Ukioa Malaya/mdangaji kuzaa mabinti Malaya hakuepukiki ni uhakika

Ukioa Malaya/mdangaji kuzaa mabinti Malaya hakuepukiki ni uhakika

Naona single maza na malaya makahaba Wana uhitaji mkubwa sana mitaani kuliko uhalisia unaotaka kuaminishwa mitandaoni.
Kwani Bangi au sigara inaopoandikwa ni Hatari kwa afya yako ndio inaondoa uhitaji wake mtaani?

Single maza wanaolewa na vijiwe vya makahaba na malaya vikiongezeka kila siku na wanaume wakivitafuta kwa gharama kubwa....
Ulichukunguza vizuri ukoo wako wa baba na mama una single maza , makahaba , na malaya wa kutosha!! Kwenye ukoo wako tu au familia unayotoka umeshawahi kutoa suluhisho ya yaliyopo na yatakayokuja mbele au matokeo ya mbele???

Kwamba kwenye ukoo WA mtu kukiwa na Kahaba au single mother kutokana na Tabia za kukosa uadilifu kwa mwanamke huyo au kijana aliyemzalisha ndio kuwafunge watu mdomo kuelezea Jambo hilo?
Inshu ya malezi kutoa kizazi kilicho bora yapasa uwekezaji na kujitoa kiroho na kimwili na pesa kwa wazazi husika kupata kilicho bora japo inategemea na asili ya huo ukoo....

Unaposema asili ya huo ukoo unazungumzia Jambo gani?
Maana Mada inazungumzia kitu kama hicho
Kuna malaya mmoja Yuko tinde mtoto wake ni daktari bingwa muhimbili na nyumba yake kapanga meneja wa kituo cha mzani tinde unaniambiaje hapo......

Mtoto kuwa Daktari au Mwalimu au Mfamasia hakumfanyi mtu kuwa muadilifu.
Kuna watu ni Makahaba na wapo maofisi ya Heshima tena wengine na wachungaji
Kuna jambazi mmoja kisusi alikamatwa kwa kuiba gari ya voda na akakaa jela miaka kumi na tano mkewe akawa malaya mbwa lakini nina hakika watoto wake huwafikiii hata robo ya hapo ulipo!!!
Niishie hapo.
Mada zisitolewe kimihemuko zaidi wakati kwenye ukoo wako na familia matatizo yanazidi uliyoandika hapa.

Nimekuambia, hakuna sababu ya maana mtu kuwa Kahaba.
Huyo aliyefanya ukahaba Kisa mumewe kaenda Jela alikuwa Kahaba tangu mumewe hajafungwa.

Wanawake wangapi waume Zao wamefungwa na sio Makahaba?

Wanawake wangapi wametoka familia maskini, wanamaisha magumu na wanafanya Kazi halali zinazowapa kipato hata kama ni kidogo na bado wamekataa kuwa Makahaba?

Nazungumzia ukahaba, kuhusu kuwapata watoto wa Makahaba sijui unazungumzia kuwapata kwa namna gani.
 
Ila baba akiwa hata na tabia chafuu zisizoelezeka anazaa vitukuu vya Yesu na mtume ibadani masaa 24🐒
Kuwa mwanamke ni kazi sana kuliko kazi yenyewe 😭😭.

Ungejua maana ya Mwanamke au Mama wala usingesikitika
 
Kwani Bangi au sigara inaopoandikwa ni Hatari kwa afya yako ndio inaondoa uhitaji wake mtaani?



Kwamba kwenye ukoo WA mtu kukiwa na Kahaba au single mother kutokana na Tabia za kukosa uadilifu kwa mwanamke huyo au kijana aliyemzalisha ndio kuwafunge watu mdomo kuelezea Jambo hilo?


Unaposema asili ya huo ukoo unazungumzia Jambo gani?
Maana Mada inazungumzia kitu kama hicho


Mtoto kuwa Daktari au Mwalimu au Mfamasia hakumfanyi mtu kuwa muadilifu.
Kuna watu ni Makahaba na wapo maofisi ya Heshima tena wengine na wachungaji


Nimekuambia, hakuna sababu ya maana mtu kuwa Kahaba.
Huyo aliyefanya ukahaba Kisa mumewe kaenda Jela alikuwa Kahaba tangu mumewe hajafungwa.

Wanawake wangapi waume Zao wamefungwa na sio Makahaba?

Wanawake wangapi wametoka familia maskini, wanamaisha magumu na wanafanya Kazi halali zinazowapa kipato hata kama ni kidogo na bado wamekataa kuwa Makahaba?

Nazungumzia ukahaba, kuhusu kuwapata watoto wa Makahaba sijui unazungumzia kuwapata kwa namna gani.
Nimesema nilichosema sina muda wa kuchambua nilichosema. Lunch time hii nakutakia mlo mwema na mchana mwema.
 
Nafikiri Somo la Vinasaba watu wengi hawalielewi.

Vinasaba kwa uelewa wako ni kitu gani?

Unajua matendo yote unayoyafanya yanayojirudiarudia yanarekodiwa kwenye Genes zako?
Yakifanyika kwa Muda mrefu ndio huingia kwenye silika yaani mtoto akizaliwa anatenda kama Mababu zake walivyotenda.
Mkuu, vinasaba havifanyi maamuzi.

Mfano: Kila mwanamke ana tamaa, ila si kila mwanamke anafanya maamuzi ya kutuliza tamaa zake na mwanaume yoyote. Kiwango cha tamaa kinaweza rithishwa kwenye vinasaba, ila maamuzi ya nini ufanye na hizo tamaa hayarithishwi ni ya mtu.
 
Nimesema nilichosema sina muda wa kuchambua nilichosema. Lunch time hii nakutakia mlo mwema na mchana mwema.
Mchana mwema nawe MKUU.

Ila Mada IPO palepale Mtoto WA nyoka siku zote ni nyoka tuu.
IPO hivyo kihistoria, kisayansi na kiimani.

Haiwezekaniki Mama awe muadilifu, ametoka kwenye damu isiyo na rekodi ya ukahaba alafu ghafla bin Vuu Binti awe Kahaba. Hiyo haiwezekani isipokuwa exceptional
 
Mkuu, vinasaba havifanyi maamuzi.

Mfano: Kila mwanamke ana nyege, ila si kila mwanamke anafanya maamuzi ya kutuliza nyege zake na mwanaume yoyote. Kiwango cha tamaa kinaweza rithishwa kwenye vinasaba, ila maamuzi ya nini ufanye na hizo tamaa hayarithishwi ni ya mtu.

Tofautisha kati ya Nyege na tamaa ni mambo mawili tofauti.

Nyege ni tukio la kibaolojia wakati tamaa ni Jambo la kisaikolojia. Ni mambo mawili tofauti.

Kila mtu ananyege inategemea anakula kitu gani na genes zake zimetokana na watu waliokuwa wanakula nini.

Tamaa ni Jambo la kisaikolojia, linahusu Tabia na ishu ya mindset.

Vyote vinarithishwa.

Unaweza usiwe na Nyege lakini ukawa na tamaa ya kufanya ngono. Hiyo inawezekana Kabisa.

Unaweza usiwe na Nyege lakini ukafanya ngono kwaajili ya maslahi Fulani.
Yote juu ya yote, asilimia kubwa ya mambo utakayoyafanya yapo connected na Vinasaba vyako.
 
Kwahiyo hawa wanaume wazaa hovyo nje na malayaa ni mazao ya baba zao 😄 au ni zao la mama
 
Asante sana kwa mada hii yenye ukweli mtupu.

I like this phenomenon sababu inaendana sana na something I strongly believe in; kuwa as women tunapata ruhusa ya kufanya chochote kile in life kutoka kwa mama zetu.

Na sio ruhusa ya kuambiwa “fanya” bali automatically tunapata ruhusa hiyo aidha kwa kuona, kusikia au kuobserve wamama zetu. Mtoto wa kike wa mama mchapakazi, most likely atakuwa hivyo. Mtoto wa kike akikua akiona mama anavumilia upuuzi wa baba, naye atakuwa hivyo hivyo. If mama yako alipambana kielimu, careerwise, na wewe unajikuta tu unaenda huko. Mama anashape your morals, anadetermine your boundaries, values and principles.

Kama mama yako alizaa kabla ya ndoa, you are most likely to do that! Kama mama yako aliolewa mara kadhaa, you are most likely to do that! Kama mama yako anatoka nje ya ndoa, you are most likely to do that. Ni saikolojia.

Mimi Mama yangu hakufanya umalaya ila baba aliwahi kumkosea akapita jirani hlf yule mama akaja kumtukana mama yangu home. Mama shwaaa “akalipa kisasi” tena akahakikisha mzee akajua(baba Z alilia kama mbwa, sitosahau). Nami nasema hivii, nikifanyiwa nitafanya. If mama did it whomst am I?🤣
 
Asante sana kwa mada hii yenye ukweli mtupu.

I like this phenomenon sababu inaendana sana na something I strongly believe in; kuwa as women tunapata ruhusa ya kufanya chochote kile in life kutoka kwa mama zetu.

Na sio ruhusa ya kuambiwa “fanya” bali automatically tunapata ruhusa hiyo aidha kwa kuona, kusikia au kuobserve wamama zetu. Mtoto wa kike wa mama mchapakazi, most likely atakuwa hivyo. Mtoto wa kike akikua akiona mama anavumilia upuuzi wa baba, naye atakuwa hivyo hivyo. If mama yako alipambana kielimu, careerwise, na wewe unajikuta tu unaenda huko. Mama anashape your morals, anadetermine your boundaries, values and principles.

Kama mama yako alizaa kabla ya ndoa, you are most likely to do that! Kama mama yako aliolewa mara kadhaa, you are most likely to do that! Kama mama yako anatoka nje ya ndoa, you are most likely to do that. Ni saikolojia.

Mimi Mama yangu hakufanya umalaya ila baba aliwahi kumkosea akapita jirani hlf yule mama akaja kumtukana mama yangu home. Mama shwaaa “akalipa kisasi” tena akahakikisha mzee akajua(baba Z alilia kama mbwa, sitosahau). Nami nasema hivii, nikifanyiwa nitafanya. If mama did it whomst am I?🤣

Sasa mbona watu wanapenda wakiambiwa watoto wamerithi vizuri Tuu Vibaya au Tabia mbaya wanasema hazirithiwi ila ningesema Tabia Njema hapa walewale wasingenipinga.

Ulichosema ni sahihi Kabisa.

Alafu nilichoeleza Wala sio Jambo jipya wala sio ugunduzi mpya ndio maana wazee walishasema mtoto wa nyoka ni nyoka.
Na pia kama alivyobaba ndivyo alivyokijana wake.

Kama alivyomama ndivyo alivyo Binti yake.

Hata jamii zilizofanikiwa au mabinti wachapakazi wewe Angalia Mama zao tuu.
 
Tofautisha kati ya Nyege na tamaa ni mambo mawili tofauti.

Nyege ni tukio la kibaolojia wakati tamaa ni Jambo la kisaikolojia. Ni mambo mawili tofauti.
Nyege ni tamaa ya kufanya ngono au hamu ya kufanya ngono.
Kila mtu ananyege inategemea anakula kitu gani na genes zake zimetokana na watu waliokuwa wanakula nini.

Tamaa ni Jambo la kisaikolojia, linahusu Tabia na ishu ya mindset.
Tamaa ya kufanya ngono ndo nyege zenyewe.
Vyote vinarithishwa.
Ndio ila maamuzi hayarithishwi. Unaamua wewe ufanyaje kudhibiti tamaa zako iwe ni za ngono, mali, n.k
Unaweza usiwe na Nyege lakini ukawa na tamaa ya kufanya ngono. Hiyo inawezekana Kabisa.
Huwezi ukawa na tamaa ya ngono usiwe na minyege.
Unaweza usiwe na Nyege lakini ukafanya ngono kwaajili ya maslahi Fulani.
Hapa huna nyege wala tamaa ya ngono ila unaingiliwa kwa sababu tofauti.
Yote juu ya yote, asilimia kubwa ya mambo utakayoyafanya yapo connected na Vinasaba vyako.
Maamuzi hayana uhusiano na vinasaba ndo maana mama anaweza kuwa malaya sababu ya tamaa ya ngono(minyege) au mali ila mtoto akawa na tamaa ya mali na akaamua afanye kazi kwa bidii au akawa na minyege ila akajizuia mpaka akaolewa.
 
kwahiyo hizo akili zako za mama yako 😄
Jikite kwenye mada ili ukuze ufahamu wako wa kujua ni namna gani utaandaa kizazi bora in future.

Kumbuka mwanaume kuwa na wanawake wengi hii sio tatizo maana mwanaume kiasili ni polygamist

Na hauwezi kushinda na Asili , hivyo anayetafsiriwa Kama Malaya ni Mwanamke kwakuwa kiasili Mwanamke ni monogamist.

Kwahiyo ukiwa malaya hiyo ni tabia ambayo utakuwa umerithi na kui-develop kutoka Kwa Mama yako .


So ukija Kwa upande wa Akili unapooa Mwanamke kilaza basi kupata watoto kichwa maji inakuwa ni asilimia kubwa.

Ndo maana mwanume anashauriwa kuwa logic Sana anapotaka kuoa ili atafute brain .


Hawa wanawake wakiswahili Ombaomba , wadangaji , Malaya , wafatilia umbea n.k huwa wanaolewa na wanaume. Wenye akili ndogo ambao wamezirithi kutoka kwa mama zao.


Mtu mwenye ufahamu wa juu hauwezi kumkuta anahangaika na wanawake wa hivyo .
 
Nyege ni tamaa ya kufanya ngono au hamu ya kufanya ngono.
Hamu na tamaa ni vitu viwili tofauti Mkuu.

Tamaa ni Jambo linalotokea kwenye Akili ya Mtu kutaka Jambo Fulani.
Kwa mfano, umekaa zako barabarani akapita mdada mzuri mwenye msambwanda, unaweza kumtamani hata kama hauna Nyege/Hamu ya Ngono.

Nyege haihusu Akili Bali ni tukio la Kimwili linalotokana na michakato ya Mwili.
Nyege ni kama Njaa, kiu n.k

Tamaa ya kufanya ngono ndo nyege zenyewe.

Sio KWELI
Ndio ila maamuzi hayarithishwi. Unaamua wewe ufanyaje kudhibiti tamaa zako iwe ni za ngono, mali, n.k


Huwezi ukawa na tamaa ya ngono usiwe na minyege.
Mtu anatoka kwenye tendo la ndoa sasa hivi Akitokea Nje bado anatamani misabwanda. Hiyo inaitwa tamaa.

U

Hapa huna nyege wala tamaa ya ngono ila unaingiliwa kwa sababu tofauti.

Maamuzi hayana uhusiano na vinasaba ndo maana mama anaweza kuwa malaya sababu ya tamaa ya ngono(minyege) au mali ila mtoto akawa na tamaa ya mali na akaamua afanye kazi kwa bidii au akawa na minyege ila akajizuia mpaka akaolewa.

Maamuzi ya Mtu huamuliwa na akili na saikolojia yake
 
Kwahiyo ukiwa malaya hiyo ni tabia ambayo utakuwa umerithi na kui-develop kutoka Kwa Mama yako .
Mkuu, Umalaya haurithishwi bana. Umalaya ni tabia. Ukiona mwanamke ni malaya kama mama yake huyo kajifunza tu umalaya na kujifunza si lazima kutoke kwa mama.

Kuna watoto wengi wa kike mama zao ni malaya na wamelelewa na bibi zao, au baba zao au mama wa kambo na wana tabia nzuri kabisa.

Huko jamii zenu hakuna watoto kama hawa?
 
Back
Top Bottom