Black Bolt
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 257
- 417
Hizo kazi ulizotaja sio adhabu bali ndio raha za kuwa mke au ndio ufahari wa kuwa mke Mfano:- mwanamke ambae hajaolewa umri umeenda akisikia mwanamke mwenzie hasa wa umri wake walicheza wote "Leo kachelewa anasema anamfulia nguo mmewe" huyu mwanamke ambae hajaolewa kauli hio lazima impige kisaikolojia na ata wish japo na yeye ampate atakayempa nafasi tu ya kumfulia nguo na kufagia chumba chake moyo utulie.
Hizo ni starehe kwa mwanamke ukiziona adhabu wewe sio mwanamke
Hizo ni starehe kwa mwanamke ukiziona adhabu wewe sio mwanamke