Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #101
Huna la kuwashauri vijana kuhusu haya mambo.
Wewe endelea tu kuishi na mke wako; Kama ambavyo wengine wametulia.
Vijana wa siku hizi sio wajinga kama unavyo dhani.
Usilazimishe ujinga kwenye vichwa vya watu.
Binti anaweza kujifunza tabia mbaya kwa kushawishiwa na wenzake shuleni,chuoni. Na anaweza kukataa pia kutokana na akili yake itakavyo amua.Kwamba ukweli wa kuwa Maji hufuata Mkondo ndio vijana wa siku hizi wanaukataa?
Hata Mzee wako anajua hili nilichoandika. Wewe bado ni mtoto, UPEO wa AKILI yako bado haujakomaa.
Watu wazima wanajua Jambo hili vizuri Sana.
Hakuna Jambo lolote Duniani linalotokea kwa dharura au bahati Mbaya.
Binti anaweza kujifunza tabia mbaya kwa kushawishiwa na wenzake shuleni,chuoni. Na anaweza kukataa pia kutokana na akili yake itakavyo amua.
Acha mada za ajabu bro.
Na mabinti wengi wanaojiuza ni wale waliosoma masomo ya sanaa.Kwamba ukweli wa kuwa Maji hufuata Mkondo ndio vijana wa siku hizi wanaukataa?
Hata Mzee wako anajua hili nilichoandika. Wewe bado ni mtoto, UPEO wa AKILI yako bado haujakomaa.
Watu wazima wanajua Jambo hili vizuri Sana.
Hakuna Jambo lolote Duniani linalotokea kwa dharura au bahati Mbaya.
Unadhani kujiuza ni jambo rahisi eeh.Hakuna kitu kama hicho.
Mtu hujaribiwa kwa tamaa yake na sio vinginevyo
Kama huna Tabia ya ukahaba huwezi jaribiwa na mambo ya kikahaba.
Acha kufikiri kiajabuajabu.
Kama ukijua mambo ya ID, Ego na superego utaelewa kinachojadiliwa.
Wewe uliwahi kuona Paka akategewa Makande kama chambo kwenye Mtego?
Watu wamekulia kwa Wahuni na bado hawajawahi Wahuni, na wapo waliokulia kwa watakatifu lakini wakawa Wahuni.
Na mabinti wengi wanaojiuza ni wale waliosoma masomo ya sanaa.
Wasichana waliosoma/wanaosoma kozi za afya hawafanyi hivyo.
Wanaogopa magonjwa.
NdiyoEmu rudia tena umesema unawafahamu ni makahaba?
Nishayafatilia majibu hayawezi kubadilikaHakunaga kitu kama hicho.
Mambo ya watu wazima hayo. Ukisema uyafuatilie utabadili Majibu yako.
Unadhani kujiuza ni jambo rahisi eeh.
Ni rahisi kwa watu waliosoma masomo ya sanaa.
Nishayafatilia majibu hayawezi kubadilika
Kujua ugonjwa na kujua madhara yake kiundani; ni vitu viwili tofauti.Unaona unavyokosea.
Kahaba anaweza kuwa mwanamke yeyote. Aliyesoma au ambaye hakusoma
Mzuri au asiye na mvuto.
Mzungu au muafrika.
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa, ukahaba unaotokea ndani haufikirii kuhusu Magonjwa.
Mwanamke ambaye hafanyi ukahaba ni Yule anayeona ni kujidhalilisha na kujivunia heshima kama mwanamke.
Magonjwa sio sehemu ya kumzuia mtu asifanye ukahaba.
Hakuna kitu Kama hicho, nimekuambia acha kulazimisha ujinga wako.Upo Dunia ipi Mkuu?
Binadamu yeyote asiyejiheshimu anaweza kujiuza Muda wowote tuu.
Haihusiani na elimu wala nafasi au hadhi.
Nashangaa wanaosema sijui wachungaji sijui Nani. Kwani hao ni kina Nani?
Mtu yeyote asipojiheshimu huweza kufanya lolote
Kujua ugonjwa na kujua madhara yake kiundani; ni vitu viwili tofauti.
Ndiyo mana kuna watu wanauchukulia poa UKIMWI.
Uhai wa mtu una thamani kuliko kitu chochote. Ndiyo mana mtu yupo tayari kutoa hela ili asiuawe.Upo Dunia ipi Mkuu?
Binadamu yeyote asiyejiheshimu anaweza kujiuza Muda wowote tuu.
Haihusiani na elimu wala nafasi au hadhi.
Nashangaa wanaosema sijui wachungaji sijui Nani. Kwani hao ni kina Nani?
Mtu yeyote asipojiheshimu huweza kufanya lolote
Uhai wa mtu una thamani kuliko kitu chochote. Ndiyo mana mtu yupo tayari kutoa hela ili asiuawe.
Msichana anayejiuza ni mjinga tu. Hakuna sababu nyingine.
Kuna mambo mengi yanayo changia mtu kujiuza. Elimu pia ni mojawapo.Kinachofanya uhai wa binadamu uwe na thamani ni UTU wake.
Mtu akashaamua kujiuza UTU wake unategemea nini?
SawaKama mpera uliwahi kuuona umezaa Pilipili basi uko sahihi
Sasa mbona mnapowasema wanawake wa kizazi hiki huwa mnatumia bibi zetu kama reference kana kwamba wao walikuwa perfect, kumbe mnajua kwamba tofauti ya kizazi kile na cha sasa ni uhuru na uwazi tu na si tabia wala hulka, suala la kusema kwamba hao watu unaowaita exceptional ni wachache si kweli bali wapo wengi sana tuHakuna jipya chini ya Jua
Kama wangekuwa wamejifunza misemo ya kitanda hakizai haramu isingekuwepo.
Koo za kikahaba zipo
Koo za watu waadilifu zipo
Koo za matajiri zipo
Koo za Fukara zipo
Koo za Wachawi zipo.
Koo za usodoma na ugomora zipo.
Ambacho hakikuwepo ni watu kuwa Huru kueleza kama hivi na kuibua Mambo ya Siri hadharani.
Ingawaje wapo watu Exceptional ambao huweza kutoka koo za kikahaba lakini Kwa Neema tuu wakapata akili ya kujiongeza na kuwa watu Wema.
Watu hao ni Wachache Sana, exceptional
Sasa mbona mnapowasema wanawake wa kizazi hiki huwa mnatumia bibi zetu kama reference kana kwamba wao walikuwa perfect, kumbe mnajua kwamba tofauti ya kizazi kile na cha sasa ni uhuru na uwazi tu na si tabia wala hulka, suala la kusema kwamba hao watu unaowaita exceptional ni wachache si kweli bali wapo wengi sana tu
Wewe huna unalojua unaropoka sana. Hiyo sayansi ya wapi? Unaweza leta hata report moja ya utafiti wa kisayansi uliofanyika kwa hili unalolisema?Kahaba lazima azae Kahaba
Labda kama hujui mchango wa Mama kwa Mtoto kisayansi na kiimani.