Ukiokota Pete yoyote Njiani Tafadhali usije Kuivaa itakuletea madhara mwilini mwako

Ukiokota Pete yoyote Njiani Tafadhali usije Kuivaa itakuletea madhara mwilini mwako

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Huyu kavaa pete ambayo ni pete ya mtu aliye kufa ameiacha itakuwa ni Pete ya shetani sasa kidole kimetoka hatari usivae pete ya mtu
Huyu kavaa pete ambayo ni pete ya mtu aliye kufa ameiacha.jpg
mwengine unaweza kupata shida kama hiyo.
 
Pete ni agano.
Vitu vizuri havipatikani kwa kuokotwa bali vinanunuliwa.
Maskini ndio hurogwa zaidi, kwasababu huamini zaidi kwenye bahati/miujiza badala ya kuhangaika kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa ili wapate vitu vizuri.
 
Pete ni agano.
Vitu vizuri havipatikani kwa kuokotwa bali vinanunuliwa.
Maskini ndio hurogwa zaidi, kwasababu huamini zaidi kwenye bahati/miujiza badala ya kuhangaika kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa ili wapate vitu vizuri.
Hakuna kinachookotwa bure
 
Kuna ile Bangili huwa wanavishwa Wanaume wenye Maumbile marefu ya sehemu za siri AKA "Wasukuma Kizazi" na wao ukiiba Bangili zao ukavaa unakuwa hivi?
 
• Kuna Pete nilipewa na mzee wa sumbawanga,

• Sharti nilipewa isilowane na maji hata kidogo, wala kumpa mtu avae, hata kipindi nakula mbususu nisiivae na kamwe nisiishike kabla sijaoga baada ya kula mbususu.

• Usiku ninavyo lala niivue Kisha niiweke mezani kama kawaida., Aise kuna siku niliamka usiku ili nikaiangalie ile pete nikakuta haipo, niliitafuta sana ule usiku bila mafanikio, nikaamua kwenda kulala huku nikijiuliza wapi nimeweka peti yangu? Asubuhi naamka naikuta pale pale kwenye Meza. Aise ikabidi nimpigie yule mzee, Mzee mbona pete usiku inapotea alafu nikiamka Asubuhi naikuta? Yule mzee Akanijibu hiyo Pete usiku huwa inaenda kupumzika makaburini usiwe na wasiwasi kabisa.


• Nilikaa nayo mda mrefu kidogo, siku nikajisahau baada ya kumpata mtoto mrembo mrefu mithiri ya twiga..... Ebwana ehee si nikajichanganya nikampa aivaee.. Ilimfinya kile kidole 😑, ikabidi nimvue haraka... Safari ya kurudi getho tulipata ajali mbaya sana ikapelekea nikavunjika na mkono.

Tokea siku hiyo ile pete sikuiona tena mpaka mda huu naandika hii sms..😥..
 
Kuna ile Bangili huwa wanavishwa Wanaume wenye Maumbile marefu ya sehemu za siri AKA "Wasukuma Kizazi" na wao ukiiba Bangili zao ukavaa unakuwa hivi?
Sasa kama una maumbo ya marehemu lemutuz c itakuwa inamvuka kutokana na maelezo wa walichokutana nacho
 
Ila inashangaza sana yaani mpete ka huo mtu na akili zake timamu anauokota kabisa halafu anauvaa. Lol

Ahsante mleta uzi kwa kutukumbusha.
 
Back
Top Bottom