#COVID19 Ukiniambia kwanini napinga ripoti ya Tume ya CORONA, majibu yangu ni mepesi kabisa

#COVID19 Ukiniambia kwanini napinga ripoti ya Tume ya CORONA, majibu yangu ni mepesi kabisa

Karibu Tanzania.

Nchi ambayo kila "takataka" ina utaalamu wa kila kitu.

No wonder.

Tanzania hakuna mtu mwenye uhakika na Afya yake na hajui cha kufanya.

1- Akitokea babu wa Loliondo watu wote huko huko

2- Akitokea mganga maarufu kutoka Nigeria watu wote huko

3- Akitokea sheikh anasoma Dua watu wote huko

4- Akitokea "Mwamposa" watu wote wanaenda huko kukanyaga mafuta na kufa huko huko

5- Akitokea Nabii TB Joshua anaombea watu, watu wote huko

6- Akitokea herbalist clinic anajitangaza kwenye TV anaponesha watu, watu wote huko

Watu hawana uhakika wamsikilize nani, kila mtu mjuvi. Wako tayari kuquestion masuala ya kitaalamu yenye ushahidi lakini ndumba au maombi yasiyo na ushahidi hakuna.

No wonder, Watanzania ni watu wa Ajabu.

Jaribu kuuliza wataalamu wa Afya wanaojihusisha na masuala ya clinical outreach na community awareness watakwambia.

Mtanzania hata ukimwelimisha kutumia chandarua utapata tabu sana. Muda wote anajihisi hisi tu kwamba kuna watu wana nia mbaya na wao.

Nenda mikoani huko,

Wajawazito wanashauriwa hudhurieni Clinic mpate chanjo yenye vitamini ya FOLIC ACID hawataki, finally wanazaa watoto wenye ULEMAVU wa vichwa vikubwa halafu wanaanza kusema wamerogwa.

Wodini huko ni vichekesho, Mtoto anazaliwa kitovu cha mtoto kinapakwa mavi ya tembo, ukiuliza sababu inafichwa.

Ukifanya CLTS ( Community-Led Total Sanitation ) ili angalau uweke mipango ya kuboresha afya utapata tabu.

Hata takwimu tu utazipata kwa shida, mtaalamu akifika kwenye kaya, akiuliza hapa mkuu wa Kaya yuko wapi anafichwa.

Na akitokeza ukauliza kwa mkuu wa kaya, mna watoto wangapi anaficha, anaona kama unampeleleza sijui uue watoto wake sijui uwapunguze.

Bahati mbaya sana kulikuwa na CONSIPIRACY THEORIST ikulu, kaongeza jeraha kabisa kwenye hali.

Serikali itapata tabu sana kuelimisha watu labda itumie wasanii wa Bongo fleva.

Anyway, ndio nchi yangu. Na sisi ndio watanzania
Na tatizo kubwa ni pale kushindwa nje ya box, kusema kwa kadiri tulivyofungiwa.

Tufanye utafiti wa kila kitu kabla ya kuhukumu kwa elimu inayotufanya kushindwa kusonga mbele. Kama mavi ya tembo hayakumdhulu mtoto, kwanini hayakumdhulu? Kama yalitumika kwenye hiyo jamii, kwanini? Walianzaje? Yana kitu gani zaidi kinachoweza kuwa useful?

Unakimbilia kupinga bila kuchambua
 
Na tatizo kubwa ni pale kushindwa nje ya box, kusema kwa kadiri tulivyofungiwa.

Tufanye utafiti wa kila kitu kabla ya kuhukumu kwa elimu inayotufanya kushindwa kusonga mbele. Kama mavi ya tembo hayakumdhulu mtoto, kwanini hayakumdhulu? Kama yalitumika kwenye hiyo jamii, kwanini? Walianzaje? Yana kitu gani zaidi kinachoweza kuwa useful?

Unakimbilia kupinga bila kuchambua
Nyingi ni imani tu zisizo na kichwa wala miguu, tena zina madhara makubwa.

Watoto wengi wa hivyo vitovu haviponi mapema, wanapata shida. Wakiona hali inazidi kuwa mbaya ndio wanamkimbiza hospitali when it's too late.
 
Karibu Tanzania.

Nchi ambayo kila "takataka" ina utaalamu wa kila kitu.

No wonder.

Tanzania hakuna mtu mwenye uhakika na Afya yake na hajui cha kufanya.

1- Akitokea babu wa Loliondo watu wote huko huko

2- Akitokea mganga maarufu kutoka Nigeria watu wote huko

3- Akitokea sheikh anasoma Dua watu wote huko

4- Akitokea "Mwamposa" watu wote wanaenda huko kukanyaga mafuta na kufa huko huko

5- Akitokea Nabii TB Joshua anaombea watu, watu wote huko

6- Akitokea herbalist clinic anajitangaza kwenye TV anaponesha watu, watu wote huko

Watu hawana uhakika wamsikilize nani, kila mtu mjuvi. Wako tayari kuquestion masuala ya kitaalamu yenye ushahidi lakini ndumba au maombi yasiyo na ushahidi hakuna.

No wonder, Watanzania ni watu wa Ajabu.

Jaribu kuuliza wataalamu wa Afya wanaojihusisha na masuala ya clinical outreach na community awareness watakwambia.

Mtanzania hata ukimwelimisha kutumia chandarua utapata tabu sana. Muda wote anajihisi hisi tu kwamba kuna watu wana nia mbaya na wao.

Nenda mikoani huko,

Wajawazito wanashauriwa hudhurieni Clinic mpate chanjo yenye vitamini ya FOLIC ACID hawataki, finally wanazaa watoto wenye ULEMAVU wa vichwa vikubwa halafu wanaanza kusema wamerogwa.

Wodini huko ni vichekesho, Mtoto anazaliwa kitovu cha mtoto kinapakwa mavi ya tembo, ukiuliza sababu inafichwa.

Ukifanya CLTS ( Community-Led Total Sanitation ) ili angalau uweke mipango ya kuboresha afya utapata tabu.

Hata takwimu tu utazipata kwa shida, mtaalamu akifika kwenye kaya, akiuliza hapa mkuu wa Kaya yuko wapi anafichwa.

Na akitokeza ukauliza kwa mkuu wa kaya, mna watoto wangapi anaficha, anaona kama unampeleleza sijui uue watoto wake sijui uwapunguze.

Bahati mbaya sana kulikuwa na CONSIPIRACY THEORIST ikulu, kaongeza jeraha kabisa kwenye hali.

Serikali itapata tabu sana kuelimisha watu labda itumie wasanii wa Bongo fleva.

Anyway, ndio nchi yangu. Na sisi ndio watanzania
Ni kweli watu hao hao baadhi yao wanakunywa dawa za ARV on daily basis lakin ndo wanaongoza kuipinga chanjo

Mikuna mtu aliniambia Mara wanalengo la kupunguza population ya waafrika nikamwambia Nigeria wako mill 200, Tanzania mill 60 nikamwambia huon population inakua kwa Kasi sana hakua na jibu

Jiwe Mungu amlaze mahali pema pepon kwangu mim anakua ni mtu wa ajabu sana, wizara ya afya stakeholders ni foreigner countries ndo wanatoa hela nyingi zaid ya serekali lakin alikua kutwa kuwaponda si angekataa na fedha zao, damage aliyoileta kwenye sekta ya afya ni kubwa sana
 
Ni kweli watu hao hao baadhi yao wanakunywa dawa za ARV on daily basis lakin ndo wanaongoza kuipinga chanjo

Mikuna mtu aliniambia Mara wanalengo la kupunguza population ya waafrika nikamwambia Nigeria wako mill 200, Tanzania mill 60 nikamwambia huon population inakua kwa Kasi sana hakua na jibu

Jiwe Mungu amlaze mahali pema pepon kwangu mim anakua ni mtu wa ajabu sana, wizara ya afya stakeholders ni foreigner countries ndo wanatoa hela nyingi zaid ya serekali lakin alikua kutwa kuwaponda si angekataa na fedha zao, damage aliyoileta kwenye sekta ya afya ni kubwa sana
Yaani haihitaji hata rocket science kulijua hili.

Mimi huwa naongea sometimes na wazee kabisa wanakwambia, zamani walikuwa wanazaa watoto wengi sana. Lakini walikua wachache tu.

Binafsi bibi yangu tu alizaa watoto 12 lakini walikua 8 tu.

Lakini sasa hivi vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimedhibitiwa kwa kiwango kikubwa sana kutokana na chanjo.

Sasa hivi watu wana ujasiri wa kuzaa hata mtoto mmoja na wanajua atakua tu.
 
Nikitafsiri ulichoandika..umemaanisha tume wameshalipwa posho ya kuliingiza taifa kwenye utata..na kwamba walikua na kazi rahisi tu ya kucopy na kupaste
 
Ukitazama kwa jicho la tatu hii tume ina hiden Agenda.
NI MAELEKEZO, wewe siuliona barakoa zilivyoanza kuvaliwa hata kabla ya taarifa. Sasa tusubiri hilo wimbi la tatu tutakavyopigwa lockdown, wakati wenzetu wanawatoa raia wao kwenye huo utumwa sisi tunawaza namna ya kuwekwa kizuizini ili tupate msaada wa COVEX facilite. 😉
 
Walioleta hii ripoti ni wenye elimu kubwakubwa (Maprofesa, PhDs', Masters, Degrees) na wengineo wamo humo na inawezekana "La saba pia wamehusika kwa namna moja au nyingine, inawezekana kabisa dereva aliyewapeleka Ikulu ni Form Four Failure, ana leseni yake ya NIT akapata CONNECTION yuko pale anaendesha gari ya PhD holder pale.

Inawezekana kabisa aliyebadili tairi njiani ni mshikaji tu akiyeishia "La saba", huyo ndo kanusuru maisha yao kwa kuwabadilishia tairi lililochoka na kuweka jipya. Na akalipwa kiasi fulani cha fedha. Mlipaji huyu ni serikali kupitia kwa PhD holder anaepelekwa field kupata majibu ya maswali yake kujenga hoja kwenye tume ya Corona.

Kinachonishangaza ni kuona Elimu zetu hazitusaidii, tangu siku ya kwanza ilipotangazwa kuanzishwa Tume ya Corona, niliuliza maswali yafuatayo:-

1: Tume inaweza kuja na mapendekezo tofauti na Yale ya WHO?
2. TUME hii itakuja na majibu yasiyoacha shaka kwa Wananchi?
3: Tume hii itakiri kuwa CORONA nchini haipo?
4: Tume hii itaonesha athari halisi zilizopo mitaani bila kuacha shaka?
5: Tume hii itakubali kukosolewa?

Baada ya kitambo kidogo, majibu yametoka, maswali yangu yote yamejibiwa.
1: Tume haijavuka mapendekezo ya WHO hata moja, hakuna pendekezo la tume linalopingana na WHO, wamefanya ku_copy na ku_paste kila kitu. Sijaona dira yetu kama taifa ni ipi kuhakikisha tunaishi kulingana na Uhuru wetu kama taifa.

2: Tume imekuja na majibu yenye mashaka kwa wananchi, hakuna mtu asiye na shaka ma majibu ya tume kuanzia kwenye VITABU hivyo vikubwa 6.

3: Tume haijakubali kuwa CORONA ipo au haipo isipokuwa inazungumzia ujio wa WIMBI la 3 ambalo ni hatari zaidi, yaani TUME imefanyia kazi "HEAR SAYING" , kwamba na yenyewe inakubaliana na utabiri bila yenyewe kufanya ujasusi kujua iwapo ni taarifa za kweli ama si za kweli.

4; TUME imeshindwa kutupatia majibu sahihi kwamba hii chanjo tutakayochanjwa ilitengenezwa maalumu kwa ajili ya Kinga ya mlipuko upi? Maana hadi sasa tuko katika wimbi la PILI, chanjo hii ilikuwa maalumu kwa kundi la mlipuko upi, moja Kati ya ile miwili au kwa utakaokuja huo wa 3... Tume imefeli hapo katika kuainisha aina ya mlipuko na chanjo tunayoipokea ni kwa ajili ya mlipuko upi na ilitengenezwa maalumu kwa mlipuko upi.

5. Tume imeshindwa kutuelezea mafanikio ya chanjo zote hizo ni nchi zipi zimefanikiwa kuzuia maambukizi mapya baada ya kupatiwa chanjo hizo.

6: Tume imeshindwa kukubali au kukataa kuhusu athari za vifo vitokanavyo na chanjo hizi ikiwa tutadhurika na chanjo hizi, isipokuwa Tume imeihakikishia serikali kuwa ni chanjo salama na zenye ufanisi. Lakini muda huohuo inazitaja chanjo zote kuwa ni fanisi, muda huohuo inapata kigugumizi kuitaja chanjo ambayo wao wamejiridhisha nayo kuwa ni nzuri na salama.

7: Tume imeshindwa kutuambia katika mataifa ambayo viliripotiwa vifo vitokanavyo na watj kuchanjwa hizi chanjo zilitokana na nini na kwanini wao kama time wahisi hii chanjo itakuwa salama zaidi kwetu kuliko huko zilikoua wananchi wa mataifa mengine.

Ni kweli kabisa mimi sina elimu kubwa kama ya hawa MAPROFESA, ila ninaamini kuna utofauti mkubwa sana kati ya ELIMU na AKILI.

UTOFAUTI WAKE UPO HIVI: Akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.

Kwa mujibu wa mwanafalsafa wa zamani kidogo, Robert Einstein kwamba kuna watu wakiondoa yale waliyofundishwa darasani, vichwa vyao vinabaki vitupu. Kitu pekee walichojaza kichwani ni yale waliyofundishwa darasani. Hawa ndio hujisifia vyeti, au idadi ya "digrii" walizonazo. Hawana akili, japo wana elimu.

Einstein alisema hakuna uhusiano kati ya elimu na akili. Kuna watu wana elimu lakini hawana akili, na wengine wana akili lakini hawana elimu. Ni bora uwe na akili ukose elimu, kuliko uwe na elimu ukose akili.

Kaka yangu Malisa GJ aliwahi kusema kwamba Icons wa Sayansi kama Isaac Newton, Galileo Galilei na Archimedes of Syracuse hawakuwa na elimu yoyote ya cheti, diploma wala degree, lakini walikua na AKILI. Ugunduzi wao mpaka leo unaiongoza dunia.

Akili siku zote ni "superior" kuliko elimu kwa sababu akili ndio ilibuni elimu. Yani watu wenye akili walikaa wakakubaliana waanzishe utaratibu ambao utamuwezesha mtu kukaa darasani na kujifunza kwa kipindi fulani, kisha apimwe kwa mitihani na atunukiwe cheti. Ubunifu huo ulifanywa na wenye akili. Jiulize mtu wa kwanza kutunukiwa degree duniani alifundishwa na nani?

Kwa hiyo niseme tu kwamba ambao hatuna hizi PhDs mtuheshimu vilevile kwa maana tunazo "akili" za kutambua michongo yenu kwa urahisi zaidi kuliko kale kamstari kembamba kanachotenganisha akili nyingi na ukichaa.

C&P
hili ni andiko la kizalendo
 
Ni kweli watu hao hao baadhi yao wanakunywa dawa za ARV on daily basis lakin ndo wanaongoza kuipinga chanjo

Mikuna mtu aliniambia Mara wanalengo la kupunguza population ya waafrika nikamwambia Nigeria wako mill 200, Tanzania mill 60 nikamwambia huon population inakua kwa Kasi sana hakua na jibu

Jiwe Mungu amlaze mahali pema pepon kwangu mim anakua ni mtu wa ajabu sana, wizara ya afya stakeholders ni foreigner countries ndo wanatoa hela nyingi zaid ya serekali lakin alikua kutwa kuwaponda si angekataa na fedha zao, damage aliyoileta kwenye sekta ya afya ni kubwa sana
Kwa hiyo unataka sekta ya afya iendeshwe kwa hisani ya watu wa marekani,uingereza n.k
 
Wamekula hela yetu ya Kodi report wamecopy na kupaste wamebadilisha tuu lugha kuwa kiswahil,
Yaan mtu unasubiria kwenye television kwamba maprofesa watakuja na nondo lakin report yao utadhani wanafunzi wa degree tena wale wanoandika report kwa mara ya Kwanza.
 
Buji wapuuzi daima hawajibiwi
Wewe ndio mpuuzi unaponda tume eti imecopy na kupaste huku na wewe thd yako yote ni copy n paste,

Ulianzisha thd humu JF watu wanunue vitu waweke akiba eti inakuja lockdown,pia ulikua unaponda wanaosema hakuna Corona ila leo hii unaiponda tume iliyotoa protocals za kufuatwa kuhusu janga hili,

Nchi almost zote Duniani zinatumia same protocals kupambana na hii pandemic na ndio maelekezo pia toka WHO,wewe ulitaka hiyo tume ije na protocals tofauti na nchi zingine wakati ugonjwa tunao pambana nao ni ule ule?

Huna elimu na haya mambo ndio maana ukaanza na defensive mechanism yako kua eti bora uwe na akili kuliko elimu,umetumia criteria gani kuhukumu kua hao wenye PhD umewazidi akili wewe uliyekosoa hata bila ya kuweka Scientific evidence?

Endelea na mada zako zakufikirika za kichawi mambo ya Shule yapo nje ya uwezo wako wa uelewa.
 
Wajawazito wanashauriwa hudhurieni Clinic mpate chanjo yenye vitamini ya FOLIC ACID hawataki, finally wanazaa watoto wenye ULEMAVU wa vichwa vikubwa halafu wanaanza kusema wamerogwa.
Kwanini chanjo na sio vidonge?
Pia punguza maneno.. changia kuwaelimisha..
 
Back
Top Bottom