Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi bado ndoa zina maana yoyote miaka hii??Utasugua sana bench ,utaendelea kukata mauono kwenye shighuli za wenzeko ukishuhudia wakiolewaa kwa kutokuw na mawazo yako mgandoo
Wenye akili tuko wachache sana , wewe ni mmojawapo. Ishi sana mkuuNdio maana wanasema ndoa ni uvumilivu wanadanganyana sana, siku hizi ndoa ni paradiso hakuna mateso tena, ukiolewa sio mfanya kazi ni pambo la nyumba kazi mnasaidiana.
Mambo ya kwenda job wote mnarudi usiku afu mwenzio anakaa seblen anasubir upike umtengee akila utoe na vyombo uoshe na uandae nguo za kesho..ukiwa kazini ujue ukirud utapika nn. Hizi sio kazi za mama ni za wote.
Misemo ya kipuuz nilishakataaga eti ooh ndoa uvumilivu ooh mwanamke haungui mara ooh kazi za nyumban haziishi shenz!!
umeolewa?Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.
Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.
Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo umsaidie.
Asikupangie nn cha kufanya. Ndiyo maana kule Ulaya mume na mke wanapangiana ratiba ya kuzifanya hizo kazi za ndani na mambo mengine.
Acheni utumwa.
Ni ushauri tu kama hutaki acha.
Mume na mke wanatakiwa kutunzana. Kila mmoja ana sehemu yake katika kutekeleza hili, dunia imekua ya hovyo na ndoa hazieleweki kwa sababu watu wamekiuka mapenzi ya Mungu kwenye kutimiza wajibu wetu.Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.
Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.
Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo umsaidie.
Asikupangie nn cha kufanya. Ndiyo maana kule Ulaya mume na mke wanapangiana ratiba ya kuzifanya hizo kazi za ndani na mambo mengine.
Acheni utumwa.
Ni ushauri tu kama hutaki acha.
kwa Africa mmm?Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.
Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.
Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo umsaidie.
Asikupangie nn cha kufanya. Ndiyo maana kule Ulaya mume na mke wanapangiana ratiba ya kuzifanya hizo kazi za ndani na mambo mengine.
Acheni utumwa.
Ni ushauri tu kama hutaki acha.
Kabisa Sexless ,sanaa na imechukua nafasi kubwa sana kwenye maisha Vijana wa mini tuu ndio naona kama hazina maanaHivi bado ndoa zina maana yoyote miaka hii??
Umewahi kuishi nchi ipi ya ulaya? hili ndio swali la msingi kabla la secondary.Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.
Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.
Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo umsaidie.
Asikupangie nn cha kufanya. Ndiyo maana kule Ulaya mume na mke wanapangiana ratiba ya kuzifanya hizo kazi za ndani na mambo mengine.
Acheni utumwa.
Ni ushauri tu kama hutaki acha.
Kama mwanamke high profile kansela wa Ujerumani anampikia mume wake na haendi ofisini bila kuandaa breakfast ya mume wake na kasri lao lina wafanyakazi lukuki wewe Asha ngedere una nini cha maana?Ndio maana wanasema ndoa ni uvumilivu wanadanganyana sana, siku hizi ndoa ni paradiso hakuna mateso tena, ukiolewa sio mfanya kazi ni pambo la nyumba kazi mnasaidiana.
Mambo ya kwenda job wote mnarudi usiku afu mwenzio anakaa seblen anasubir upike umtengee akila utoe na vyombo uoshe na uandae nguo za kesho..ukiwa kazini ujue ukirud utapika nn. Hizi sio kazi za mama ni za wote.
Misemo ya kipuuz nilishakataaga eti ooh ndoa uvumilivu ooh mwanamke haungui mara ooh kazi za nyumban haziishi shenz!!
Aisee kuna hatari hapa[emoji848]Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.
Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.
Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo umsaidie.
Asikupangie nn cha kufanya. Ndiyo maana kule Ulaya mume na mke wanapangiana ratiba ya kuzifanya hizo kazi za ndani na mambo mengine.
Acheni utumwa.
Ni ushauri tu kama hutaki acha.
Mamlaka ya uteuzi ni hatari, inakupangia jukumu lolote na lazima litekelezweUnapokuwa msaidizi maana yake unapangiwa majukumu na aliyekuteua. Sasa kama mamlaka yako ya uteuzi imekupangia jikoni, baki jikoni. Kama mamlaka yako ya uteuzi imekupangia kwenda kutafta, nenda katafte. Hutaki kataa uteuzi baki kwa wazazi wako
Uyo Kansela kakubali kwa sababu zake mwenyewe yeye ninani tumuige??Kama mwanamke high profile kansela wa Ujerumani anampikia mume wake na haendi ofisini bila kuandaa breakfast ya mume wake na kasri lao lina wafanyakazi lukuki wewe Asha ngedere una nini cha maana?
Samahani Leo umekula?Jikite kwenye mada tu
Mbona hayo Waislam tunayajuwa miaka 1400 nyuma?Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.
Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.
Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo umsaidie.
Asikupangie nn cha kufanya. Ndiyo maana kule Ulaya mume na mke wanapangiana ratiba ya kuzifanya hizo kazi za ndani na mambo mengine.
Acheni utumwa.
Ni ushauri tu kama hutaki acha.
Kibibi kiongo hiki. Eti "kupika ni kwa mapenzi yetu". Yani Mudi mwenye wake wanne aingie jikoni kuwapikia?Mbona hayo Waislam tunayajuwa miaka 1400 nyuma?
Tukipika au kufanya kazi za nyumbani ni kwa mapemzi yetu tu, siyo kwa kuwa ndiyo kazi za mke.
Kazi zetu kujipamba ,kumstarehesha mume, kulea watoto. Ma shaa Allah.
Unaweza kufanya majukumu ya kiume?Kwaio hizo mahar ndo iwe deni umtumikishe mtu kias icho!! Mnarudi wote usiku afu we unakaa tuu unasubiri kula kwani uyo mwanamke hachoki?
Kama mahar ndo ishu basi tutatoa sisi afu tuone mtajimudu mfanye kaz na mfanye za nyumbani pia, TUWAOE.
Akikupa nipo hapa, hata kwnye hadiths haipo.Kibibi kiongo hiki. Eti "kupika ni kwa mapenzi yetu". Yani Mudi mwenye wake wanne aingie jikoni kuwapikia?
Hebu tuonyeshe Aya za Qur'an zinazoonyesha kua mtume alikua anawapikia wake zake.