Hapana aisee, inatakiwa ukimwangalia mkeo unajisikia raha mana n pisi na sio unaoa afu ht kumuangalia mkeo huwez ๐[emoji23][emoji23][emoji23] Tunaoa wanaume wenzetu wenye viungo vya kike kuepusha kugongewa mkuu
Pia ana Akili za kitotoWew bado sana,
Ukikakaa kwenye ndoa baada ya mwezi ndio utajua pisikali kisiwe kigezo cha muhimu.
Kikubwa unakojoaSahihi kabisa.
Raha ya kuchepuka ni uchepuke na pisi kali kumzidi mkeo, sasa ukiona kila mwanamke nje ni pisi kuliko mkeo ujue umeoa mwanaume mwenzako mwenye viungo vya kike.
Kikubwa unakojoa mengine hayana issue Pisi kali Pisi nini kukojoa kulekule tuPia ana Akili za kitoto
Si kweli, wapo wanaume wengi tu wanawachukia wake zao kwasabb ya muonekano mbovu na usiovutiaHayupo mwanamke mbaya wala mzuri kwa mumewe. Wewe wa nje ndo unaona huo ubaya au uzuri ila sio kwa mumewe
Maneno ya kujifariji tu haya. Wanaume wenye pisi kali wanafaidi kuliko waliooa wake wenye shepu za mapipa na sura za baba zaoMwisho wa siku yote ni ubatili
Wanafaidi then what?Maneno ya kujifariji tu haya. Wanaume wenye pisi kali wanafaidi kuliko waliooa wake wenye shepu za mapipa na sura za baba zao
Unakojoa kwa mbinde, mpk uvute sura ya miss Rwanda ndiyo unakojoaKikubwa unakojoa
Wenzako wanakula mpk denda, wewe mwenye wife material hata denda unaona kinyaaKikubwa unakojoa mengine hayana issue Pisi kali Pisi nini kukojoa kulekule tu
Then hormone for bliss is released in large amount, leading to longevityWanafaidi then what?
Kama kuna watu wanachukia wake zao kisa mwonekano kwanini waliamua kuwaoa si wangeoa hao wenye mwonekano!Si kweli, wapo wanaume wengi tu wanawachukia wake zao kwasabb ya muonekano mbovu na usiovutia
Kukojoa ukiwa na pisi kali n tofauti ukiwa na sura ya baba aiseeKikubwa unakojoa mengine hayana issue Pisi kali Pisi nini kukojoa kulekule tu
UongoWe nyege ndo zinakusumbua.
Hayupo mwanamke mbaya wala mzuri kwa mumewe. Wewe wa nje ndo unaona huo ubaya au uzuri ila sio kwa mumewe, mme anaweza mwona mke mzuri kwa kias chake na mbaya kwa kias chake.
Nikama unavyozaa mtoto, huwezi kumwona mwanao mbaya hata siku moja atakama ni mweusi kama giza ni lazima utampenda ata ukiletewa mtoto mwingine wa kiarabu ukae nae bado utandelea kumpendelea wako.
Naam Nakazia sana sana sanaaaa.Kukojoa ukiwa na pisi kali n tofauti ukiwa na sura ya baba aisee
Imagine hujamla na bado humtamani ukimla je?Hapana aisee, inatakiwa ukimwangalia mkeo unajisikia raha mana n pisi na sio unaoa afu ht kumuangalia mkeo huwez ๐
Mhh mhh ...Atakuwa Maxi tu.Kuna mtu ame-hack akaunti yangu ๐