Ukiona ana sifa hizi kimbia mapema

Ukiona ana sifa hizi kimbia mapema

Alafu mm nikitaka uache kazi sinto jisumbua kuanza kupigizana kelele na ww kukwaambia uache kazi badala yake utadhangaa unapokea barua ya kuachishwa kazi kwa sababu zisizo eleweka na hutojua kama ni mm ndo sababu.
Kumkomboa mwanamke ni safari ndefu sana.

Yani mimi nna malengo ya kuja kuwajengea wanangu maisha bora huku wewe unawaza kujengea michepuko.
Uniachishe kazi kijinga jinga? Kwani ndoa ndo itanipeleka mbinguni?

Mimi nakwambia unamkuta mtoto wa mtu ana kazi unamuachisha kwa wivu wako. Uje useme kisa ni mkeo.
Hutoamini macho yako!
Na ndo maana mmewaoa hao mliowaoa. Mimi niwe na watoto watatu nianze kurudi saa saba usiku natafta nini huko kazini? Nyie mnaoos wanawake wenye tabia chafu ndo mjipange. Wanawake tunaojielewa tuna focus na kulea familia.
 
Afisa Tabibu njoo uone wanaume wenzako wenye amri za kijuha😂😂😂 wengi wanaopenda kuachisha wake zao kazi ni marioo wivu unawasumbua.
6B80C358-AAFA-4261-90A1-0102F728DA5A.png
 

Attachments

  • D58FA707-25BC-415B-B6E9-F73AF08034A3.png
    D58FA707-25BC-415B-B6E9-F73AF08034A3.png
    136.3 KB · Views: 8
  • 733112F2-CF79-4FAD-B3C8-92E893782D82.png
    733112F2-CF79-4FAD-B3C8-92E893782D82.png
    113.9 KB · Views: 7
umeolewa upo kwenye utawala mwingine. ndio maana kukawepo uchumba. ili mjuane! wazazi wako wakishapokea mahari kubali. umeaga umeingia utawala mwingne.
 
Kumkomboa mwanamke ni safari ndefu sana.

Yani mimi nna malengo ya kuja kuwajengea wanangu maisha bora huku wewe unawaza kujengea michepuko.
Uniachishe kazi kijinga jinga? Kwani ndoa ndo itanipeleka mbinguni?

Mimi nakwambia unamkuta mtoto wa mtu ana kazi unamuachisha kwa wivu wako. Uje useme kisa ni mkeo.
Hutoamini macho yako!
Na ndo maana mmewaoa hao mliowaoa. Mimi niwe na watoto watatu nianze kurudi saa saba usiku natafta nini huko kazini? Nyie mnaoos wanawake wenye tabia chafu ndo mjipange. Wanawake tunaojielewa tuna focus na kulea familia.
Mkuu acha kujilinganisha akili yako na wengine.
Ww kama unaakili ya kuifanya kazi kuwa na manufaa kwa familia yako usidhani ni wanawake wote.
Wanawake wengi wenye kazi ni malimbukeni na wamejaa dharau kwenye ndoa zao, wanao jielewa kama ww ni wachache sana tena sana.

Mke wangu kama anafanya kazi na bado anatimiza majukumu yake ya kifamilia na mshahara wake unachangia maendeleo ya familia sina sababu ya kuachisha kazi.

Tofauti na hapo sahau hiyo kazi.
 
Pole kwa maswaibu yaliyokupata madam, maisha ndivyo yalivyo hayalingani wala kufanana.
 
Kwani wewe mama yako alikua anaishi anavyotaka mbele ya baba yako? Au umelelewa na single parent ? Hata mbingunni kwa Mungu malaika wanafuata utaratibu uliowekwa na mungu mwenywe, shetani alitaka kufanya yake alifukuzwa. Na hata shetani ana sheria zake ambazo wachawi,waganga na wenye utajiri wa majini wanafuata, kosea uone. Kama unataka kuishi unavyotaka wewe ishi peke yako.
 
Manipulators katika mahusiano;

Ni watu wanaopenda kutawala maisha ya wenzao, mfano anaweza kudukua simu yako, kukuchagulia marafiki, wengine wanazuiwa kufanya kazi, yaani kifupi anakuwa anajikuta kama ni baba yako na huku mmejuana ukubwani na hapo hata hajakuoa.

Wanapenda kutishia wenzao, mfano anaweza kukwambia ukienda kwenye hiyo shughuli usirudi hapa nyumbani, kulazimisha vitu/kutumia nguvu hata pasipohitaji matumizi ya nguvu.

Watu wa namna hiyo ni hatari sana, kwa kuwa anaweza kukufanya uwe na mashaka na uwezo wako binafsi (self-doubt) na kupelekea kutokujiamini.

Vipi mmeshawahi kukutana nao?
Kwani wewe mama yako alikua anaishi anavyotaka mbele ya baba yako? Au umelelewa na single parent ? Hata mbingunni kwa Mungu malaika wanafuata utaratibu uliowekwa na mungu mwenywe, shetani alitaka kufanya yake alifukuzwa. Na hata shetani ana sheria zake ambazo wachawi,waganga na wenye utajiri wa majini wanafuata, kosea uone. Kama unataka kuishi unavyotaka wewe ishi peke yako.
 
Kwani wewe mama yako alikua anaishi anavyotaka mbele ya baba yako? Au umelelewa na single parent ? Hata mbingunni kwa Mungu malaika wanafuata utaratibu uliowekwa na mungu mwenywe, shetani alitaka kufanya yake alifukuzwa. Na hata shetani ana sheria zake ambazo wachawi,waganga na wenye utajiri wa majini wanafuata, kosea uone. Kama unataka kuishi unavyotaka wewe ishi peke yako.

Hivi shetani alisepa peke yake? Hana wenzake wowote aliweza kutoka nao kwa kuwa manipulate?
 
Hivi shetani alisepa peke yake? Hana wenzake wowote aliweza kutoka nao kwa kuwa manipulate?
Biblia inadokeza kua shetani hakutupwa peke yake kuna malaika waliokua wamemuunga mkono kumpindua Mungu alitupwa nao chini,wafuasi wake ndo hao majini ama mapepo
 
utaratibu unaoingilia uhuru binafsi wa mtu
Harufu ya ufeminist.
Hakunaga mwanaume anayeolewa na akabaki na uhuru wake kamili...hata mwanamke aliyeoa hana uhuru kamili.
Ukitaka uhuru kamili baki kwenu au kaa kwako upate wa kutoana hamu basi.

Mnapokuwa pamoja maana yake lazima mkubaliane katika mambo kadhaa.
 
Naomba nikupinge kidogo! Sio kila mwanaume anayetaka uache kazi yuko insecure na kazi yako bali anaangalia maslah mapana ya familia. Mwanamke ni mlezi wa familia, hivyo anahitaji uwe serious na malezi ya watoto na familia kwa ujumla.

Hizi kazi zinatulia sana muda wetu hata tunashindwa kuwa walezi vile inavyopaswa, na YES zinatupa viburi pia. Hivyo zinatufanya tusiwe wanawake tunaopaswa kuwa.

Na ukiona mwanaume anakushurutisha uache kazi, basi kuna vielement vya kupwaya kwenye malezi, kiburi, ukosefu wa nidhamu nk ameviona kwako.

Huwa ni jambo la kujadiliana na kujua namna bora mtakavyofanya kabla haujaacha kazi.

NB: Acha kazi ikiwa umeolewa na MWANAUME tu, kama ni furushi USITHUBUTU.
Moja ya comment bora kabisa katika uzii huu umempa elimu nzuri sana mwanamke mwenzio,sidhan kama mwanaume mwenye akili timamu atataman mwanamke awe mtu wa kukaa tu nyumbn kuosha vyombo na kupiga soga na majiran akichoka aangalie tv au aingie fb na insta bali atatak awe na shughuli ndogo au kaz ya kumkeep busy lakini tatizo litarudi kwa mwanamke mwenyewe je anautambuzi na majukumu yake muhimu ya malezi na uangalizi wa familia haijalishi amerudi usiku au jion..
Hakuna mwanaume kichaa atakayemuonea mwanamke hayupo au kumchunga kama mbuzi...ahsante dada kwa comment bora unastahiki ujengewe sanamu pale nyerere square idodomya[emoji736]
 
Naomba nikupinge kidogo! Sio kila mwanaume anayetaka uache kazi yuko insecure na kazi yako bali anaangalia maslah mapana ya familia. Mwanamke ni mlezi wa familia, hivyo anahitaji uwe serious na malezi ya watoto na familia kwa ujumla.

Hizi kazi zinatulia sana muda wetu hata tunashindwa kuwa walezi vile inavyopaswa, na YES zinatupa viburi pia. Hivyo zinatufanya tusiwe wanawake tunaopaswa kuwa.

Na ukiona mwanaume anakushurutisha uache kazi, basi kuna vielement vya kupwaya kwenye malezi, kiburi, ukosefu wa nidhamu nk ameviona kwako.

Huwa ni jambo la kujadiliana na kujua namna bora mtakavyofanya kabla haujaacha kazi.

NB: Acha kazi ikiwa umeolewa na MWANAUME tu, kama ni furushi USITHUBUTU.
Una akili sana wewe kiumbe.
Heshima yangu umeipata
 
Manipulators katika mahusiano;

Ni watu wanaopenda kutawala maisha ya wenzao, mfano anaweza kudukua simu yako, kukuchagulia marafiki, wengine wanazuiwa kufanya kazi, yaani kifupi anakuwa anajikuta kama ni baba yako na huku mmejuana ukubwani na hapo hata hajakuoa.

Wanapenda kutishia wenzao, mfano anaweza kukwambia ukienda kwenye hiyo shughuli usirudi hapa nyumbani, kulazimisha vitu/kutumia nguvu hata pasipohitaji matumizi ya nguvu.

Watu wa namna hiyo ni hatari sana, kwa kuwa anaweza kukufanya uwe na mashaka na uwezo wako binafsi (self-doubt) na kupelekea kutokujiamini.

Vipi mmeshawahi kukutana nao?
Yaani wewe unalishwa na kuvyeshwa alafu unataka ufanye unachotoka wap na wap... Kama nakulisha nitakuamlia Cha kufanya na si wewe kuamua Cha kufanya yaani uniambie unaendaa kucheza Ngoma alafu nikubali ntakuja mme bwege....
 
Ishu sio kazi, shida wanawake mnashindwa kuelewa, ukiwa kazin fanya ya kazini na ukiwa nyumbani kuwa mke kwa mumeo na mama kwa watoto wako, tatizo mnaleta ukurugenz wenu hadi nyumban, hakuna mwanaume atakayekubali. Ila km unaheshimu ndoa vizuri na humvunjii heshima na bado anataka uache kazi, hao ndo wavulana sasa anataka akupelekeshe, wanaume wa hivyo ni wa ovyo na wapuuzi.
Bro wanaume wengi wanasema kwasababu Kuna tabia za hovyo wanakua wameziona tayari mtu hawezi mwambia mkewe mwenye kujitambua na nafasi yake kuwa aache kazi wengi ufikia maamuzi hayo kutokana na kasoro walizoona
 
Harufu ya ufeminist.
Hakunaga mwanaume anayeolewa na akabaki na uhuru wake kamili...hata mwanaume aliyeoa jana uhuru kamili.
Ukitaka uhuru kamili baki kwenu au kaa kwako upate wa kutoana hamu basi.

Mnapokuwa pamoja maana yake lazima mkubaliane katika mambo kadhaa.
Nimeipenda hii comment
 
Back
Top Bottom