Ukioa makabila haya 10 ni mkataba kuachana ni hadi kifo

Ukioa makabila haya 10 ni mkataba kuachana ni hadi kifo

Nashukuru sijaona WANYAKYUSA kwenye hii orodha. Kule Mbeya tuwaitwa "WASOKILE" na akiwa mmoja 'MSOKILE". Yaani 'alitoka". Imetokana na fact kwamba kila nyumba ukiuuliza mama yuko wapi? unajibiwa "asokile", yaani aliondoka. Hawa viumbe hawakai na wanaume!! Vile unamuona GIGI Money ambaye kazaliwa Dar es Salaam na Mbeya haijui basi ndiyo viumbe hawa walivyo. wanyakyusa wengine ni kama Anti Ezekiel na Amber Lulu, wao ni kuhangaisha papa toka kwa mwanaume huyu kwenda kwa mwingine

Hata waume zao ambao wamesoma na kuoka nje wanawakwepa
Nimezaa na mmoja wa Tukuyu, nilitakaga kuoa, weeeee, nilikuja kugundua nimeyatimba. Nilitoka mbio kama gari za formula 1, ukishaona mwanamke anasema anafanya biashara ili ajenge nyumba yake wakati mnaishi pamoja, hatari, nakusihi broo kama una mnyaki wako usizime gari iache silencer, muda wowote unaweza anza safari so unarukia na kuweka gear. Ukiyakanyaga kabisa shuka hapo kyela uoe, jua na jamaa yako wa karibu naye anakunywa maji hayo hayo ya kisima chako.
 
Je kabila lako lipo au tukuache kwanza?View attachment 2952128
1.Warufiji - Rufiji+Mafia ,Pwani
2.Warungi-Nkasi,Rukwa...(inasadikika limeshatokomea)

3.Warwa-halipo kwenye rekodi

4.Wasafwa-Mbeya mjini,Mbeya
-Wenye Jiji la Mbeya

5.Wasagara-Kilosa,Morogoro
-Vitukuu vya Chifu Mangungo

6.Wasandawe-Chemba,Dodoma

7.Wasegeju - Mkinga ,Tanga

8.Washirazi -Zanzibar
-Zao la wabara na Waarabu

9.Wasubi-Ngara,Kagera

10.Wasizaki-Muleba,Kagera (Limeshapotea)
 
Nashukuru sijaona WANYAKYUSA kwenye hii orodha. Kule Mbeya tuwaitwa "WASOKILE" na akiwa mmoja 'MSOKILE". Yaani 'alitoka". Imetokana na fact kwamba kila nyumba ukiuuliza mama yuko wapi? unajibiwa "asokile", yaani aliondoka. Hawa viumbe hawakai na wanaume!! Vile unamuona GIGI Money ambaye kazaliwa Dar es Salaam na Mbeya haijui basi ndiyo viumbe hawa walivyo. wanyakyusa wengine ni kama Anti Ezekiel na Amber Lulu, wao ni kuhangaisha papa toka kwa mwanaume huyu kwenda kwa mwingine

Hata waume zao ambao wamesoma na kuoka nje wanawakwepa
Watu wawili watatu wasikufanye ujumuishe kabila zima bana mbona wanyakyusa kibao tu wanenjoy ndoa zao
 
Nimezaa na mmoja wa Tukuyu, nilitakaga kuoa, weeeee, nilikuja kugundua nimeyatimba. Nilitoka mbio kama gari za formula 1, ukishaona mwanamke anasema anafanya biashara ili ajenge nyumba yake wakati mnaishi pamoja, hatari, nakusihi broo kama una mnyaki wako usizime gari iache silencer, muda wowote unaweza anza safari so unarukia na kuweka gear. Ukiyakanyaga kabisa shuka hapo kyela uoe, jua na jamaa yako wa karibu naye anakunywa maji hayo hayo ya kisima chako.
Kimsingi hawafugiki hao
 
Huo ni uoga njoo uoe warangi uchangamshe akili, achana na watu ambao wamepoa hawana amsha amsha weee viipii??
😂😂😂😂Aiseee.
Nilitaka nishangae mdogoye Evelynsalt asitoe koment kali.
Hivi weye ni mrangi??
 
Back
Top Bottom