Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
hua ni moja naokota za ringi sjawah okota mbiliHahahahaha...ulivaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hua ni moja naokota za ringi sjawah okota mbiliHahahahaha...ulivaa
hela sina ndio but sijaamuua kuuza hizo gold ninazookotaWatakuambia ndio maana huna pesa nyingi [emoji16][emoji16]
😁😁hela sina ndio but sijaamuua kuuza hizo gold ninazookota
😬😬, kuna uganga wa aina nne:Nataka na mimi niwe mganga wa jadi, nimegundua kuna hela.
njoo nikuuzie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii ni hatari duuuuh kutoka Masjid Al-Jin, Saudi Arabia
Nilikua sjaelewa 😁😁😁njoo nikuuzie
Ninachojua ivi vitu ukifa na vyenyewe vinapotea katika mazingira ya kutatanisha ni ngumu sana kuvikuta roadHuyu kavaa pete ambayo ni pete ya mtu aliye kufa ameiacha itakuwa ni Pete ya shetani sasa kidole kimetoka hatari usivae pete ya mtuView attachment 2924914 mwengine unaweza kupata shida kama hiyo.
Wachawi watakujaribu na wakigundua we ni magumashi watakuuaNataka na mimi niwe mganga wa jadi, nimegundua kuna hela.
ulikua pussy? namaanisa heren ninazookotaNilikua sjaelewa 😁😁😁
Pussy tena🙄🙄🙄🙄ulikua pussy? namaanisa heren ninazookota
Sasa na vipi mtu akiokota na kuuza,Pete ni agano.
Vitu vizuri havipatikani kwa kuokotwa bali vinanunuliwa.
Maskini ndio hurogwa zaidi, kwasababu huamini zaidi kwenye bahati/miujiza badala ya kuhangaika kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa ili wapate vitu vizuri.
Faida yake ni nini?uwe unachukua mdoli wako na uwe unaliambia maneno haya huku unalitazama kwenye macho yake kwa siku41 mfululizo utaona maajabu makubwa sana na usije ukashangaa unaihama nyumba kwa hofu. sema maneno haya ''wewe blodmeli nibadilishie kinyago hiki''
Ilikuwa pete ya pepo aka jini una bahati hakukupenda angeli kupenda ungelipata tabu na shida sana na asingekuacha hata kidogo.Mimi nilisha wahi kuokota Pete kama hiyo. Kwenye picha ila ilikuwa na kitu chekundu katika ili ni sumbua sana then ikapoteaga yenyewe.
Kweli ilikuwa bahati yangu.Ilikuwa pete ya pepo aka jini una bahati hakukupenda angelikupenda ungelipata tabu na shida sana na asingekuacha hata kidogo.
Wachawi wa wapi, wale wanaopaa na ungo au wanaoingia ndani kupitia kona za nyumba, ama ni wale wanaojigeuza paka na bundi?Wachawi watakujaribu na wakigundua we ni magumashi watakuua
Wachawi wametajwa katika vitabu vyote vya dini kuwa wapo wachawi na watakuwepo mpaka mwisho wa dunia. Ukiamini sawa usipo amini pia sawa. Ngojea yakukute ndipo utakapo amini kuwa uchawi upo na wachawi wana nguvu za kumroga mtu yoyote yule wanaye mtaka.Wachawi wa wapi, wale wanaopaa na ungo au wanaoingia ndani kupitia kona za nyumba, ama ni wale wanaojigeuza paka na bundi?
Ndugu yangu, kuamini kuna wachawi karne ya 21 ni fedheha.
Wewe huoni aibu?
Are you not ashamed of yourself?