Ukiona BBC hawatoi tena habari za vita vya Urusi na Ukraine tambua Ukraine anachezea kichapo

Europe wameanza kupigana kabla Afrika haijijui inaitwaje. Unapata wapi nguvu za kudai eti Europe itakuwa na hali mbaya kisa vita ya nchi mbili ambayo hata sio full scale.

Europe imepigana vita zote mbili za dunia, na lazima ya tatu Europe ihusike. Miaka ya 1300 hadi 1400 humo Uingereza na Ufaransa waliwahi pigana kwa miaka 100 na hakuna nchi ya nje iliwapelekea chakula wala kuwasaidia kitu. Sisi Tanzania COVID-19 imetokea China, serikali yetu ikasimamia ugonjwa huo haupo na bado tukapewa hela tukazipokea kwa shangwe na kujenga vyoo.

Tena muda huo 100 years war imeanza Ulaya ikapata janga la Black Death ugonjwa wa tauni ukaua zaidi ya 40% ya watu wote wa Ulaya. Yote hayo yalitokea sisi Waafrika tukicheza ngoma, na bado wakaja kwetu wakakuta hatujui kusoma na kuandika.

Sasa leo hii Ulaya itikisike kisa ugomvi uchwara huu wa Ukraine na Russia. Omba uzima vita iishe uje uone tofauti ya sisi Waafrika na wazungu, Ukraine itarecover kwa msaada wa majirani wakati sisi Waafrika tupotupo.

Afrika kuna vita nyingi DRC, CAR, Sudan zote mbili, Somalia, Ethiopia na magaidi. Kote huko hakuna ambapo marais wa Afrika waliwahi kukusanyika kudai amani. Ajabu mwaka jana wakapeleka viribatumbo vyao Ukraine na Urusi kuomba vita iishe. We unaona Afrika tuko sawa kweli?
 
 
Crimea is Ukraine πŸ‡ΊπŸ‡¦ sijui una habari
 
Bosi mimi team Dkt Magufuli waliopokea hizo hela na kulazimisha chanjo ni wajinga and they will remain idiot sana ktk hili taifa. Mikopo hiyo ya covid-19 ilikuwa ni ujinga ujinga. Nchi yetu na rasilimali za kutosha hakuna haja ya kukopa ovyo ovyo, I hate sana mtu akisema Tanzania ni masikini
 
Nimekupenda bure shamimuodd.
 
umeanza vizur sana mkuu mwisho ukamalizia na mahaba
 
Sawa na waafrika tulivyopokea tamaduni za kigeni tukadanganywa kwamba ndio dini huku haohao wachina unaowasifia wakizikataa..!!

Tukadanganywa hadi majina yetu ya asili tukaacha kwa kuaminishwa kwamba ukiwa na hayo majina kamwe huwezi kuingia mbinguni kweli, hujakosea, sisi waafrika ni wajinga wa kutupwa.
 

Islam in China​



Islam has been practiced in China since the 7th century CE.[1] There are an estimated 17–25 million Muslims in China, less than 2 percent of the total population.[2] Though Hui Muslims are the most numerous group,[3][4] the greatest concentration of Muslims reside in northwestern China's Xinjiang autonomous region, which contains a significant Uyghur population. Lesser yet significant populations reside in the regions of Ningxia, Gansu and Qinghai.[5] Of China's 55 officially recognized minority peoples, ten of these groups are predominantly Sunni Muslim.[5]
Provinces of China by proportion of Muslim population, according to 2010 data

History​

Main article: History of Islam in China

Wachina gani waliokataa dini?
 
Wewe unaona hapo kuna uhuru wa kuabudu kweli πŸ‘‡
*********************************************
In 2022, estimates suggest that 1.7% of the country's population is Muslim.[15] According to a 2000 census, 96 percent of 20.3 million reported Muslims belong to three ethnic groups: Hui, Uyghur, and Kazakh. Most Hui Muslims live in Ningxia, Qinghai, and Gansu provinces, while Uyghur Muslims are predominantly found in Xinjiang.[15]

The state-run Islamic Association of China (IAC) oversees the practice of Islam, though many Muslims worship outside the state system. The IAC regulates the content of sermons and the interpretation of religious scripture, exercises control over the confirmation of religious leaders, and monitors overseas pilgrimages. In 2001, the IAC established a committee to ensure that scriptures were interpreted in a manner that would serve the interests of the Chinese government and the Communist Party.[2]

Authorities in Xinjiang impose rigid controls over religious expression, particularly over Uyghurs. Human rights reports indicate that crackdowns on religion are frequently integrated into security campaigns.[2] Authorities monitor mosques, restrict the observation of Ramadan by government officials and students, and enact campaigns to prevent Uyghur men from wearing beards.[2] In the past Uyghur Muslims who worship independently have been detained and charged with conducting "illegal religious activities".[16]
**********************************************
 
Suala halikua uhuru wa kuabudu bali wachina kuukubali uislam tofauti na madai ya niliyemkoti
 
China ina watu zaidi ya bilioni ila ni asilimia moja tu 1% ndio waislam hii inasababishwa na
China kupakana na nchi za kiislam kama Afghanistan, Pakistan, Tajikistan nk. upande wa magharibi mashariki na huko ndiko kuna baadhi ya wachina jamii ya uyghurs ambao ndio waislam.

Bora hata ukristo kwa 7% umetawala kidogo hong kong kutokana na muingiliano na wazungu.

Asilimia 90% ya wachina hawaamini katika dini kama ilivyo serikali yao ya kikomunisti.
 
Nimeweka hapo uislam uliingia lini china na kivipi,sikulenga mashindano ya ukristu na uislam china
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…