokea.

Ukimya huu ambao hata watumiaji wa JF tunauona humu ni wa kutilia shaka na unaacha maswali mengi kama je hovi vyombo vinaweza kutuletea habari sahihi zisizo na chembechembe za woga na upendeleo.

Waandishi wa habari na vyombo vyao wanapaswa kuelewa kuwa wao ni kiunganishi kikubwa katika mambo ya msingi ya nchi na wakishaharibu uaminifu wanaopewa na watizamaji, wasikilizaji na wasomaji wa habari zao wanajiingiza katika janga kubwa.
Wanaogopa kubambikwa uhujumu uchumi
 
Zimevuja:Magufuli anaogopa sana, na hapati usingizi, mpaka abugie lundo la Vidonge vya hamu ya usingizi.
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee JPM asilale kisa majungu? Unaota wewe.
 
Back
Top Bottom