Naam, wanafuata watu vibarazani mtaani, sasa kama hujui Zanzibar kuna kikosi al maarufu wanaitwa Mazombie, wamevamia sehemu na kupiga watu, na kuna video imesambaa wamerikodiwa na CCTV wameiba hadi TV ambayo imeekwa nje watu walau watizame wasiokuwa na TV kwao.kwahiyo walikuwa wanawavamia na kuwapiga???maana nimesoma pia marehem kadhaa wameuwawa vibarazani mwao.yaani polisi na wanajeshi wanakufata kwako wanakupiga risasi,kama ulivyoandika mkuu.
ama kweli ni uonezi mkubwa.
Ni mambo ambayo yanasikitisha kwa kweli.... Wanawaingilia watu mitaani Usiku. Wanajenga chuki baina ya vikosi na raia hili ni jambo hatari sana. Polisi kama wameamua kutumia bunduki, basi walau wangekuwa wanatumia rubber bullets lakini wanatumia za moto kabisa, shot to kill...POLENI.
..Mambo haya yanatia uchungu.
..Nakosa maneno ya kuandika.
Mtanzania ambaye hajui hata kuandika jina la nchi yake kwa usahihi ni wa kupuuzwa na nakupuuza kama ninavyopuuza watuma post chini ya viwango.Kwanza wewe MPUMBAVU SANA. Hivi Kuna reaction bila action. Tafadhali najua humu wauza Unga. Wavuta bangi wapo kama wewe Lakini please. Acha Amani itawale Tansania. Sipo huko Lakini duniani kote wanajua tuna Amani. Hatuwezi uza Amani yetu kwa watu pumbavu na wajinga kama wewe. JAMII FORUMS ni wakati wenu kufuta mauzi chochezi. I hate people who take Things for granted, simply because they have the bundle and can hide beyond their keyboards. Stop it.
Acha kuficha maovu wewe.I T V ilikua live tangu asubuhi na Hakuna mtu yeyote anaepigwa zaidi ya wale wavuruga amani wanaolazimisha kupiga kura Leo wakati wao si watumishi WA umma. Wanatumika name mabeberu kupitia vibaraka wao Ili kuchafua taswira ya amani iliyopo.
asee kwa hii akili Kama yako ccm wataongoza milele..hivi umeona ulichopostNilichokiona ni wanachama wa ACT wakiwapiga mawe askari.Na hii ni baada ya kugundua watashindwa vibaya sana kwenye uchaguzi huu wanatamani fujo itokee.
MAGUFULI4LIFE.
Hata Mkapa alikana kufanya mauaji 2001 lakini mwisho wa siku alikiri na kujutia...Zanzibar hajakufa mtu, uongo unatengenezwa na Wapemba ambao ni mabingwa wa kubuni uongo na kulazimisha ionekane kama ukweli.
Huo ni mtazamo wako binafsi, wengine wanaona CCM kwa kutumia ZEC waliwahi mwanzo kupanga vurugu (kura ya awali). Sababu za ujanja huu wa kura ya awali haina mantiki.Polisi wanakabiliana na ghasia na vurugu zilizopangwa na ACT kabla ya uchaguzi.
Niwatakieni salamu nyingi siku ya leo.
Moja kwa moja kwenye mada. Kuanzia siku ya jana kumekuwepo na video na picha za majeruhi na waliofariki wenye majeraha yanayodhaniwa ni ya risasi na kwa taarifa za polisi wamekamata watu kadhaa kuhusiana na uchaguzi huku wakidai wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu lakini sijasikia kuhusiana na majeraha na vifo ambavyo vimeonekana kwenye pucha zilizopigwa kwa simu binafsi.
Kwa upande wa vyombo vya habari tunavyoviamini kwa habari muhimu za kichunguzi hatusikii wakithubutu kuelezea wananchi yanayotokea.
Ukimya huu ambao hata watumiaji wa JF tunauona humu ni wa kutilia shaka na unaacha maswali mengi kama je hovi vyombo vinaweza kutuletea habari sahihi zisizo na chembechembe za woga na upendeleo.
Waandishi wa habari na vyombo vyao wanapaswa kuelewa kuwa wao ni kiunganishi kikubwa katika mambo ya msingi ya nchi na wakishaharibu uaminifu wanaopewa na watizamaji, wasikilizaji na wasomaji wa habari zao wanajiingiza katika janga kubwa.
Iko hivi, akiomba wamuombee, nashauri wamuombee maradhi yatakayomuondoa ikulu mapema na kuugua kwa miaka 15, ashuhudie haki ikitendeka na Wazanzibar kupata uwakilishi waliouchagua.Mungu tu ndie atakaewalinda Wazanzibari na Zanzibar yote kwa ujumla.
Najiuliza ikiwa mtu anaejiita "MCHAMUNGU" anabariki yote haya yanayoendelea kwa raia wasio na hatia kisha anawataka haohao raia wamuombee?
Wanaogopa kubambikwa uhujumu uchumiNiwatakieni salamu nyingi siku ya leo.
Moja kwa moja kwenye mada. Kuanzia siku ya jana kumekuwepo na video na picha za majeruhi na waliofariki wenye majeraha yanayodhaniwa ni ya risasi na kwa taarifa za polisi wamekamata watu kadhaa kuhusiana na uchaguzi huku wakidai wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu lakini sijasikia kuhusiana na majeraha na vifo ambavyo vimeonekana kwenye pucha zilizopigwa kwa simu binafsi.
Kwa upande wa vyombo vya habari tunavyoviamini kwa habari muhimu za kichunguzi hatusikii wakithubutu kuelezea wananchi yanayotokea.
Ukimya huu ambao hata watumiaji wa JF tunauona humu ni wa kutilia shaka na unaacha maswali mengi kama je hovi vyombo vinaweza kutuletea habari sahihi zisizo na chembechembe za woga na upendeleo.
Waandishi wa habari na vyombo vyao wanapaswa kuelewa kuwa wao ni kiunganishi kikubwa katika mambo ya msingi ya nchi na wakishaharibu uaminifu wanaopewa na watizamaji, wasikilizaji na wasomaji wa habari zao wanajiingiza katika janga kubwa.
Dikteta amefanikiwa kumtisha kila mtu
Wewe uko Zanzibar?Zanzibar hajakufa mtu, uongo unatengenezwa na Wapemba ambao ni mabingwa wa kubuni uongo na kulazimisha ionekane kama ukweli.
Kwani wewe ulitaka kusikia habari gani?Acha kuficha maovu wewe.
Zanzibar hajakufa mtu, uongo unatengenezwa na Wapemba ambao ni mabingwa wa kubuni uongo na kulazimisha ionekane kama ukweli.
are you 100% sure ..uko zanzibar au bara ?Zanzibar hajakufa mtu, uongo unatengenezwa na Wapemba ambao ni mabingwa wa kubuni uongo na kulazimisha ionekane kama ukweli.
are you 100% sure ..uko zanzibar au baraZanzibar hajakufa mtu, uongo unatengenezwa na Wapemba ambao ni mabingwa wa kubuni uongo na kulazimisha ionekane kama ukweli.
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee JPM asilale kisa majungu? Unaota wewe.Zimevuja:Magufuli anaogopa sana, na hapati usingizi, mpaka abugie lundo la Vidonge vya hamu ya usingizi.