#COVID19 Ukiniambia kwanini napinga ripoti ya Tume ya CORONA, majibu yangu ni mepesi kabisa

#COVID19 Ukiniambia kwanini napinga ripoti ya Tume ya CORONA, majibu yangu ni mepesi kabisa

Hii ni moja ya tume kimeo kuwahi kutokea tz, imeleta majibu ya kinadharia kupita kiasi.

Ili kupambana na corona, mama angeendeleza model ya Magu.

Saizi corona wameanza kuipigia chapuo sana, na itaanza kukaa kwenye akili ya watu tena, kitu ambacho kitaleta hofu na taharuki, ambayo hupelekea kinga ya mwili kushuka, hatimaye watu wataanza kufa kwa presha bure.

Mimi naamini punde watu watakapoanza kuchanjwa, kuna kiasilimia watabinuka tu.

Bora wafuate model ya Magu, hiyo ndiyo 95% effective. Tumeishudia, hakuna cha wimbi wala mtoto wake na wimbi.

Mwanzo mama alikuwa vizuri, ila jakaya anamharibu.
Mkuu hii kitu ni ya wakubwa huko nje Ni mpango unaandaliwa wa Dunia nzima The new world order na ikionekana wewe unaenda tofauti na wao lazima wakuweke pembeni Kama Anko magu na chanjo itakuwa hiari kwa Sasa Ila badaye itakuwa lazima maana Kuna vigezo vitawekwa ambavyo vitakufanya wewe uchanjwe mfano kusafiri nje ya nchi au ndani ya nchi,kuchangamana na watu au kupata kazi kwenye kampuni yoyote ile.
 
Unge mwa acknowledge mwenye andiko. Inakuwa vyema zaidi.nlilisoma kwenye group moja kabla halijatumwa humu. Jina la mwandishi lililnitoka.


Walioleta hii ripoti ni wenye elimu kubwakubwa (Maprofesa, PhDs', Masters, Degrees) na wengineo wamo humo na inawezekana "La saba pia wamehusika kwa namna moja au nyingine, inawezekana kabisa dereva aliyewapeleka Ikulu ni Form Four Failure, ana leseni yake ya NIT akapata CONNECTION yuko pale anaendesha gari ya PhD holder pale.

Inawezekana kabisa aliyebadili tairi njiani ni mshikaji tu akiyeishia "La saba", huyo ndo kanusuru maisha yao kwa kuwabadilishia tairi lililochoka na kuweka jipya. Na akalipwa kiasi fulani cha fedha. Mlipaji huyu ni serikali kupitia kwa PhD holder anaepelekwa field kupata majibu ya maswali yake kujenga hoja kwenye tume ya Corona.

Kinachonishangaza ni kuona Elimu zetu hazitusaidii, tangu siku ya kwanza ilipotangazwa kuanzishwa Tume ya Corona, niliuliza maswali yafuatayo:-

1: Tume inaweza kuja na mapendekezo tofauti na Yale ya WHO?
2. TUME hii itakuja na majibu yasiyoacha shaka kwa Wananchi?
3: Tume hii itakiri kuwa CORONA nchini haipo?
4: Tume hii itaonesha athari halisi zilizopo mitaani bila kuacha shaka?
5: Tume hii itakubali kukosolewa?

Baada ya kitambo kidogo, majibu yametoka, maswali yangu yote yamejibiwa.
1: Tume haijavuka mapendekezo ya WHO hata moja, hakuna pendekezo la tume linalopingana na WHO, wamefanya ku_copy na ku_paste kila kitu. Sijaona dira yetu kama taifa ni ipi kuhakikisha tunaishi kulingana na Uhuru wetu kama taifa.

2: Tume imekuja na majibu yenye mashaka kwa wananchi, hakuna mtu asiye na shaka ma majibu ya tume kuanzia kwenye VITABU hivyo vikubwa 6.

3: Tume haijakubali kuwa CORONA ipo au haipo isipokuwa inazungumzia ujio wa WIMBI la 3 ambalo ni hatari zaidi, yaani TUME imefanyia kazi "HEAR SAYING" , kwamba na yenyewe inakubaliana na utabiri bila yenyewe kufanya ujasusi kujua iwapo ni taarifa za kweli ama si za kweli.

4; TUME imeshindwa kutupatia majibu sahihi kwamba hii chanjo tutakayochanjwa ilitengenezwa maalumu kwa ajili ya Kinga ya mlipuko upi? Maana hadi sasa tuko katika wimbi la PILI, chanjo hii ilikuwa maalumu kwa kundi la mlipuko upi, moja Kati ya ile miwili au kwa utakaokuja huo wa 3... Tume imefeli hapo katika kuainisha aina ya mlipuko na chanjo tunayoipokea ni kwa ajili ya mlipuko upi na ilitengenezwa maalumu kwa mlipuko upi.

5. Tume imeshindwa kutuelezea mafanikio ya chanjo zote hizo ni nchi zipi zimefanikiwa kuzuia maambukizi mapya baada ya kupatiwa chanjo hizo.

6: Tume imeshindwa kukubali au kukataa kuhusu athari za vifo vitokanavyo na chanjo hizi ikiwa tutadhurika na chanjo hizi, isipokuwa Tume imeihakikishia serikali kuwa ni chanjo salama na zenye ufanisi. Lakini muda huohuo inazitaja chanjo zote kuwa ni fanisi, muda huohuo inapata kigugumizi kuitaja chanjo ambayo wao wamejiridhisha nayo kuwa ni nzuri na salama.

7: Tume imeshindwa kutuambia katika mataifa ambayo viliripotiwa vifo vitokanavyo na watj kuchanjwa hizi chanjo zilitokana na nini na kwanini wao kama time wahisi hii chanjo itakuwa salama zaidi kwetu kuliko huko zilikoua wananchi wa mataifa mengine.

Ni kweli kabisa mimi sina elimu kubwa kama ya hawa MAPROFESA, ila ninaamini kuna utofauti mkubwa sana kati ya ELIMU na AKILI.

UTOFAUTI WAKE UPO HIVI: Akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.

Kwa mujibu wa mwanafalsafa wa zamani kidogo, Robert Einstein kwamba kuna watu wakiondoa yale waliyofundishwa darasani, vichwa vyao vinabaki vitupu. Kitu pekee walichojaza kichwani ni yale waliyofundishwa darasani. Hawa ndio hujisifia vyeti, au idadi ya "digrii" walizonazo. Hawana akili, japo wana elimu.

Einstein alisema hakuna uhusiano kati ya elimu na akili. Kuna watu wana elimu lakini hawana akili, na wengine wana akili lakini hawana elimu. Ni bora uwe na akili ukose elimu, kuliko uwe na elimu ukose akili.

Kaka yangu Malisa GJ aliwahi kusema kwamba Icons wa Sayansi kama Isaac Newton, Galileo Galilei na Archimedes of Syracuse hawakuwa na elimu yoyote ya cheti, diploma wala degree, lakini walikua na AKILI. Ugunduzi wao mpaka leo unaiongoza dunia.

Akili siku zote ni "superior" kuliko elimu kwa sababu akili ndio ilibuni elimu. Yani watu wenye akili walikaa wakakubaliana waanzishe utaratibu ambao utamuwezesha mtu kukaa darasani na kujifunza kwa kipindi fulani, kisha apimwe kwa mitihani na atunukiwe cheti. Ubunifu huo ulifanywa na wenye akili. Jiulize mtu wa kwanza kutunukiwa degree duniani alifundishwa na nani?

Kwa hiyo niseme tu kwamba ambao hatuna hizi PhDs mtuheshimu vilevile kwa maana tunazo "akili" za kutambua michongo yenu kwa urahisi zaidi kuliko kale kamstari kembamba kanachotenganisha akili nyingi na ukichaa.

C&P
 
5. Tume imeshindwa kutuelezea mafanikio ya chanjo zote hizo ni nchi zipi zimefanikiwa kuzuia maambukizi mapya baada ya kupatiwa chanjo hizo
IMG-20210518-WA0020.jpg
15-years-vs.-4-months-vaccine-injuries-and-deaths.jpg
 
Karibu Tanzania.

Nchi ambayo kila "takataka" ina utaalamu wa kila kitu.

No wonder.

Tanzania hakuna mtu mwenye uhakika na Afya yake na hajui cha kufanya.

1- Akitokea babu wa Loliondo watu wote huko huko

2- Akitokea mganga maarufu kutoka Nigeria watu wote huko

3- Akitokea sheikh anasoma Dua watu wote huko

4- Akitokea "Mwamposa" watu wote wanaenda huko kukanyaga mafuta na kufa huko huko

5- Akitokea Nabii TB Joshua anaombea watu, watu wote huko

6- Akitokea herbalist clinic anajitangaza kwenye TV anaponesha watu, watu wote huko

Watu hawana uhakika wamsikilize nani, kila mtu mjuvi. Wako tayari kuquestion masuala ya kitaalamu yenye ushahidi lakini ndumba au maombi yasiyo na ushahidi hakuna.

No wonder, Watanzania ni watu wa Ajabu.

Jaribu kuuliza wataalamu wa Afya wanaojihusisha na masuala ya clinical outreach na community awareness watakwambia.

Mtanzania hata ukimwelimisha kutumia chandarua utapata tabu sana. Muda wote anajihisi hisi tu kwamba kuna watu wana nia mbaya na wao.

Nenda mikoani huko,

Wajawazito wanashauriwa hudhurieni Clinic mpate chanjo yenye vitamini ya FOLIC ACID hawataki, finally wanazaa watoto wenye ULEMAVU wa vichwa vikubwa halafu wanaanza kusema wamerogwa. Watoto wenye vichwa vikubwa [emoji116][emoji116]

View attachment 1791926

Wodini huko ni vichekesho, Mtoto anazaliwa kitovu cha mtoto kinapakwa mavi ya tembo, ukiuliza sababu inafichwa.

Ukifanya CLTS ( Community-Led Total Sanitation ) ili angalau uweke mipango ya kuboresha afya utapata tabu.

Hata takwimu tu utazipata kwa shida, mtaalamu akifika kwenye kaya, akiuliza hapa mkuu wa Kaya yuko wapi anafichwa.

Na akitokeza ukauliza kwa mkuu wa kaya, mna watoto wangapi anaficha, anaona kama unampeleleza sijui uue watoto wake sijui uwapunguze.

Bahati mbaya sana kulikuwa na CONSIPIRACY THEORIST ikulu, kaongeza jeraha kabisa kwenye hali.

Serikali itapata tabu sana kuelimisha watu labda itumie wasanii wa Bongo fleva.

Anyway, ndio nchi yangu. Na sisi ndio watanzania

Jaji a.k.a Mkaruka asante sana kwa good analysis of Health
 
Hii ni moja ya tume kimeo kuwahi kutokea tz, imeleta majibu ya kinadharia kupita kiasi.

Ili kupambana na corona, mama angeendeleza model ya Magu.

Saizi corona wameanza kuipigia chapuo sana, na itaanza kukaa kwenye akili ya watu tena, kitu ambacho kitaleta hofu na taharuki, ambayo hupelekea kinga ya mwili kushuka, hatimaye watu wataanza kufa kwa presha bure.

Mimi naamini punde watu watakapoanza kuchanjwa, kuna kiasilimia watabinuka tu.

Bora wafuate model ya Magu, hiyo ndiyo 95% effective. Tumeishudia, hakuna cha wimbi wala mtoto wake na wimbi.

Mwanzo mama alikuwa vizuri, ila jakaya anamharibu.

Well said bro [emoji41], kudos [emoji1548]
 
Mkuu hii kitu ni ya wakubwa huko nje Ni mpango unaandaliwa wa Dunia nzima The new world order na ikionekana wewe unaenda tofauti na wao lazima wakuweke pembeni Kama Anko magu na chanjo itakuwa hiari kwa Sasa Ila badaye itakuwa lazima maana Kuna vigezo vitawekwa ambavyo vitakufanya wewe uchanjwe mfano kusafiri nje ya nchi au ndani ya nchi,kuchangamana na watu au kupata kazi kwenye kampuni yoyote ile.

Sawa Mkwaya Org
 
Ukitazama kwa jicho la tatu hii tume ina hiden Agenda.
Nafikiri Mama aliamua kufuata matakwa ya WHO ila hakutaka ionekane ni uamuzi wake binafsi kama alivyokua anafanya bwana jiwe

Kwahiyo Mama kajivua lawama isionekane ni maamuzi yake binafsi maana wanasayansi wetu bongo walikua wakiisakama serikali balaa khs nyungu
 
Walioleta hii ripoti ni wenye elimu kubwakubwa (Maprofesa, PhDs', Masters, Degrees) na wengineo wamo humo na inawezekana "La saba pia wamehusika kwa namna moja au nyingine, inawezekana kabisa dereva aliyewapeleka Ikulu ni Form Four Failure, ana leseni yake ya NIT akapata CONNECTION yuko pale anaendesha gari ya PhD holder pale.

Inawezekana kabisa aliyebadili tairi njiani ni mshikaji tu akiyeishia "La saba", huyo ndo kanusuru maisha yao kwa kuwabadilishia tairi lililochoka na kuweka jipya. Na akalipwa kiasi fulani cha fedha. Mlipaji huyu ni serikali kupitia kwa PhD holder anaepelekwa field kupata majibu ya maswali yake kujenga hoja kwenye tume ya Corona.

Kinachonishangaza ni kuona Elimu zetu hazitusaidii, tangu siku ya kwanza ilipotangazwa kuanzishwa Tume ya Corona, niliuliza maswali yafuatayo:-

1: Tume inaweza kuja na mapendekezo tofauti na Yale ya WHO?
2. TUME hii itakuja na majibu yasiyoacha shaka kwa Wananchi?
3: Tume hii itakiri kuwa CORONA nchini haipo?
4: Tume hii itaonesha athari halisi zilizopo mitaani bila kuacha shaka?
5: Tume hii itakubali kukosolewa?

Baada ya kitambo kidogo, majibu yametoka, maswali yangu yote yamejibiwa.
1: Tume haijavuka mapendekezo ya WHO hata moja, hakuna pendekezo la tume linalopingana na WHO, wamefanya ku_copy na ku_paste kila kitu. Sijaona dira yetu kama taifa ni ipi kuhakikisha tunaishi kulingana na Uhuru wetu kama taifa.

2: Tume imekuja na majibu yenye mashaka kwa wananchi, hakuna mtu asiye na shaka ma majibu ya tume kuanzia kwenye VITABU hivyo vikubwa 6.

3: Tume haijakubali kuwa CORONA ipo au haipo isipokuwa inazungumzia ujio wa WIMBI la 3 ambalo ni hatari zaidi, yaani TUME imefanyia kazi "HEAR SAYING" , kwamba na yenyewe inakubaliana na utabiri bila yenyewe kufanya ujasusi kujua iwapo ni taarifa za kweli ama si za kweli.

4; TUME imeshindwa kutupatia majibu sahihi kwamba hii chanjo tutakayochanjwa ilitengenezwa maalumu kwa ajili ya Kinga ya mlipuko upi? Maana hadi sasa tuko katika wimbi la PILI, chanjo hii ilikuwa maalumu kwa kundi la mlipuko upi, moja Kati ya ile miwili au kwa utakaokuja huo wa 3... Tume imefeli hapo katika kuainisha aina ya mlipuko na chanjo tunayoipokea ni kwa ajili ya mlipuko upi na ilitengenezwa maalumu kwa mlipuko upi.

5. Tume imeshindwa kutuelezea mafanikio ya chanjo zote hizo ni nchi zipi zimefanikiwa kuzuia maambukizi mapya baada ya kupatiwa chanjo hizo.

6: Tume imeshindwa kukubali au kukataa kuhusu athari za vifo vitokanavyo na chanjo hizi ikiwa tutadhurika na chanjo hizi, isipokuwa Tume imeihakikishia serikali kuwa ni chanjo salama na zenye ufanisi. Lakini muda huohuo inazitaja chanjo zote kuwa ni fanisi, muda huohuo inapata kigugumizi kuitaja chanjo ambayo wao wamejiridhisha nayo kuwa ni nzuri na salama.

7: Tume imeshindwa kutuambia katika mataifa ambayo viliripotiwa vifo vitokanavyo na watj kuchanjwa hizi chanjo zilitokana na nini na kwanini wao kama time wahisi hii chanjo itakuwa salama zaidi kwetu kuliko huko zilikoua wananchi wa mataifa mengine.

Ni kweli kabisa mimi sina elimu kubwa kama ya hawa MAPROFESA, ila ninaamini kuna utofauti mkubwa sana kati ya ELIMU na AKILI.

UTOFAUTI WAKE UPO HIVI: Akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.

Kwa mujibu wa mwanafalsafa wa zamani kidogo, Robert Einstein kwamba kuna watu wakiondoa yale waliyofundishwa darasani, vichwa vyao vinabaki vitupu. Kitu pekee walichojaza kichwani ni yale waliyofundishwa darasani. Hawa ndio hujisifia vyeti, au idadi ya "digrii" walizonazo. Hawana akili, japo wana elimu.

Einstein alisema hakuna uhusiano kati ya elimu na akili. Kuna watu wana elimu lakini hawana akili, na wengine wana akili lakini hawana elimu. Ni bora uwe na akili ukose elimu, kuliko uwe na elimu ukose akili.

Kaka yangu Malisa GJ aliwahi kusema kwamba Icons wa Sayansi kama Isaac Newton, Galileo Galilei na Archimedes of Syracuse hawakuwa na elimu yoyote ya cheti, diploma wala degree, lakini walikua na AKILI. Ugunduzi wao mpaka leo unaiongoza dunia.

Akili siku zote ni "superior" kuliko elimu kwa sababu akili ndio ilibuni elimu. Yani watu wenye akili walikaa wakakubaliana waanzishe utaratibu ambao utamuwezesha mtu kukaa darasani na kujifunza kwa kipindi fulani, kisha apimwe kwa mitihani na atunukiwe cheti. Ubunifu huo ulifanywa na wenye akili. Jiulize mtu wa kwanza kutunukiwa degree duniani alifundishwa na nani?

Kwa hiyo niseme tu kwamba ambao hatuna hizi PhDs mtuheshimu vilevile kwa maana tunazo "akili" za kutambua michongo yenu kwa urahisi zaidi kuliko kale kamstari kembamba kanachotenganisha akili nyingi na ukichaa.

C&P
Upo sawa kabisa, hiyo tume imesheheni upumbafu kabisa ambao hauwezi tolewa na elimu!
 
Nafikiri Mama aliamua kufuata matakwa ya WHO ila hakutaka ionekane ni uamuzi wake binafsi kama alivyokua anafanya bwana jiwe

Kwahiyo Mama kajivua lawama isionekane ni maamuzi yake binafsi maana wanasayansi wetu bongo walikua wakiisakama serikali balaa khs nyungu
Kuna wanasayansi bongo hii mkuu? Kama ukitaka kujua wanasayansi wetu, check kilicholetwa na tume hii, full plagiarism.
 
Supreme Court has canceled universal vaccination

In the United States, the Supreme Court has canceled universal vaccination. Bill Gates, US Chief Infectious Disease Specialist Fauci, and Big Pharma have lost a lawsuit in the US Supreme Court, failing to prove that all of their vaccines over the past 32 years have been safe for the health of citizens! The lawsuit was filed by a group of scientists led by Senator Kennedy.

Robert F. Kennedy Jr .: “The new COVID vaccine should be avoided at all costs.

I urgently draw your attention to important issues related to the next vaccination against Covid-19.

For the first time in the history of vaccination, the so-called mRNA vaccines of the latest generation directly interfere with the patient's genetic material and therefore alter the individual genetic material, which is genetic manipulation, which was already prohibited and was previously considered a crime.
The coronavirus VACCINE IS NOT A VACCINE! ATTENTION!
What has always been a vaccine?
It was always the pathogen itself - a microbe or virus that was killed or attenuated, that is, weakened - and it was introduced into the body in order to produce antibodies.
Not even a coronavirus vaccine!
She's not that at all!
It is part of the newest group of mRNA (mRNA) allegedly "vaccines"
Once inside a human cell, mRNA reprograms normal RNA / DNA, which begins to make another protein.
That is, nothing to do with traditional vaccines! That is, it is an instrument of genetic influence. Gene weapon! That is, they were going to destroy from earthlings, and the survivors will become GMOs!
Following the unprecedented mRNA vaccine, the vaccinated will no longer be able to treat the symptoms of the vaccine in an additional way.
Vaccinated people will have to come to terms with the consequences, because they can no longer be cured by simply removing toxins from the human body, as in a person with a genetic defect such as Down syndrome, Klinefelter syndrome, Turner syndrome, genetic heart failure, hemophilia, cystic fibrosis, Rett syndrome, etc. ), because the genetic defect is forever!

This clearly means:
if a symptom of vaccination develops after mRNA vaccination, neither I nor any other therapist can help you, because
DAMAGE CAUSED BY VACCINATION WILL BE GENETICALLY Irreversible.


[emoji779]Workman library rightly observe that according to professor mike Yeedon Vaccination is a weapons of genocide of the 21st century.

Former Pfizer Chief Scientist Mike Yeedon has once again expressed his position that it is too late now to save those who have been injected with a substance publicly called "the Covid-19 vaccine."

He encourages those who have not yet received the lethal injection to fight for their lives, those around them and the lives of their children.

The internationally renowned immunologist goes on to describe a process that he says will kill the vast majority of people:
"Immediately after the first vaccination, about 0.8% of people die within two weeks.
The average life expectancy of survivors will be a maximum of two years, but it also decreases with each new "injection". "

Additional vaccines are still being developed to cause deterioration in certain organs, including the heart, lungs and brain.

After two decades at Pfizer, Professor Yedon was familiar with the functions and research and development goals of pharmaceutical giant Pfizer, and states that the ultimate goal of the current "vaccination" regime can only be a massive demographic event that will make all world wars put together, like Mickey's staging Mouse.

"Billions of people have already been sentenced to certain, inevitable and painful death. Anyone who receives the injection will die prematurely, and three years is a generous estimate of how long they can survive."

Posted to Workman Library
Jamani wanaJF vijana wanasema kama kusoma huwezi hata PICHA inakushinda.

Kama magwiji wa dunia wanasema hayo aliyotuletea M2WAWA2 hivi sisi ni nani tushabikie chanjo.
 
Back
Top Bottom