Ukioa makabila haya 10 ni mkataba kuachana ni hadi kifo

Ukioa makabila haya 10 ni mkataba kuachana ni hadi kifo

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Je kabila lako lipo au tukuache kwanza?
Screenshot_20240402-204504_Instagram Lite.jpg
 
Kwa huu muingiliano wa kijamii saivi sidhani kwa Kizazi chetu kama tunapaswa sanaa kuchagua mabinti kutokana na kabila.

Unakuta binti ni Mrufiji wa baba na mama ila kakulia Dar es salaam, what do you expect?
 
Back
Top Bottom