Ukiolewa usikubali kupewa masharti, kumpikia, kumfulia na kusafisha nyumba. Wewe siyo house girl

Bibi kanichekesha, kanikumbusha bibi yangu naye ana maneno km ya Fay

Vibibi vya pwani vivivu wao kuzagamuana tu!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaaa sanaaaaa
 
Mashallha bibi na ikawe heri, tuwe wanawake wema kwa waume zetu na tukatii mafundisho ya mtume wetu [emoji120]

Ila kupika watupikie ilo usiache kuwasisitiza [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Kiislam hatuendi hivyo, tazama ni wapi kilipoandikwa ndiyo kinakuwa sheria. Kama hakijaandwa na hakikutoi katika Uislam wako basi kinabaki kuwa ni option kwako.

Kama umenisoma vizuri juu huko? Nimeandika, Mke kumpikia mumewe ni kwa mapenzi yake tu siyo lazima kwake. Ulazima ni kustiriana. Kuamrishana mema na kukatazana maovu.

Umenielewa?
 
khaaaa[emoji15][emoji15],anyway akili zakuambiwa changanya na zako
 
Duuh tukikufatisha wewe sidhani kama tutaolewa.
 
 

Attachments

  • VID-20230331-WA0064.mp4
    10.5 MB
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaaa sanaaaaa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] weye hutaki kupikiwa?!
Km namuona Kantri anavyounga samaki
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah

Udugu aya za mtume hizo sharti bwana apikie mkewe, sie ni kustarehe tu!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bado hujaonyesha Aya inayosema wanaume ndio wawapikie wake zao na kuwafanyia kazi. Bado hujaonyesha Aya inayosema mwanamke kazi yake ni kumstarehesha mumewe pekee.


Kati ya hao mitume wote uliowataja hapo, ni yupi alikua anampikia mkewe?
 
flowers njoo huku kumekucha, achana na hiyo ya kuwaganda hao nyumbu
 
Hapana mume hapaswi kufanya hizo kazi,,,,ameshafanya vya kutosha, sas
 
Yaano msaidizi anasubiri mpaka msaidiwa ashindwe 🤣🤣🤣 Haya sasa na mume akisema na yeye hatoi huduma kwa sababu yeye sio benki wala NGO utasema nini?? Ndoa ni heshima, nidhamu na kujishusha.
Mume sio msaidizi kwahiyo hatakiwi kushindwa kutoa huduma ya kifedha
 
Unataka muwe singo wengiwengi au sio?[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…