Ukiombwa leseni ya gari na ukatoa bila kiambatanisho, imekula kwako!

Na wale mabwana hata hawana muda wa kuangalia kama hii pesa ni feki
Umenikumbusha Kuna afande aliumbuka kitaa, walikamata gari ktk kumtikisa jamaa akawaachia mpunga na wale hawakuwa na muda wa kuzikagua wala kuikariri namba ya gari... Kumbe zilikuwa famba, jamaa aliumbuka sana. Nikaona hii nchi sasa ni ngumu sana, ujasiri umevuka mipaka mpaka Afande anapewa pesa bandia

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Nikikosea huwa najua na Sina ubishi, mara nyingi pia nimeambiwa "weka pembeni leta leseni .....nenda hakuna shida".
 
siku hizi wanasema naomba leseni ya kichaga, inabidi ujiongeze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…