Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
- Thread starter
- #21
Mkuu ulikosea labda jinsi ya kumuita huyo jini wa mdoli nyumbani kwako fanya nunuwa mdoli mpya kisha uweke nyumbani kwako kila siku ushike mkononi na kutamka haya maneno kwa siku 41 utaona atabadilika kuw ani jini. sema hivi hku umemshika mdoli wako.'wewe blodmeli nibadilishie kinyago hiki''Mhh! Nilijaribu ile ya Blodmeli kwa muda wa siku 41 lakini sikufanikiwa.
JE UNAJUA KUWA MIDOLI UNAYOIJAZA NYUMBANI KWAKO INA MAJINI NDANI YAKE?
Natumai uko salama ndugu msomaji na leo nataka nikujuze kuhusu midoli ambayo wengi huipenda kuwanunulia watoto wao,au kuijaza ndani kama mapambo
kwanza kabisa ndiyo maana hata mjumbe wa Mwneyez Mungu Mtume Muhammad s.a.w alikataza watu wasiweke midoli majumbani mwao pana hekima kubwa sana hapa isiyojulikana'
Mapepo/majini wao ni roho ambazo zinaweza kujigeuza na kuingia kwenye mwili wowote wanaoupenda na ndyo maana binadamu wengi pia huingiwa na majini hao,sasa miongoni mwa vitu ambayo majini hupenda kuingia kwenye maumbo hayo ni midoli, mapepo hupenda kukaa ndani ya misanamu na kufanya huo kama mwili na makazi yake.
ukitaka kuamini haya ninayoyasema kwa kujionea mweneyewe kwa macho yako fanya hivi
uwe unachukua mdoli wako na uwe unaliambia maneno haya huku unalitazama kwenye macho yake kwa siku41 mfululizo utaona maajabu makubwa sana na usije ukashangaa unaihama nyumba kwa hofu.
sema maneno haya ''wewe blodmeli nibadilishie kinyago hiki''
ONYO
KAMA NI MUOGA,UNA MAGONJWA KM PRESHA,WASIWASI,NK


MAJINI NA WACHAWI