Ukiona ana sifa hizi kimbia mapema

Ukiona ana sifa hizi kimbia mapema

Manipulators katika mahusiano;

Ni watu wanaopenda kutawala maisha ya wenzao, mfano anaweza kudukua simu yako, kukuchagulia marafiki, wengine wanazuiwa kufanya kazi, yaani kifupi anakuwa anajikuta kama ni baba yako na huku mmejuana ukubwani na hapo hata hajakuoa.

Wanapenda kutishia wenzao, mfano anaweza kukwambia ukienda kwenye hiyo shughuli usirudi hapa nyumbani, kulazimisha vitu/kutumia nguvu hata pasipohitaji matumizi ya nguvu.

Watu wa namna hiyo ni hatari sana, kwa kuwa anaweza kukufanya uwe na mashaka na uwezo wako binafsi (self-doubt) na kupelekea kutokujiamini.

Vipi mmeshawahi kukutana nao?

Duniani hapa wale wenye kulilia na kupigania haki, hata kama ni haki za hovyo ndio wanaotawala mijadala.

Watetezi wa haki za binadamu kwa mfano, wamejipata kwenye utetezi wa haki za ushoga. Yaani wanaume wapewe haki ya kuingizwa dyudyu mgongoni. Eti ni haki ya binadamu.

Ndio hili la mwanadada kulia simu yake inadukuliwa. 90% ya hizi kesi ni matokeo ya mwanamke mwenyewe anavyo-behave kwenye mahusiano. 90% utakuta kijana amekata shauri kutulia na Bidada ilhali Binti bado ako sokoni.

Hivyo Bidada akikaguliwa ama akidukuliwa mawasiliano hilo ni kosa la Bidada. Maana maneno anaonesha yupo na mwamba, lakini matendo hayakidhi.

Maoni yangu: Ikiwa Bidada bado ako sokoni, hana sababu sababu kumuhakikishia mwamba kuwa malengo yanafanana. Atangaze mapema kushindwa. The early you quit, the early someone starts afresh.

Maoni yangu yanahusika kwa wote, akina Dada na akina Kaka. Kama mwenzako yupo amekata shauri na hujakata, mwambie. Take no advantage.

Maisha mafupi haya kukatishana furaha
 
Back
Top Bottom