Ukioa Malaya/mdangaji kuzaa mabinti Malaya hakuepukiki ni uhakika

Ukioa Malaya/mdangaji kuzaa mabinti Malaya hakuepukiki ni uhakika

Mtibeli umeandika utumbo. Kuna watoto wa wachungaji ni viruka njia.. kwanini na wao wasingekuwa kama wazazi wao? Kama huna cha kuandika tulia kuliko uandike uharo.
We Unajua Mwamposa Kabla Ya Kuwa Mchungaji Alipitia Njia Zipi? Au Uchungaji Amezaliwa Nao?
Kwa Akili Zako Nimshauri Mwenye Jina Unalolitumia Hapa Akuburuze Mahakamani Kwa Kumdhalilisha.
 
Kabla Ya kujua Umri Wako Nakukataza Kama Mwanangu Wa Kukukojoa Kabisa.

Unaonekana Una Kiburi Kwa Sababu Fulani Fulani Ila Jua Kwamba Duniani Hakuna Kitu "KAMWE"Wewe Unaweza Ukakataliwa Hata Na House Girl Sio Tu Mke Wa Mtu.
Unavyojiona Sivyo Ulivyo Machoni Pa Wengine.
Na Ndio Maana Mtume Musa A.s Alipoona Yeye Anajua Kila Kitu Mungu Alimkataza Kwa Kumletea Mtu wa Kawaida Kabisa Wala Sio Mtume Kama Yeye Na Anajua Mambo Kuliko Musa.
Acha Kujikweza Dogo.
Ramadan Kareem.
 
UKIOA MALAYA/MDANGAJI KUZAA MABINTI MALAYA HAKUEPUKIKI NI UHAKIKA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Hakuna sababu hata Moja ya maana ya mwanamke kuwa Kahaba. Kuwa Kahaba ni uchaguzi wa Mtu na hakutokani na hali ngumu ya Maisha.
Uchaguzi wa Mtu hutokea ndani Kabisa ya nafsi ya Mtu na Wala sio Nje.

Ukienda sites na kwenye madanguro ukiwasililiza wanawake ambao wanafanya ukahaba hoja zao nyingi wanakuambia ati Sababu kubwa ni Hali ngumu ya Maisha. Jambo ambalo sio kweli Kabisa. Hali ngumu ya Maisha haiwezi kumfanya mtu akajivua UTU wake kwa kiwango cha kuwa Kahaba na Kulala na kila mwanaume hovyohovyo.

Kujigeuza Jalala au dampo la kutupia uchafu wa kila mwanaume ni uamuzi wa juu kabisa wa mwanamke kujitendea uovu.

Mwanamke Kahaba Hana tofauti kubwa na mwanamke mchawi. Wote wanaweza kufanya lolote na kumdhuru yeyote Yule.
Kama mtu kajigeuza dampo la Kulala na mwanaume yeyote Yule unafikiri ni kitu gani kingine hakiwezi?

Sasa kuna wale Nice Guy, wanaume dhaifu ambao kwa Sababu ya kuongozwa na hisia na kutotumia vizuri Akili Zao hufikiri kuwa mwanamke Kahaba anaweza kubadili.

Wengine hudanganywa na wanawake wakiambiwa kuwa Makahaba wanaweza kubadilika.
Huo ni Uongo!

Ukitaka kujua Kahaba yeyote habadiliki nenda kamuulize, kwa nini yeye ni Kahaba au kaamua kuwa Kahaba?
Msikilize.
Muulize tena, nini kifanyike aache ukahaba?
Asilimia 99% watakuambia, akipata mwanaume anayeweza kumhudumia vizuri na kumtunza anaweza kuacha ukahaba.

Wakati Fulani nilifanya utafiti mdogo kwa kutembelea Makahaba kwenye Sites Zao. Wengi wao nilipowauliza walijibu Majibu yanayofanana na Hilo.

Nilipowauliza, imetokea wamepata huyo mwanaume mwenye uwezo wa kuwahudumia na kuwatunza lakini baada ya miaka kumi au kumi na tano akafilisika nini kitatokea?
Wengi wao walipata kigugumizi.

Ni kwamba Makahaba ni materialists in nature. Hawana mapenzi ya KWELI. Wapo after Money.

Kuamua kuoa Mwanamke Kahaba ni uamuzi Mgumu Kabisa kwa Wanaume ambao hawakufunzwa vyema.

Fuatilia popote pale.
Ukiona binti yeyote ni Msumbufu, kiruka Njia na anakimbizana na wanaume kwenye magheto. Shida imeenzia mbali kwa Mama yake.

Ukiona Mkeo anatabia ya Umalaya Umalaya, Kulala hovyo na wanaume. Unakutakuta meseji.
Usikimbilie kupiga simu ukweni.
Ninakuhakikishia asilimia 90% ukiona Mkeo ni Malaya ujue shida imeanzia Mbali.
Mama alivyo ndivyo Binti yake alivyo kwa asilimia kubwa.

Sisi Watibeli ukishagundua mwanamke anaumalaya hatunaga Muda WA kujadili na ukweni kwa Sababu kwa Kiasi kikubwa tunajua kuna uhusiano wa karibu wa Tabia za wake zetu na huko kwao. Sisi tunafukuza.

Tabia ya Mkeo utaiona kwa mabinti zako kama Wazazi wake(wakwe zako hawapo).

Ndio maana zamani ilishauriwa watu waoe Wanawake wakiwa Bikra. Kwa Sababu sio rahisi kumkuta Binti wa Miaka 20 Akiwa Bikra kama hakuwa akijitunza.

Hii inaenda mbali zaidi, kama Mama WA Binti unayetaka kumuoa ni single Mother na waliachana na Mumewe. Jua kuna asilimia kubwa ya Binti zake nao kuwa kama Mama Yao.

Hii inamaanisha, kama Ulichukua mwanamke Akiwa single mother ukamuoa kunauwezekano Mkubwa Binti zako nao wakafuata Mkondo uleule.
Na Hilo litatokea Miaka kuanzia 15 Mpaka 25 inayofuata.

Utapigishana kelele na watoto bure wakati hawana kosa lolote. Kwa Sababu vya Kurithi vinazidi.

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Kwasasa wanawake wengi Wana bei yao!hasta akiwa mlokole ana bei yake!!ukitenga mzigo Anakua mpole hata kama mhusika ana Ngoma atakubali tu!
 
Maamuzi yanaweza kuwa determine na jambo lolote.

Mfano, wewe si una shida zako za fedha, na pesa si ukipita Bank unaziona? Lakini Kwanini hufanyi maamuzi ya kuvamia na kuzichukua? Na anayefanya maamuzi ya kuvamia si ana shida na hizo pesa kama wewe? Kwanini anafanya maamuzi ya kuvamia? Shida wote mnazo, pengine na tamaa ya kupata hizo pesa wote mnayo ila kuna ambaye amefanya maamuzi na kuna ambaye hakufanya.

Inatokana na akili ya Mtu. Maamuzi yanategemea akili. Akili haitegemei maamuzi
Akili mtu anarithi.
Wapi tunapishana
Lugha anajfunza. Kumbe tumeelewana boss.

Lugha inategemea Sauti ambayo Sauti unarithi kutoka kwa Wazazi au ukoo wako.

Unashindwa kuelewa independent variables Vs Dependent Variables

Hapo ndio unakwama.
 
We Unajua Mwamposa Kabla Ya Kuwa Mchungaji Alipitia Njia Zipi? Au Uchungaji Amezaliwa Nao?
Kwa Akili Zako Nimshauri Mwenye Jina Unalolitumia Hapa Akuburuze Mahakamani Kwa Kumdhalilisha.
Wewe maku nimemwongelea Mwamposa kwenye comment yangu? Huo ushauri kampe mamako mzazi.
 
Mtibeli umeandika utumbo. Kuna watoto wa wachungaji ni viruka njia.. kwanini na wao wasingekuwa kama wazazi wao? Kama huna cha kuandika tulia kuliko uandike uharo.

Hivi mtu kuwa mchungaji au Sheikhe ndio kunazuia asiwe muadilifu?

Unachanganya Kazi na character
Kila Kazi inahitaji watu waadilifu.

Narudia, ukizaa na Kahaba kupata mtoto Kahaba HAKUEPUKIKI. Ni Jambo la uhakika.
Mtoto wa nyoka hawezi kuwa chura.

Labda kama mambo ya Falsafa na saikolojia yalikupita kushoto
 
Hivi mtu kuwa mchungaji au Sheikhe ndio kunazuia asiwe muadilifu?

Unachanganya Kazi na character
Kila Kazi inahitaji watu waadilifu.

Narudia, ukizaa na Kahaba kupata mtoto Kahaba HAKUEPUKIKI. Ni Jambo la uhakika.
Mtoto wa nyoka hawezi kuwa chura.

Labda kama mambo ya Falsafa na saikolojia yalikupita kushoto
Huwa kuna muda unaandikaga ujinga mwingi sana. Ingekua huu upumbavu ulioandika ni kweli basi kungekuwa na makahaba wasio na idadi kila upande.
 
Ni sawa na kusema, ukioa mke anayejiheshimu; unakuwa na uhakika pia wa kupata mabinti wenye tabia nzuri. Kitu ambacho sio kweli.

Kiufupi, umezingua.

Hiyo ndio iko hivyo.
Mpera hauzaagi mapapai.

Hayo Mengine ni ninyi kizazi cha sasa mnashindwa kuelewa kimakusudi alafu mnalialia kuwa watu wa siku hizi wamevurugwa wakati ninyi ndio mmevurugwa.

Embe halianguki mbali na mti wake.
 
Huwa kuna muda unaandikaga ujinga mwingi sana. Ingekua huu upumbavu ulioandika ni kweli basi kungekuwa na makahaba wasio na idadi kila upande.

Kwani sasa hivi wanaidadi?

Au unafikiri Kahaba Mpaka akapange foleni barabarani.
Humo kwenye Ndoa Makahaba wamejaa kuliko barabarani.
 
Leo Dada anajaribu kujustify kuwa kaaba au Malaya akifanikiwa ki uchumi au watoto wake wakisoma na kuwa na kazi nzuri basi maana ya kuwa kaaba ni jambo la kheri tu.

Nafikiri hayo ni matokeo ya kutofikiri vizuri.
 
Huwa kuna muda unaandikaga ujinga mwingi sana. Ingekua huu upumbavu ulioandika ni kweli basi kungekuwa na makahaba wasio na idadi kila upande.
Ukahaba was Sasa unaujua!!?unaanzia kwenye mawazi ya mwanamke!

Kama mwanamke anawaza Ili nitoe penzi lazima Me anihudumie Kodi,ada,Hela ya mchezo,mama anaumwa,Hela ya kusuka n.k unafikiri sio ukahaba!!?

Wako wapi wanawake wachapakazi wa enzi zile wenye kujitegemea badala ya kuwaza kudanga Ili wapate mahitaji!!

Ukahaba wa kisasa hauhitaji mwanamke awe site!! Ni ukahaba wa kimtandao!!
 
Kama umalaya au ukahaba ni tabia ya kurithi, na mnasema kwamba bibi zetu walijitunza na walijiheshimu, sasa hiki kizazi cha hawa wanawake kimetoka wapi

Hakuna jipya chini ya Jua
Kama wangekuwa wamejifunza misemo ya kitanda hakizai haramu isingekuwepo.

Koo za kikahaba zipo
Koo za watu waadilifu zipo
Koo za matajiri zipo
Koo za Fukara zipo
Koo za Wachawi zipo.
Koo za usodoma na ugomora zipo.

Ambacho hakikuwepo ni watu kuwa Huru kueleza kama hivi na kuibua Mambo ya Siri hadharani.

Ingawaje wapo watu Exceptional ambao huweza kutoka koo za kikahaba lakini Kwa Neema tuu wakapata akili ya kujiongeza na kuwa watu Wema.
Watu hao ni Wachache Sana, exceptional
 
Ukahaba was Sasa unaujua!!?unaanzia kwenye mawazi ya mwanamke!

Kama mwanamke anawaza Ili nitoe penzi lazima Me anihudumie Kodi,ada,Hela ya mchezo,mama anaumwa,Hela ya kusuka n.k unafikiri sio ukahaba!!?

Wako wapi wanawake wachapakazi wa enzi zile wenye kujitegemea badala ya kuwaza kudanga Ili wapate mahitaji!!

Ukahaba wa kisasa hauhitaji mwanamke awe site!! Ni ukahaba wa kimtandao!!
Baba yangu kamhudumia mama pamoja na sisi wanae kwa 100%. Je, mama ni kahaba kwa kuhudumiwa na baba? Acheni upumbavu.
 
Kwani sasa hivi wanaidadi?

Au unafikiri Kahaba Mpaka akapange foleni barabarani.
Humo kwenye Ndoa Makahaba wamejaa kuliko barabarani.
Makahaba walikuwepo tangu enzi za Nuhu ila kusema kahaba lazima azae kahaba ni upunguani na ukosefu wa akili. Wewe ukimpa mimba kahaba hizo mbegu zako zinakuwa na ukahaba ndani yake?
 
Ukahaba was Sasa unaujua!!?unaanzia kwenye mawazi ya mwanamke!

Kama mwanamke anawaza Ili nitoe penzi lazima Me anihudumie Kodi,ada,Hela ya mchezo,mama anaumwa,Hela ya kusuka n.k unafikiri sio ukahaba!!?

Wako wapi wanawake wachapakazi wa enzi zile wenye kujitegemea badala ya kuwaza kudanga Ili wapate mahitaji!!

Ukahaba wa kisasa hauhitaji mwanamke awe site!! Ni ukahaba wa kimtandao!!

Hawezi kukuelewa

Yeye anajua Kahaba ni wale tuu wa kwenye casino na madanguro.
 
Makahaba walikuwepo tangu enzi za Nuhu ila kusema kahaba lazima azae kahaba ni upunguani na ukosefu wa akili. Wewe ukimpa mimba kahaba hizo mbegu zako zinakuwa na ukahaba ndani yake?

Kahaba lazima azae Kahaba
Labda kama hujui mchango wa Mama kwa Mtoto kisayansi na kiimani.
 
Hiyo ndio iko hivyo.
Mpera hauzaagi mapapai.

Hayo Mengine ni ninyi kizazi cha sasa mnashindwa kuelewa kimakusudi alafu mnalialia kuwa watu wa siku hizi wamevurugwa wakati ninyi ndio mmevurugwa.

Embe halianguki mbali na mti wake.
Huna la kuwashauri vijana kuhusu haya mambo.

Wewe endelea tu kuishi na mke wako; Kama ambavyo wengine wametulia.

Vijana wa siku hizi sio wajinga kama unavyo dhani.

Usilazimishe ujinga kwenye vichwa vya watu.
 
Back
Top Bottom