#COVID19 Ukiniambia kwanini napinga ripoti ya Tume ya CORONA, majibu yangu ni mepesi kabisa

#COVID19 Ukiniambia kwanini napinga ripoti ya Tume ya CORONA, majibu yangu ni mepesi kabisa

Ripoti ya tume kwa ujumla wake iko vizuri sana. Pia zingatia kina msukuma hawawezi kuacha kununa kwa uwepo wa ripoti kama hiyo.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]

Mkuu heshima kwako.

Kwa vile hao waanga watanuna tu madhali hii ni awamu ya sita, basi ninasitisha rasmi majibu yangu kwenye hoja za uzi wako zilizowafanya kudemka kuliko mheshimiwa supika.

Ya nini sasa nkatwange maji kwenye kinu?
 
Mkuu heshima kwako.

Kwa vile hao waanga watanuna tu madhali hii ni awamu ya sita, basi ninasitisha rasmi majibu yangu kwenye hoja za uzi wako zilizowafanya kudemka kuliko mheshimiwa supika.

Ya nini sasa nkatwange maji kwenye kinu?
Hapaka kaka acha nyeupe iwe nyeupe ..weka kama ilivyo
 
Hapaka kaka acha nyeupe iwe nyeupe ..weka kama ilivyo

Mama anatuletea katiba mpya. Pole pole ndiyo mwendo.

Ningekuwa na sababu za kumalizia kuandika kuchelea kupoteza mpambanaji caliber yako lakini si kwa sababu ya kina nchukuma 😂😂😂😂😂😂😂 ambao kwao mama ni outcast!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Karibu Tanzania.

Nchi ambayo kila "takataka" ina utaalamu wa kila kitu.

No wonder.

Tanzania hakuna mtu mwenye uhakika na Afya yake na hajui cha kufanya.

1- Akitokea babu wa Loliondo watu wote huko huko

2- Akitokea mganga maarufu kutoka Nigeria watu wote huko

3- Akitokea sheikh anasoma Dua watu wote huko

4- Akitokea "Mwamposa" watu wote wanaenda huko kukanyaga mafuta na kufa huko huko

5- Akitokea Nabii TB Joshua anaombea watu, watu wote huko

6- Akitokea herbalist clinic anajitangaza kwenye TV anaponesha watu, watu wote huko

Watu hawana uhakika wamsikilize nani, kila mtu mjuvi. Wako tayari kuquestion masuala ya kitaalamu yenye ushahidi lakini ndumba au maombi yasiyo na ushahidi hakuna.

No wonder, Watanzania ni watu wa Ajabu.

Jaribu kuuliza wataalamu wa Afya wanaojihusisha na masuala ya clinical outreach na community awareness watakwambia.

Mtanzania hata ukimwelimisha kutumia chandarua utapata tabu sana. Muda wote anajihisi hisi tu kwamba kuna watu wana nia mbaya na wao.

Nenda mikoani huko,

Wajawazito wanashauriwa hudhurieni Clinic mpate chanjo yenye vitamini ya FOLIC ACID hawataki, finally wanazaa watoto wenye ULEMAVU wa vichwa vikubwa halafu wanaanza kusema wamerogwa. Watoto wenye vichwa vikubwa [emoji116][emoji116]

View attachment 1791926

Wodini huko ni vichekesho, Mtoto anazaliwa kitovu cha mtoto kinapakwa mavi ya tembo, ukiuliza sababu inafichwa.

Ukifanya CLTS ( Community-Led Total Sanitation ) ili angalau uweke mipango ya kuboresha afya utapata tabu.

Hata takwimu tu utazipata kwa shida, mtaalamu akifika kwenye kaya, akiuliza hapa mkuu wa Kaya yuko wapi anafichwa.

Na akitokeza ukauliza kwa mkuu wa kaya, mna watoto wangapi anaficha, anaona kama unampeleleza sijui uue watoto wake sijui uwapunguze.

Bahati mbaya sana kulikuwa na CONSIPIRACY THEORIST ikulu, kaongeza jeraha kabisa kwenye hali.

Serikali itapata tabu sana kuelimisha watu labda itumie wasanii wa Bongo fleva.

Anyway, ndio nchi yangu. Na sisi ndio watanzania
Umeandika points tupuuu
 
Karibu Tanzania.

Nchi ambayo kila "takataka" ina utaalamu wa kila kitu.

No wonder.

Tanzania hakuna mtu mwenye uhakika na Afya yake na hajui cha kufanya.

1- Akitokea babu wa Loliondo watu wote huko huko

2- Akitokea mganga maarufu kutoka Nigeria watu wote huko

3- Akitokea sheikh anasoma Dua watu wote huko

4- Akitokea "Mwamposa" watu wote wanaenda huko kukanyaga mafuta na kufa huko huko

5- Akitokea Nabii TB Joshua anaombea watu, watu wote huko

6- Akitokea herbalist clinic anajitangaza kwenye TV anaponesha watu, watu wote huko

Watu hawana uhakika wamsikilize nani, kila mtu mjuvi. Wako tayari kuquestion masuala ya kitaalamu yenye ushahidi lakini ndumba au maombi yasiyo na ushahidi hakuna.

No wonder, Watanzania ni watu wa Ajabu.

Jaribu kuuliza wataalamu wa Afya wanaojihusisha na masuala ya clinical outreach na community awareness watakwambia.

Mtanzania hata ukimwelimisha kutumia chandarua utapata tabu sana. Muda wote anajihisi hisi tu kwamba kuna watu wana nia mbaya na wao.

Nenda mikoani huko,

Wajawazito wanashauriwa hudhurieni Clinic mpate chanjo yenye vitamini ya FOLIC ACID hawataki, finally wanazaa watoto wenye ULEMAVU wa vichwa vikubwa halafu wanaanza kusema wamerogwa. Watoto wenye vichwa vikubwa [emoji116][emoji116]

View attachment 1791926

Wodini huko ni vichekesho, Mtoto anazaliwa kitovu cha mtoto kinapakwa mavi ya tembo, ukiuliza sababu inafichwa.

Ukifanya CLTS ( Community-Led Total Sanitation ) ili angalau uweke mipango ya kuboresha afya utapata tabu.

Hata takwimu tu utazipata kwa shida, mtaalamu akifika kwenye kaya, akiuliza hapa mkuu wa Kaya yuko wapi anafichwa.

Na akitokeza ukauliza kwa mkuu wa kaya, mna watoto wangapi anaficha, anaona kama unampeleleza sijui uue watoto wake sijui uwapunguze.

Bahati mbaya sana kulikuwa na CONSIPIRACY THEORIST ikulu, kaongeza jeraha kabisa kwenye hali.

Serikali itapata tabu sana kuelimisha watu labda itumie wasanii wa Bongo fleva.

Anyway, ndio nchi yangu. Na sisi ndio watanzania

Lakini haitoshi kufikiri au kusema kuwa “CONSPIRACY THEORY” haipo. Hii ndio alioisema Mshana kuwa elimu na akili ni vitu tofauti sana. Ulichokileta hapa ni “elimu” na sio akili. Kwani kuna tatizo gani kuhoji yaliyofanyika au yanayofanyika na watu wengine? Je tunapaswa kupokea tu yaliyofanywa na hao unaoona wana akili?
Elimu uliyofundishwa imeleta mabadiliko sana na hata kufifisha “Akili” zilizokuwepo awali.
 
Hawa watu wanataka kupiga hela kwa manufaa yao binafsi. Ila watanzania sio wajinga kama wanavyotufikiria. Ngoja tuone mwisho wao utakuwaje.
 
Mama anatuletea katiba mpya. Pole pole ndiyo mwendo.

Ningekuwa na sababu za kumalizia kuandika kuchelea kupoteza mpambanaji caliber yako lakini si kwa sababu ya kina nchukuma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ambao kwao mama ni outcast!

Au nasema uongo ndugu zangu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini haitoshi kufikiri au kusema kuwa “CONSPIRACY THEORY” haipo. Hii ndio alioisema Mshana kuwa elimu na akili ni vitu tofauti sana. Ulichokileta hapa ni “elimu” na sio akili. Kwani kuna tatizo gani kuhoji yaliyofanyika au yanayofanyika na watu wengine? Je tunapaswa kupokea tu yaliyofanywa na hao unaoona wana akili?
Elimu uliyofundishwa imeleta mabadiliko sana na hata kufifisha “Akili” zilizokuwepo awali.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mimi nilishasema hii chanjo hata kwa bunduki hawanichanji..
 
Walioleta hii ripoti ni wenye elimu kubwakubwa (Maprofesa, PhDs', Masters, Degrees) na wengineo wamo humo na inawezekana "La saba pia wamehusika kwa namna moja au nyingine, inawezekana kabisa dereva aliyewapeleka Ikulu ni Form Four Failure, ana leseni yake ya NIT akapata CONNECTION yuko pale anaendesha gari ya PhD holder pale.

Inawezekana kabisa aliyebadili tairi njiani ni mshikaji tu akiyeishia "La saba", huyo ndo kanusuru maisha yao kwa kuwabadilishia tairi lililochoka na kuweka jipya. Na akalipwa kiasi fulani cha fedha. Mlipaji huyu ni serikali kupitia kwa PhD holder anaepelekwa field kupata majibu ya maswali yake kujenga hoja kwenye tume ya Corona.

Kinachonishangaza ni kuona Elimu zetu hazitusaidii, tangu siku ya kwanza ilipotangazwa kuanzishwa Tume ya Corona, niliuliza maswali yafuatayo:-

1: Tume inaweza kuja na mapendekezo tofauti na Yale ya WHO?
2. TUME hii itakuja na majibu yasiyoacha shaka kwa Wananchi?
3: Tume hii itakiri kuwa CORONA nchini haipo?
4: Tume hii itaonesha athari halisi zilizopo mitaani bila kuacha shaka?
5: Tume hii itakubali kukosolewa?

Baada ya kitambo kidogo, majibu yametoka, maswali yangu yote yamejibiwa.
1: Tume haijavuka mapendekezo ya WHO hata moja, hakuna pendekezo la tume linalopingana na WHO, wamefanya ku_copy na ku_paste kila kitu. Sijaona dira yetu kama taifa ni ipi kuhakikisha tunaishi kulingana na Uhuru wetu kama taifa.

2: Tume imekuja na majibu yenye mashaka kwa wananchi, hakuna mtu asiye na shaka ma majibu ya tume kuanzia kwenye VITABU hivyo vikubwa 6.

3: Tume haijakubali kuwa CORONA ipo au haipo isipokuwa inazungumzia ujio wa WIMBI la 3 ambalo ni hatari zaidi, yaani TUME imefanyia kazi "HEAR SAYING" , kwamba na yenyewe inakubaliana na utabiri bila yenyewe kufanya ujasusi kujua iwapo ni taarifa za kweli ama si za kweli.

4; TUME imeshindwa kutupatia majibu sahihi kwamba hii chanjo tutakayochanjwa ilitengenezwa maalumu kwa ajili ya Kinga ya mlipuko upi? Maana hadi sasa tuko katika wimbi la PILI, chanjo hii ilikuwa maalumu kwa kundi la mlipuko upi, moja Kati ya ile miwili au kwa utakaokuja huo wa 3... Tume imefeli hapo katika kuainisha aina ya mlipuko na chanjo tunayoipokea ni kwa ajili ya mlipuko upi na ilitengenezwa maalumu kwa mlipuko upi.

5. Tume imeshindwa kutuelezea mafanikio ya chanjo zote hizo ni nchi zipi zimefanikiwa kuzuia maambukizi mapya baada ya kupatiwa chanjo hizo.

6: Tume imeshindwa kukubali au kukataa kuhusu athari za vifo vitokanavyo na chanjo hizi ikiwa tutadhurika na chanjo hizi, isipokuwa Tume imeihakikishia serikali kuwa ni chanjo salama na zenye ufanisi. Lakini muda huohuo inazitaja chanjo zote kuwa ni fanisi, muda huohuo inapata kigugumizi kuitaja chanjo ambayo wao wamejiridhisha nayo kuwa ni nzuri na salama.

7: Tume imeshindwa kutuambia katika mataifa ambayo viliripotiwa vifo vitokanavyo na watj kuchanjwa hizi chanjo zilitokana na nini na kwanini wao kama time wahisi hii chanjo itakuwa salama zaidi kwetu kuliko huko zilikoua wananchi wa mataifa mengine.

Ni kweli kabisa mimi sina elimu kubwa kama ya hawa MAPROFESA, ila ninaamini kuna utofauti mkubwa sana kati ya ELIMU na AKILI.

UTOFAUTI WAKE UPO HIVI: Akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.

Kwa mujibu wa mwanafalsafa wa zamani kidogo, Robert Einstein kwamba kuna watu wakiondoa yale waliyofundishwa darasani, vichwa vyao vinabaki vitupu. Kitu pekee walichojaza kichwani ni yale waliyofundishwa darasani. Hawa ndio hujisifia vyeti, au idadi ya "digrii" walizonazo. Hawana akili, japo wana elimu.

Einstein alisema hakuna uhusiano kati ya elimu na akili. Kuna watu wana elimu lakini hawana akili, na wengine wana akili lakini hawana elimu. Ni bora uwe na akili ukose elimu, kuliko uwe na elimu ukose akili.

Kaka yangu Malisa GJ aliwahi kusema kwamba Icons wa Sayansi kama Isaac Newton, Galileo Galilei na Archimedes of Syracuse hawakuwa na elimu yoyote ya cheti, diploma wala degree, lakini walikua na AKILI. Ugunduzi wao mpaka leo unaiongoza dunia.

Akili siku zote ni "superior" kuliko elimu kwa sababu akili ndio ilibuni elimu. Yani watu wenye akili walikaa wakakubaliana waanzishe utaratibu ambao utamuwezesha mtu kukaa darasani na kujifunza kwa kipindi fulani, kisha apimwe kwa mitihani na atunukiwe cheti. Ubunifu huo ulifanywa na wenye akili. Jiulize mtu wa kwanza kutunukiwa degree duniani alifundishwa na nani?

Kwa hiyo niseme tu kwamba ambao hatuna hizi PhDs mtuheshimu vilevile kwa maana tunazo "akili" za kutambua michongo yenu kwa urahisi zaidi kuliko kale kamstari kembamba kanachotenganisha akili nyingi na ukichaa.

C&P
India huko na kuna nchi moja nimesahau karibia asilimka kubwa wamechoma sindano na ajabu ugonjwa ndio unazid juzi hapa kuna wachina kibao wamefika eti wanataka kufungua pharmacy hiz na gafla tunasikia minara ya 5g inafungwa ndugu zanguni tumekwisha mama anatumbukiza shimoni tujianxae na vifo tukiacha wosia wa magu tujifukize tukajifanya kuchomani watu wameshachukua pesa mfukoninkimya kimya kilichobaki kuzikana tu tuombe sana hii nchi....
 
India huko na kuna nchi moja nimesahau karibia asilimka kubwa wamechoma sindano na ajabu ugonjwa ndio unazid juzi hapa kuna wachina kibao wamefika eti wanataka kufungua pharmacy hiz na gafla tunasikia minara ya 5g inafungwa ndugu zanguni tumekwisha mama anatumbukiza shimoni tujianxae na vifo tukiacha wosia wa magu tujifukize tukajifanya kuchomani watu wameshachukua pesa mfukoninkimya kimya kilichobaki kuzikana tu tuombe sana hii nchi....
Angakieni hii video
 
Kabisa mkuu,tuombe maamuzi ya serikali yasiwe kushurutisha kama majirani zetu Kenya.Kufa kwa njaa ni uhakika kuliko hiyo corona
Kweli maisha ya watanzania wengi ya yale ya kutafuta pesa ya kula kila siku
 
Lakini haitoshi kufikiri au kusema kuwa “CONSPIRACY THEORY” haipo. Hii ndio alioisema Mshana kuwa elimu na akili ni vitu tofauti sana. Ulichokileta hapa ni “elimu” na sio akili. Kwani kuna tatizo gani kuhoji yaliyofanyika au yanayofanyika na watu wengine? Je tunapaswa kupokea tu yaliyofanywa na hao unaoona wana akili?
Elimu uliyofundishwa imeleta mabadiliko sana na hata kufifisha “Akili” zilizokuwepo awali.
Kuna ku-challenge ambacho ni kitu kinaruhusiwa kabisa.

Lakini kuna baseless claims. Unabishana tu au kujenga hofu tu isiyokuwepo kutokana na uvumi tu ambao hata wewe mwenyewe hujui umeutoa wapi.

Corona virus imetokea China, ulitaka hao maprofesa waende China kutafiti Corona?

Mfano hapa hujui matatizo ya hawa watu ni yapi ?

  • Je, ni COVID-19 au Chanjo ?
  • Je, tatizo ni chanjo au wazungu ?

Na kama tatizo ni canjobya COVID au chanjo zote ?
Na kama tatizo ni Chanjo ya Covid ni ipi: Astra Zeneca, Moderna, Pfizer, au Sinovac ?

Na kwanini ulaumu wazungu kwa COVID-19 wakati tunajua imetoka China.

- Na kama tatizo ni Chanjo ya wazungu, ni nani kawalazimisha kununua chanjo ya wazungu wakati Sinovac ya mchina ipo.
 
Yani mimi nilishasema hii chanjo hata kwa bunduki hawanichanji..
Wala usiwe na hofu, serikali haina pesa za kununua chanjo ya kutosha kila mtanzania. Hata huko nchi zilizoendelea vijana wengi hawajapata.

Kama ikiletwa watakaochanja bure wanaweza kuwa watumishi wa Afya ( frontliners ), probably na wazee.

Wasafiri ambao ndio watu wanaoihitaji hiyo chanjo kwa nguvu wanaweza kuipata probably kwa kulipia.
 
Kuna ku-challenge ambacho ni kitu kinaruhusiwa kabisa.

Lakini kuna baseless claims. Unabishana tu au kujenga hofu tu isiyokuwepo kutokana na uvumi tu ambao hata wewe mwenyewe hujui umeutoa wapi.

Corona virus imetokea China, ulitaka hao maprofesa waende China kutafiti Corona?

Mfano hapa hujui matatizo ya hawa watu ni yapi ?

  • Je, ni COVID-19 au Chanjo ?
  • Je, tatizo ni chanjo au wazungu ?

Na kama tatizo ni canjobya COVID au chanjo zote ?
Na kama tatizo ni Chanjo ya Covid ni ipi: Astra Zeneca, Moderna, Pfizer, au Sinovac ?

Na kwanini ulaumu wazungu kwa COVID-19 wakati tunajua imetoka China.

- Na kama tatizo ni Chanjo ya wazungu, ni nani kawalazimisha kununua chanjo ya wazungu wakati Sinovac ya mchina ipo.

So wewe unaona hiyo kamati imemulika hayo unayoyauliza?
Angalia hoja nzima ya Mshana alichokisema, then pima hoja uliyoileta hapa kama inaendana na muktadha mzima wa kile kamati ya corona ilichokifanya.
 
Walioleta hii ripoti ni wenye elimu kubwakubwa (Maprofesa, PhDs', Masters, Degrees) na wengineo wamo humo na inawezekana "La saba pia wamehusika kwa namna moja au nyingine, inawezekana kabisa dereva aliyewapeleka Ikulu ni Form Four Failure, ana leseni yake ya NIT akapata CONNECTION yuko pale anaendesha gari ya PhD holder pale.

Inawezekana kabisa aliyebadili tairi njiani ni mshikaji tu akiyeishia "La saba", huyo ndo kanusuru maisha yao kwa kuwabadilishia tairi lililochoka na kuweka jipya. Na akalipwa kiasi fulani cha fedha. Mlipaji huyu ni serikali kupitia kwa PhD holder anaepelekwa field kupata majibu ya maswali yake kujenga hoja kwenye tume ya Corona.

Kinachonishangaza ni kuona Elimu zetu hazitusaidii, tangu siku ya kwanza ilipotangazwa kuanzishwa Tume ya Corona, niliuliza maswali yafuatayo:-

1: Tume inaweza kuja na mapendekezo tofauti na Yale ya WHO?
2. TUME hii itakuja na majibu yasiyoacha shaka kwa Wananchi?
3: Tume hii itakiri kuwa CORONA nchini haipo?
4: Tume hii itaonesha athari halisi zilizopo mitaani bila kuacha shaka?
5: Tume hii itakubali kukosolewa?

Baada ya kitambo kidogo, majibu yametoka, maswali yangu yote yamejibiwa.
1: Tume haijavuka mapendekezo ya WHO hata moja, hakuna pendekezo la tume linalopingana na WHO, wamefanya ku_copy na ku_paste kila kitu. Sijaona dira yetu kama taifa ni ipi kuhakikisha tunaishi kulingana na Uhuru wetu kama taifa.

2: Tume imekuja na majibu yenye mashaka kwa wananchi, hakuna mtu asiye na shaka ma majibu ya tume kuanzia kwenye VITABU hivyo vikubwa 6.

3: Tume haijakubali kuwa CORONA ipo au haipo isipokuwa inazungumzia ujio wa WIMBI la 3 ambalo ni hatari zaidi, yaani TUME imefanyia kazi "HEAR SAYING" , kwamba na yenyewe inakubaliana na utabiri bila yenyewe kufanya ujasusi kujua iwapo ni taarifa za kweli ama si za kweli.

4; TUME imeshindwa kutupatia majibu sahihi kwamba hii chanjo tutakayochanjwa ilitengenezwa maalumu kwa ajili ya Kinga ya mlipuko upi? Maana hadi sasa tuko katika wimbi la PILI, chanjo hii ilikuwa maalumu kwa kundi la mlipuko upi, moja Kati ya ile miwili au kwa utakaokuja huo wa 3... Tume imefeli hapo katika kuainisha aina ya mlipuko na chanjo tunayoipokea ni kwa ajili ya mlipuko upi na ilitengenezwa maalumu kwa mlipuko upi.

5. Tume imeshindwa kutuelezea mafanikio ya chanjo zote hizo ni nchi zipi zimefanikiwa kuzuia maambukizi mapya baada ya kupatiwa chanjo hizo.

6: Tume imeshindwa kukubali au kukataa kuhusu athari za vifo vitokanavyo na chanjo hizi ikiwa tutadhurika na chanjo hizi, isipokuwa Tume imeihakikishia serikali kuwa ni chanjo salama na zenye ufanisi. Lakini muda huohuo inazitaja chanjo zote kuwa ni fanisi, muda huohuo inapata kigugumizi kuitaja chanjo ambayo wao wamejiridhisha nayo kuwa ni nzuri na salama.

7: Tume imeshindwa kutuambia katika mataifa ambayo viliripotiwa vifo vitokanavyo na watj kuchanjwa hizi chanjo zilitokana na nini na kwanini wao kama time wahisi hii chanjo itakuwa salama zaidi kwetu kuliko huko zilikoua wananchi wa mataifa mengine.

Ni kweli kabisa mimi sina elimu kubwa kama ya hawa MAPROFESA, ila ninaamini kuna utofauti mkubwa sana kati ya ELIMU na AKILI.

UTOFAUTI WAKE UPO HIVI: Akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.

Kwa mujibu wa mwanafalsafa wa zamani kidogo, Robert Einstein kwamba kuna watu wakiondoa yale waliyofundishwa darasani, vichwa vyao vinabaki vitupu. Kitu pekee walichojaza kichwani ni yale waliyofundishwa darasani. Hawa ndio hujisifia vyeti, au idadi ya "digrii" walizonazo. Hawana akili, japo wana elimu.

Einstein alisema hakuna uhusiano kati ya elimu na akili. Kuna watu wana elimu lakini hawana akili, na wengine wana akili lakini hawana elimu. Ni bora uwe na akili ukose elimu, kuliko uwe na elimu ukose akili.

Kaka yangu Malisa GJ aliwahi kusema kwamba Icons wa Sayansi kama Isaac Newton, Galileo Galilei na Archimedes of Syracuse hawakuwa na elimu yoyote ya cheti, diploma wala degree, lakini walikua na AKILI. Ugunduzi wao mpaka leo unaiongoza dunia.

Akili siku zote ni "superior" kuliko elimu kwa sababu akili ndio ilibuni elimu. Yani watu wenye akili walikaa wakakubaliana waanzishe utaratibu ambao utamuwezesha mtu kukaa darasani na kujifunza kwa kipindi fulani, kisha apimwe kwa mitihani na atunukiwe cheti. Ubunifu huo ulifanywa na wenye akili. Jiulize mtu wa kwanza kutunukiwa degree duniani alifundishwa na nani?

Kwa hiyo niseme tu kwamba ambao hatuna hizi PhDs mtuheshimu vilevile kwa maana tunazo "akili" za kutambua michongo yenu kwa urahisi zaidi kuliko kale kamstari kembamba kanachotenganisha akili nyingi na ukichaa.

C&P
We Mshana ingawa unasema hujasoma lakini una akili kama za Prof Assad, ni ndugu yako ? , yeye alisema 60% ya wafanyakazi serikalini ni below perfection, yaani uelewa wao au utendaji wao ni hali jojo
 
Back
Top Bottom