Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ukiona unaenda kwenye matibabu na daktari anakuwa kama hajiamini hivi, anababaika-babaika katika kutafuta ugonjwa wako, na hata anatumia google jua kuwa upo kwenye mikono salama. Magonjwa ni mapana sana na yanaingiliana sana dalili.
Ukiona Daktari anakudiagnose fastafasta jua kuwa hafahamu magonjwa. Daktari anayefahamu magonjwa ukimwambia dalili kichwani yanamjia magonjwa na possibilitiies kedekede.
Hapo utaanza kumuona anasolve kwa 'elimination' anaingia na google kuconfirm na kuangalia mengine ya kufanana nayo.
Heshimu sana daktari ambaye ana mashakamashaka hivi. Daktari mwenye shule zaidi ndiye anayeonekana kubabaika zaidi.
Heshimu sana daktari anayetumia google. Ogopa ambaye anakutajia dawa mara tu baada ya kumwambia dalili zako.
Ukiona Daktari anakudiagnose fastafasta jua kuwa hafahamu magonjwa. Daktari anayefahamu magonjwa ukimwambia dalili kichwani yanamjia magonjwa na possibilitiies kedekede.
Hapo utaanza kumuona anasolve kwa 'elimination' anaingia na google kuconfirm na kuangalia mengine ya kufanana nayo.
Heshimu sana daktari ambaye ana mashakamashaka hivi. Daktari mwenye shule zaidi ndiye anayeonekana kubabaika zaidi.
Heshimu sana daktari anayetumia google. Ogopa ambaye anakutajia dawa mara tu baada ya kumwambia dalili zako.