Uzuri ni objective, siyo subjective. Ndiyo maana kuna akina dada wanasufika kwa uzuri duniani na wengine ktk ngazi ya kitaifa.Mke mzuri anamjua mumewe
Waghairi kwasabb ya ubaya wake ama uzuri wake?Oa mke ambae hata wahuni wakitaka kulipiza kisasi kukugongea mkeo kama unavyowagonga wake zao ,waghairi kabisa wakimuona tu
UbayaWaghairi kwasabb ya ubaya wake ama uzuri wake?
Yn hua najiuliza, yn inakuwaje mwanamke anakuwa mbaya yn mwanamke unaanzaje kuwa mbaya 😂 mwanamke anatakiwa awe mzuri kwa njia halali hata haramu 😂Naam Nakazia sana sana sanaaaa.
Ni bora kuwa single kuliko kudate pisi mbovu 😀..
Yaaani ptuu 🤢🤮🤮🤮 hapana kwa kweli kuna wanawake ni wabovu physically acha tu Mungu nisamehe sijafa sijaumbika ila ila acha niishie hapa
Wanawake wabaya ni hawajielewi, mwanamke unakuaje mbaya na ma makeup kibao yapo madukan ma wigi marasta makila kitu na bado jitu bayaaa...Yn hua najiuliza, yn inakuwaje mwanamke anakuwa mbaya yn mwanamke unaanzaje kuwa mbaya 😂 mwanamke anatakiwa awe mzuri kwa njia halali hata haramu 😂
Wafanye namna aisee, mwanamke hatakiwi kuwa mbaya, ubaya amuachie jamaa ake tuuWanawake wabaya ni hawajielewi, mwanamke unakuaje mbaya na ma makeup kibao yapo madukan ma wigi marasta makila kitu na bado jitu bayaaa...
Sio useme hana hela, mingine hela ipo linaendesha gari kalii,anaishi pazuri ila nitu Bayaaa
🤣😆Yn hua najiuliza, yn inakuwaje mwanamke anakuwa mbaya yn mwanamke unaanzaje kuwa mbaya 😂 mwanamke anatakiwa awe mzuri kwa njia halali hata haramu 😂
endelee kuwaambia ukweliKama kuna watu wanachukia wake zao kisa mwonekano kwanini waliamua kuwaoa si wangeoa hao wenye mwonekano!
Ukiwa unasema unataka mke asie na dosari katika uzuri wake bas ni vyema na wewe ukawa huna dorasi yani mwonekano wako usiwe na shaka ndani yake kwa jicho lakike.
Mke mzuri anamjua mumewe tu na mume mzuri anamjua mkewe tu, ukiona ulienae sio mzuri nenda kwa uyo mzuri, uyo mbaya mwache atakuja mzuri wake watulizane.
Mtazame kwanza mama yako af nambie ni mzuri au ni mbaya? alafu uje uniambie ni mama wanani ni mbaya! Ndo kisha ulete habari za objective na subjective.Uzuri ni objective, siyo subjective. Ndiyo maana kuna akina dada wanasufika kwa uzuri duniani na wengine ktk ngazi ya kitaifa.
Mwanamke magulu baja, rangi kafosi kwa mkorogo, mwonekano wa make up na nywele za saloon, tumbo kubwa kama yupo labour, ziwa kama tikiti lililokomaa, midomo mipana kama chupi la mzee, n k. Unasemaje hakuna mbaya?
factUzuri wa mwanamke ni matendo yake. Kama ndo hivyo wanawake wenye shepu zao na sura za mtume wangekuwa wameolewa wote. Anyway mtoa mada still inaonekana ni mvulana muda ukifika utaelewa
Uzuri wa mwanamke ni matendo yake. Kama ndo hivyo wanawake wenye shepu zao na sura za mtume wangekuwa wameolewa wote. Anyway mtoa mada still inaonekana ni mvulana muda ukifika utaelewa
Dogo....Kuna rafiki yangu kaoa pisi kali kiasi kwamba hataki hata kuchepuka, kwasabb kila nyapu anayokutana nayo anaiona haina hadhi ya kumfikia mkewe.