uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Unaishi na kuzeeka kwa furaha ukiwa na miaka Yako 35 hao ndio watuAu mbulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaishi na kuzeeka kwa furaha ukiwa na miaka Yako 35 hao ndio watuAu mbulu
labda ndoa za wao kwa wao , kabila moja.Kwa Wasegeju Uongo..
Hao alwanafundishwa mpaka Vidumu vitatu,
Na wasubi sio Kweli hakuna Kitu labda kwa wanaobaki
Hahah mkuu hautaki kufaid kwaiyo kwa amani?Unaishi na kuzeeka kwa furaha ukiwa na miaka Yako 35 hao ndio watu
Naunga mkono hojaWarangi chupi mkononi.
daah kiongozi unawasagia kunguni kabisa km mbwai na iwe mbwai au sio[emoji38]Naunga mkono hoja
Acha uogaHapa sio kuchangamsha akili bali ni kuikaanga akili!
Acha tu nionekane muoga aisee, ila mambo ya kuigaragaza roho hapana!Acha uoga
Uliingia chaka Mkuu wapo tofauti.mkuu hao wanyiramba si tulishakubaliana hawana tofauti na wenzao warangi tu au
[emoji848]Uliingia chaka Mkuu wapo tofauti.
Nashukuru sijaona WANYAKYUSA kwenye hii orodha. Kule Mbeya tuwaitwa "WASOKILE" na akiwa mmoja 'MSOKILE". Yaani 'alitoka". Imetokana na fact kwamba kila nyumba ukiuuliza mama yuko wapi? unajibiwa "asokile", yaani aliondoka. Hawa viumbe hawakai na wanaume!! Vile unamuona GIGI Money ambaye kazaliwa Dar es Salaam na Mbeya haijui basi ndiyo viumbe hawa walivyo. wanyakyusa wengine ni kama Anti Ezekiel na Amber Lulu, wao ni kuhangaisha papa toka kwa mwanaume huyu kwenda kwa mwingineMbona hamna wanyakyusa hapo? Tafiti batili hii😆 wanyakyusa wako vizuri pia
Una expect, KIFUATACHO ITVKwa huu muingiliano wa kijamii saivi sidhani kwa Kizazi chetu kama tunapaswa sanaa kuchagua mabinti kutokana na kabila.
Unakuta binti ni Mrufiji wa baba na mama ila kakulia Dar es salaam, what do you expect?