Ukimya wa Vyombo vya Habari kuhusu mapokeo ya matokeo ya Uchaguzi kwa walioshinda na walioshindwa

Ukimya wa Vyombo vya Habari kuhusu mapokeo ya matokeo ya Uchaguzi kwa walioshinda na walioshindwa

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Si kawaida vyombo vya habari kuishi habari katika kipindi cha uchaguzi ila kwa Tanzania Vyombo vyote vya Habari havina matangazo balanced, habari wanazotoa ni za upande mmoja hasa kuhusu maoni, mitizamo na mwono wa walioshindwa.

Leo hii walioshindwa wakijiunga na chama tawala hata kama aliyejiunga ni diwani media zote zinarusha lakini kuwahoji live walioshindwa kila mwandishi anaogopa na kwa waliojaribu wanafanya kwa kuvizia.

TUSIOGOPE HII NCHI NI YA WATANZANIA. NI NCHI YETU SOTE HATA KAMA WAPO WATANZANIA WA DARAJA LA KWANZA NA DARAJA LA CHINI ILA SOTE NI WANANCHI NDANI YA NCHI YETU TUABARISHENI. WAKORAAAA
 
Watu waropokaji sio vizuri kuwahoji live. Mtu kama Tundu Lissu dakika yoyote anaweza kurusha matusi, ukimuhoji live unaweza kusababisha mtafaruku.
 
Dada yangu uchaguzi umeisha na nyumbani Kagera tumempa Magufuli kura nyingi za KISHINDO tuijenge Nchi kwa pamoja.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Media za ndani zimefyata mkia zimebaki za nje tu Kuna DW kupitia redio tumaini ndiyo inamwaga nondo Kama zote.
Halafu Kuna mwandishi Nguli DOTTO BULENDU wa DW Daah anaitendea haki taaluma yake.​
 
Upinzani ulikua dhaifu sana kuweza kuishinda CCM iliyo imara kama chuma cha pua.
 
Back
Top Bottom