Usifananishe mafundisho ya Kiislam na mafundisho ya imani nyingine yoyote.
Qur'an siyo kitabu cha maisha ya Mtume fulani, kuna mitume 25 imetajwa kwa majina ndani ya Qur'an.
- Musa (Moses) katajwa x 136
- Ibrahim (Abraham) x 69
- Nuh (Noah) x 43
- Lut (Lot) x 27
- Yussuf( Joseph) x 27
- Isa (Jesus) x 25
Adam 25 times
Harun (Aaron) 20 times
Sulayman (Solomon) 17 times
Ishaq (isaac) 17 times
Dawud (David) 16 times
Yaqub (Jacob) 16 times
Ismael (Ishmael) 12 times
Shuayb 11 times
Salih 9 times
Zakaria 7 times
Hud 7 times
Yahya 5 times
Muhammad 4 times
Yunus (Jonah) 4 times
Ayyub (Job) 4 times
Idris (Enoch) – twice
Alyasa (Elisha) – twice
Elyas (Elijah) – twice
Thul Kifl (Ezekiel) – twice
Hatuwatofautishi baina yao. Wote walikuja kwa sababu ya kufikisha ujumbe.
Mwanamke ana Haki zake na Mwanamme ana haki zake katika Uislam lakini ziko kwa mizani siyo na upendeleo.
Qur'an 9:71. Na Waumini wanaume na Waumini wanawake wao kwa wao ni marafiki walinzi. Huamrisha mema na hukataza maovu, na hushika Sala, na hutoa Zaka, na humt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Hao Mwenyezi Mungu atawarehemu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mtukufu Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
71