Ukioa Malaya/mdangaji kuzaa mabinti Malaya hakuepukiki ni uhakika

Ukioa Malaya/mdangaji kuzaa mabinti Malaya hakuepukiki ni uhakika

Mkuu, Umalaya haurithishwi bana. Umalaya ni tabia. Ukiona mwanamke ni malaya kama mama yake huyo kajifunza tu umalaya na kujifunza si lazima kutoke kwa mama.

Kuna watoto wengi wa kike mama zao ni malaya na wamelelewa na bibi zao, au baba zao au mama wa kambo na wana tabia nzuri kabisa.

Huko jamii zenu hakuna watoto kama hawa?

Unajua maana ya Malaya wanawake wengi ni Malaya Ila wana-play innocent

Tabia za umalaya ni za kurithi
 
Hamu na tamaa ni vitu viwili tofauti Mkuu.
OK, basi tuvitenganishe. Tuseme hamu si tamaa na nyege ni hamu, ikizidi ndo inakuwa tamaa.
Tamaa ni Jambo linalotokea kwenye Akili ya Mtu kutaka Jambo Fulani.
Kwa mfano, umekaa zako barabarani akapita mdada mzuri mwenye msambwanda, unaweza kumtamani hata kama hauna Nyege/Hamu ya Ngono.
Sawa, umetamani usichokiweza sababu huna hamu.
Nyege haihusu Akili Bali ni tukio la Kimwili linalotokana na michakato ya Mwili.
Nyege ni kama Njaa, kiu n.k
Sawa, hata njaa inaleta hamu ya kupata chakula. Ndo maana mgonjwa anaweza kuwa na njaa ila asiwe na hamu ya kula.
Sio KWELI




Mtu anatoka kwenye tendo la ndoa sasa hivi Akitokea Nje bado anatamani misabwanda. Hiyo inaitwa tamaa.
Sawa.
U



Maamuzi ya Mtu huamuliwa na akili na saikolojia yake
OK.
Tumekubaliana kuwa tamaa ni hamu iliyopitiliza, ila tunarudi palepale kuwa iwe tamaa, iwe hamu au nyege bado inahitaji maamuzi na maanuzi hayarithishwi, sawa sawa? Tupo pamoja hapa?
 
Unajua maana ya Malaya wanawake wengi ni Malaya Ila wana-play innocent

Tabia za umalaya ni za kurithi
Umalaya ni maamuzi, maamuzi hayarithishwi yanafundishwa. Hamu ya kufanya ngono ndo inarithishwa ila si maamuzi ya kufanya ngono na nani.
 
Mkuu, Umalaya haurithishwi bana. Umalaya ni tabia. Ukiona mwanamke ni malaya kama mama yake huyo kajifunza tu umalaya na kujifunza si lazima kutoke kwa mama.

Kuna watoto wengi wa kike mama zao ni malaya na wamelelewa na bibi zao, au baba zao au mama wa kambo na wana tabia nzuri kabisa.

Huko jamii zenu hakuna watoto kama hawa?

Ni kweli wapo watoto baadhi wamelelewa na Bibi Zao na Wachache hawana Tabia za Mama zao. Hao ni exceptional lakini asilimia kubwa hurithi tabia za Wazazi wao.

Popote pale watu wenye Akili lazima wazingatie asili yako ndipo wakujue wewe ni mtu WA Aina gani.
Haina haja ya kumfuatilia mtu Mmoja kujua Tabia yake. Unafuatilia Ukoo au Jamii yao unapata kujua mtu Fulani atakuwa wa namna gani.
Hiyo ndio maana ya Vinasaba
 
OK, basi tuvitenganishe. Tuseme hamu si tamaa na nyege ni hamu, ikizidi ndo inakuwa tamaa.

Sawa, umetamani usichokiweza sababu huna hamu.

Sawa, hata njaa inaleta hamu ya kupata chakula. Ndo maana mgonjwa anaweza kuwa na njaa ila asiwe na hamu ya kula.

Sawa.

OK.
Tumekubaliana kuwa tamaa ni hamu iliyopitiliza, ila tunarudi palepale kuwa iwe tamaa, iwe hamu au nyege bado inahitaji maamuzi na maanuzi hayarithishwi, sawa sawa? Tupo pamoja hapa?

Mkuu Nyege, njaa au kiu sio Tamaa.
Hayo ni mambo yanayodhibitiwa na Mifumo ya Mwili, yapo kibaolojia.

Tamaa ipo chini ya udhibiti wa akili na utashi wa Mtu.

Mambo yaliyochini ya utashi au akili ya mtu ndio huwekewa Sheria.
Mfano unaambiwa usitamani Mali ya jirani yako, mkewe na chochote alichonacho. Kwa sababu yapo chini ya utashi.

Huwezi mwambie mtu asiwe na Nyege, njaa au Kiu. Hizo ni basics need kisaikolojia.

Mtu hutumia tamaa yake kutumia vibaya Nyege, njaa au Kiu.

Tukirudi kwenye hoja.
Maamuzi hayarithishwi Hilo ni kweli.
Lakini kinacho-control maamuzi ya Mtu ambayo ni akili, silika na hulka(inayotokana na nurturing) yanatokana na urithi kwa sehemu kubwa
Sasa utaona kuwa Maamuzi yako nguvu yake kubwa hutokana na asili yako.
 
Hamna tabia isiyoweza kubadilika.
Huyo mama mtu aliitoa wapi hiyo tabia?? Bila shaka kwenye hiyo chain kuna alieianza, huyo alieianza alibadilika kutoka kua mwema hadi kua malaya hata malaya anaweza kubadilika pia.
 
Ni kweli wapo watoto baadhi wamelelewa na Bibi Zao na Wachache hawana Tabia za Mama zao. Hao ni exceptional lakini asilimia kubwa hurithi tabia za Wazazi wao.
Hawajarithi, wamefundishwa tabia za wazazi wao. Hata wangekuwa watoto wa malaika kisha ukawapeleka walelewe na malaya huenda wakafundishwa umalaya.

Popote pale watu wenye Akili lazima wazingatie asili yako ndipo wakujue wewe ni mtu WA Aina gani.
Ndo maana hii kitu dunia inapinga. Wewe kutokea jamii ya wasiotahiriwa haimaanishi una govi.
Haina haja ya kumfuatilia mtu Mmoja kujua Tabia yake. Unafuatilia Ukoo au Jamii yao unapata kujua mtu Fulani atakuwa wa namna gani.
Hiyo ndio maana ya Vinasaba
Haya ni mambo ya kizamani na ni ya kuyapinga. Na tukiyaendekeza hata wewe sijui mtibeli unaweza taja ukoo wako kwenye jamii fulani ukakataliwa kwa tabia isiyo yako.
 
Wewe una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki ?
Kwamba unamfuatilia kila sehemu au.

Hapa duniani hakuna mke wa mtu anaweza nikataa. Ni vile sitaki dhambi tu.

Wanaume wasiokuwa na hela,dhaifu na wasiojiamini ndiyo hupenda kuchambua sana wanawake.

Mtu anaona eti akiwa na aina fulani ya mke ndiyo atapata kitu/ vitu fulani.

Stupidity!

Ndiyo mana tumetanguliwa na watu weupe kwenye mambo mengi. Kama sio yote.
 
UKIOA MALAYA/MDANGAJI KUZAA MABINTI MALAYA HAKUEPUKIKI NI UHAKIKA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Hakuna sababu hata Moja ya maana ya mwanamke kuwa Kahaba. Kuwa Kahaba ni uchaguzi wa Mtu na hakutokani na hali ngumu ya Maisha.
Uchaguzi wa Mtu hutokea ndani Kabisa ya nafsi ya Mtu na Wala sio Nje.

Ukienda sites na kwenye madanguro ukiwasililiza wanawake ambao wanafanya ukahaba hoja zao nyingi wanakuambia ati Sababu kubwa ni Hali ngumu ya Maisha. Jambo ambalo sio kweli Kabisa. Hali ngumu ya Maisha haiwezi kumfanya mtu akajivua UTU wake kwa kiwango cha kuwa Kahaba na Kulala na kila mwanaume hovyohovyo.

Kujigeuza Jalala au dampo la kutupia uchafu wa kila mwanaume ni uamuzi wa juu kabisa wa mwanamke kujitendea uovu.

Mwanamke Kahaba Hana tofauti kubwa na mwanamke mchawi. Wote wanaweza kufanya lolote na kumdhuru yeyote Yule.
Kama mtu kajigeuza dampo la Kulala na mwanaume yeyote Yule unafikiri ni kitu gani kingine hakiwezi?

Sasa kuna wale Nice Guy, wanaume dhaifu ambao kwa Sababu ya kuongozwa na hisia na kutotumia vizuri Akili Zao hufikiri kuwa mwanamke Kahaba anaweza kubadili.

Wengine hudanganywa na wanawake wakiambiwa kuwa Makahaba wanaweza kubadilika.
Huo ni Uongo!

Ukitaka kujua Kahaba yeyote habadiliki nenda kamuulize, kwa nini yeye ni Kahaba au kaamua kuwa Kahaba?
Msikilize.
Muulize tena, nini kifanyike aache ukahaba?
Asilimia 99% watakuambia, akipata mwanaume anayeweza kumhudumia vizuri na kumtunza anaweza kuacha ukahaba.

Wakati Fulani nilifanya utafiti mdogo kwa kutembelea Makahaba kwenye Sites Zao. Wengi wao nilipowauliza walijibu Majibu yanayofanana na Hilo.

Nilipowauliza, imetokea wamepata huyo mwanaume mwenye uwezo wa kuwahudumia na kuwatunza lakini baada ya miaka kumi au kumi na tano akafilisika nini kitatokea?
Wengi wao walipata kigugumizi.

Ni kwamba Makahaba ni materialists in nature. Hawana mapenzi ya KWELI. Wapo after Money.

Kuamua kuoa Mwanamke Kahaba ni uamuzi Mgumu Kabisa kwa Wanaume ambao hawakufunzwa vyema.

Fuatilia popote pale.
Ukiona binti yeyote ni Msumbufu, kiruka Njia na anakimbizana na wanaume kwenye magheto. Shida imeenzia mbali kwa Mama yake.

Ukiona Mkeo anatabia ya Umalaya Umalaya, Kulala hovyo na wanaume. Unakutakuta meseji.
Usikimbilie kupiga simu ukweni.
Ninakuhakikishia asilimia 90% ukiona Mkeo ni Malaya ujue shida imeanzia Mbali.
Mama alivyo ndivyo Binti yake alivyo kwa asilimia kubwa.

Sisi Watibeli ukishagundua mwanamke anaumalaya hatunaga Muda WA kujadili na ukweni kwa Sababu kwa Kiasi kikubwa tunajua kuna uhusiano wa karibu wa Tabia za wake zetu na huko kwao. Sisi tunafukuza.

Tabia ya Mkeo utaiona kwa mabinti zako kama Wazazi wake(wakwe zako hawapo).

Ndio maana zamani ilishauriwa watu waoe Wanawake wakiwa Bikra. Kwa Sababu sio rahisi kumkuta Binti wa Miaka 20 Akiwa Bikra kama hakuwa akijitunza.

Hii inaenda mbali zaidi, kama Mama WA Binti unayetaka kumuoa ni single Mother na waliachana na Mumewe. Jua kuna asilimia kubwa ya Binti zake nao kuwa kama Mama Yao.

Hii inamaanisha, kama Ulichukua mwanamke Akiwa single mother ukamuoa kunauwezekano Mkubwa Binti zako nao wakafuata Mkondo uleule.
Na Hilo litatokea Miaka kuanzia 15 Mpaka 25 inayofuata.

Utapigishana kelele na watoto bure wakati hawana kosa lolote. Kwa Sababu vya Kurithi vinazidi.

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Mwanamke Kahaba Hana tofauti kubwa na mwanamke mchawi. Wote wanaweza kufanya lolote na kumdhuru yeyote Yule.
Kama mtu kajigeuza dampo la Kulala na mwanaume yeyote Yule unafikiri ni kitu gani kingine hakiwezi?🤔🙇🏿‍♂🙇🏿‍♂
 
Wewe una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki ?
Kwamba unamfuatilia kila sehemu au.

Hapa duniani hakuna mke wa mtu anaweza nikataa. Ni vile sitaki dhambi tu.

Wanaume wasiokuwa na hela,dhaifu na wasiojiamini ndiyo hupenda kuchambua sana wanawake.

Mtu anaona eti akiwa na aina fulani ya mke ndiyo atapata kitu/ vitu fulani.

Stupidity!

Ndiyo mana tumetanguliwa na watu weupe kwenye mambo mengi. Kama sio yote.
Wanaume wasiokuwa na hela,dhaifu na wasiojiamini ndiyo hupenda kuchambua sana wanawake.🥺🤔🥺🤔
 
Hawajarithi, wamefundishwa tabia za wazazi wao. Hata wangekuwa watoto wa malaika kisha ukawapeleka walelewe na malaya huenda wakafundishwa umalaya.


Ndo maana hii kitu dunia inapinga. Wewe kutokea jamii ya wasiotahiriwa haimaanishi una govi.

Haya ni mambo ya kizamani na ni ya kuyapinga. Na tukiyaendekeza hata wewe sijui mtibeli unaweza taja ukoo wako kwenye jamii fulani ukakataliwa kwa tabia isiyo yako.

Swali unaulizwa.
Kama watu hawarithi Tabia unafikiri ni Kwa nini wanadamu hawezi kuwa Malaika? Yaani kuwa wakamilifu?

Kuna Jambo tunapishana kulielewa.

Tabia IPO ya aina Mbili ambayo ni silika(nature) na hulka (nurturing)
Mazoea hujenga Tabia(hulka) na hulka hujenga Silika, wapi hupapati.
 
Wewe una uhakika gani kuwa mkeo hachepuki ?
Kwamba unamfuatilia kila sehemu au.

Kwani wapi nimeandika uhakika wa mke wangu kuchepuka au kutochepuka?
Hoja yako ni ipi?
Hapa duniani hakuna mke wa mtu anaweza nikataa. Ni vile sitaki dhambi tu.
🤓🤓


Wanaume wasiokuwa na hela,dhaifu na wasiojiamini ndiyo hupenda kuchambua sana wanawake.
Kwako pesa ni muhimu Sana sio? Sio kila mtu anaudhaifu kama wako mbele ya Pesa.

Mtu anaona eti akiwa na aina fulani ya mke ndiyo atapata kitu/ vitu fulani.

Stupidity!

Ndiyo mana tumetanguliwa na watu weupe kwenye mambo mengi. Kama sio yote.

Hoja yako ni ipi.
Ndio inasubiriwa hapa.
Naona unarukia rukia matawi kama Ngedere. HUNA utulivu wa kiakili kujua nini uzungumze
 
Hamna tabia isiyoweza kubadilika.
Huyo mama mtu aliitoa wapi hiyo tabia?? Bila shaka kwenye hiyo chain kuna alieianza, huyo alieianza alibadilika kutoka kua mwema hadi kua malaya hata malaya anaweza kubadilika pia.

Tabia(hulka) ya kujifunza ndio hubadilika kwa wakati mfupi.
Silika(Tabia uliyozaliwa nayo) haibadiliki itakuchukua Miaka yako yote kubadilika, yaani unaanza na wewe kisha mtoto ukimzaa naye akazane kuibadilisha Mpaka kizazi labda cha nne huko ndio itakuwa imebadilika
 
Kwani wapi nimeandika uhakika wa mke wangu kuchepuka au kutochepuka?
Hoja yako ni ipi?

🤓🤓



Kwako pesa ni muhimu Sana sio? Sio kila mtu anaudhaifu kama wako mbele ya Pesa.



Hoja yako ni ipi.
Ndio inasubiriwa hapa.
Naona unarukia rukia matawi kama Ngedere. HUNA utulivu wa kiakili kujua nini uzungumze
Huwezi kuita wanawake wengine malaya na wakati huna uhakika kama mke wako ana kucheat au la.

Nadhani umenipata.

Hata mke wako anaweza kupitiwa tu kama ilivyo kwa malaya.
 
Back
Top Bottom