Ukiona daktari wakati wa kukutibu anababaika babaika na anatumia google, mheshimu sana

Ukiona daktari wakati wa kukutibu anababaika babaika na anatumia google, mheshimu sana

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Ukiona unaenda kwenye matibabu na daktari anakuwa kama hajiamini hivi, anababaika-babaika katika kutafuta ugonjwa wako, na hata anatumia google jua kuwa upo kwenye mikono salama. Magonjwa ni mapana sana na yanaingiliana sana dalili.

Ukiona Daktari anakudiagnose fastafasta jua kuwa hafahamu magonjwa. Daktari anayefahamu magonjwa ukimwambia dalili kichwani yanamjia magonjwa na possibilitiies kedekede.

Hapo utaanza kumuona anasolve kwa 'elimination' anaingia na google kuconfirm na kuangalia mengine ya kufanana nayo.

Heshimu sana daktari ambaye ana mashakamashaka hivi. Daktari mwenye shule zaidi ndiye anayeonekana kubabaika zaidi.

Heshimu sana daktari anayetumia google. Ogopa ambaye anakutajia dawa mara tu baada ya kumwambia dalili zako.
 
Lakini pia, ukikutana na daktari wa mchongo ukamkomalia, bila shaka naye atafanya hivyo.

Kama dalili zinaingiliana kwanini asikushauri ukapime magonjwa yote anayohisi utakuwa nayo?

Kama ishu ni kugoogle tu. Basi kila mtu anaweza kuwa daktari.
 
Lakini pia, ukikutana na daktari wa mchongo ukamkomalia, bila shaka naye atafanya hivyo.

Kama dalili zinaingiliana kwanini asikushauri ukapime magonjwa yote anayohisi utakuwa nayo?

Kama ishu ni kugoogle tu. Basi kila mtu anaweza kuwa daktari.
Umemaliza mkuu.
 
Lakini pia, ukikutana na daktari wa mchongo ukamkomalia, bila shaka naye atafanya hivyo.

Kama dalili zinaingiliana kwanini asikushauri ukapime magonjwa yote anayohisi utakuwa nayo?

Kama ishu ni kugoogle tu. Basi kila mtu anaweza kuwa daktari.
Anavyogoogle daktari ni tofauti na wewe. Daktari anajua anachotafuta. Pia kupima magonjwa yote anayohisi unaweza kuwa nayo ni gharama kubwa kwako, dalili zinaweza zinaweza kufanana kwa magonjwa makumi kadhaa, lazima apunguze possibilities.
 
Ukiona unaenda kwenye matibabu na daktari anakuwa kama hajiamini hivi, anababaika-babaika katika kutafuta ugonjwa wako, na hata anatumia google jua kuwa upo kwenye mikono salama. Magonjwa ni mapana sana na yanaingiliana sana dalili.

Ukiona Daktari anakudiagnose fastafasta jua kuwa hafahamu magonjwa. Daktari anayefahamu magonjwa ukimwambia dalili kichwani yanamjia magonjwa na possibilitiies kedekede.

Hapo utaanza kumuona anasolve kwa 'elimination' anaingia na google kuconfirm na kuangalia mengine ya kufanana nayo.

Heshimu sana daktari ambaye ana mashakamashaka hivi. Daktari mwenye shule zaidi ndiye anayeonekana kubabaika zaidi.

Heshimu sana daktari anayetumia google. Ogopa ambaye anakutajia dawa mara tu baada ya kumwambia dalili zako.

Why akuandikie dawa baada ya dalili? Kwanini asikwambie uende maabara kwa ajili ya vipimo zaidi? Siyo kila homa ni malaria.
 
Ukiona unaenda kwenye matibabu na daktari anakuwa kama hajiamini hivi, anababaika-babaika katika kutafuta ugonjwa wako, na hata anatumia google jua kuwa upo kwenye mikono salama. Magonjwa ni mapana sana na yanaingiliana sana dalili.

Ukiona Daktari anakudiagnose fastafasta jua kuwa hafahamu magonjwa. Daktari anayefahamu magonjwa ukimwambia dalili kichwani yanamjia magonjwa na possibilitiies kedekede.

Hapo utaanza kumuona anasolve kwa 'elimination' anaingia na google kuconfirm na kuangalia mengine ya kufanana nayo.

Heshimu sana daktari ambaye ana mashakamashaka hivi. Daktari mwenye shule zaidi ndiye anayeonekana kubabaika zaidi.

Heshimu sana daktari anayetumia google. Ogopa ambaye anakutajia dawa mara tu baada ya kumwambia dalili zako.
Hii kada imevamiwa na vilaza poleni sana wagonjwa
 
Bora akuambie ukapime kuliko ku-google kila kitu,

Ndugu yangu kwa ujinga Kama huu wamemsabibishia Matatizo Makubwa Sana mpaka leo he can't walk anymore
Unaweza kulipia gharama ya vipimo vitano au sita au ndyo utaanza kuona hospital inatengeneza vipimo Vingi ili iongeze mapato, kama hospital imemleta ndugu yenu ulemavu kwa uzembe fungueni kesi mahakamani mlipwe fidia
 
Unaweza kulipia gharama ya vipimo vitano au sita au ndyo utaanza kuona hospital inatengeneza vipimo Vingi ili iongeze mapato, kama hospital imemleta ndugu yenu ulemavu kwa uzembe fungueni kesi mahakamani mlipwe fidia
Bongo land hapahapa...? Ufungue kesi mahakamani unamshitaki Dr/ Hospital.

Labda kidooogo Vijihospitali vya mitaani, unaweza fanya hivyo.

Au nasema uongo ndugu zangu
 
Upande mwingine daktari wa hivi ndo utasikia alisahau mkasi tumboni kwa mgonjwa.
 
Back
Top Bottom